KIA ndio ulikua usafiri maarufu Kwa hapa DSM kama daladala nikama Sasa zinavyotesa Nissan Civilian. Mnajazana Nyuma uko ata Dereva haoni. KIA zilikuja baada ya Serikali kuruhusu biashara huria kwenye usafirishaji maana Kampuni za usafirishaji za Serikali UDA zilizidiwa na wingi wa Watu.
Watu mnapanga foleni kupanda UDA kwenda kazini ambayo ni mabasi ya shirika linalo milikiwa na Serikali, Mkirudi mkapange foleni kununua sukari kwenye maduka ya ugawaji Sasa kupunguza adha hizo watu binafsi wakapewa Fursa.
View attachment 2544954