Hii dunia ipo strange sana….naona hizi nazo zipo logical sana….ila haifikirishi kujiuliza hizi pande mbili ni suala la nadharia na njia ya kugawa wajinga na watawala wa hii dunia!?Zisome hapa.. Kama unajua kiingereza lakini.
Uchaguzi ni wako ufuate zile 10 za Mungu au hizi 11 za shetani.
Kama dereva WA Uber.Shetani amri zake kama vile hataki shobo flan hivi
Jana nlipanda bus na msomali mmoja anaanza kunisimulia maisha yake wakat sijamuuliza mi nikawa msikilizaj tu had safar ikaisha huku yeye hajui hata jina langu lakin mm nimejua had mali zake
wacha banaweee!!!Ila rasi simba katurahisishia maisha wiki mbili tu unatiririka kama maji.
Lisemwalo lipo..kama halipo popote haliwezi kusemwaHii dunia ipo strange sana….naona hizi nazo zipo logical sana….ila haifikirishi kujiuliza hizi pande mbili ni suala la nadharia na njia ya kugawa wajinga na watawala wa hii dunia!?
Ulishapanda bodaboda dereva anaanza kukusimulia kuwa anajenga wakati hujamuuliza alaf kwanza humsikii vizuri kwasababu ya upepo lakn ye anakomaa tu kukusimulia.Kama dereva WA Uber.
Pepo ni fairy tale, ila hata katika angle hizo hizo za hizo habari Inaonekana huelewi mambo mengiShindwaa pepo mchafu
Ofsa alisema usiabudu miungu mingine maana mimi ni mungu mwenye wivuHasa eti mke wa mtu usimtamani kweli shetani anatutakia mema
Kwasababu umesema umeumbwa na mungu, maana yake hujazaliwa na mama yakoWapi nimesema niwakana Mkuu!! onyesha! ..........au uko kwa kilaji?.... unamfahamu Baba wa taifa wewe? nina wasi inawezekana wewe ni Mzaire! diarasii
Vitabu vimesema Mungu hataki watu wavuguvuguNi adui Rafiki!
oyaa😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji109] kumbe tusojua kingereza tunakosa uhondo
shetani kazungumzia had masuala ya kula tunda kimasihara[emoji23][emoji23]
Hivi nyie mna bongo zipi mimi na ubongo wangu huu nijue kingereza kwa wiki mbili tu???Ila rasi simba katurahisishia maisha wiki mbili tu unatiririka kama maji.
Are you an Atheist??.At least yeye hana wivu, Mungu ana lakujifunza hapo
Kama humjui Scars ndio huyo Sasa na Mimi ikariri hiyo I'd yangu halafu uniweke kundi Moja naeAre you an Atheist??.
Mhhhh!!!!,Sawa, Nakuombea Neema ya MUNGU.Ipo siku tutaongea lugha moja .Kama humjui Scars ndio huyo Sasa na Mimi ikariri hiyo I'd yangu halafu uniweke kundi Moja nae
Isikustaajabishe lakini!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hahahaha Kwani hapa tunaongea Lugha tofauti auMhhhh!!!!,Sawa, Nakuombea Neema ya MUNGU.Ipo siku tutaongea lugha moja .
We're all born atheists until someone starts telling us liesAre you an Atheist??.
...na zenyewe zilitoka Mlimani? [emoji16]Dah! Piga ua zaragaza zika fukua ya kwanza ni miti/ kugegeda.