Kwa sisi tulio wengi tumeaminishwa na mafundisho na vitabu vya watu weupe,yaani wazungu na waarabu, kuwa ma-Pharaoh wa Misri walikuwa ni watu wenye asili kama ya kwao ,na kwamba ma-pyramid yalijengwa na jamii iliyokuwa na maendeleo ya hali ya juu sana ,na haiwezekani hata kidogo watu hao wakawa ni watu weusi,yaani waafrika.
Hata Ma-freemason/illuminati wanatumia sana alama za ma-pyramid-ishara yakuwa watu hawa hawakuwa wa kawaida.
Aibu imewakuta ...watu weupe ma-egyptologist walioamini mtu mweusi -negro,hana uwezo wa hata kuwa na maarifa yanayo fanana na Egypt ya ma-pyramid..wameumbuka.
DNA ya Pharaoh Ramses III imethibitisha farao huyu alikuwa mweusi piiiii,tena asili yake ni hapa Afrika mashariki..DNA yake imepewa jina.. inaitwa E-V38. Kinasaba hiki kinapatikana sana kwenye damu za wanaume wa Afrika mashariki,na si kwingineko.
Why Hollywood Thinks the Pharaohs Were White
ukweli ndo huu
Haplogroup E-V38 - Wikipedia, the free encyclopedia
Ma-Pharaoh ni ndugu zetu,tena wa damu.
Wanasema waingereza ''Science doesn't lie''