Je, Wajua ma-Pharao wa Misri wana asili ya Afrika Mashariki na hawana uhusiano wowote na waarabu?

Je, Wajua ma-Pharao wa Misri wana asili ya Afrika Mashariki na hawana uhusiano wowote na waarabu?

Eti unasema mtume Muhammad alikuja miaka 500 baada ya Yesu kristo?
Hakika kweli nimeamini ukristo ndio dini ya kweli hao wengine ni taasisi za ujanja ujanja
Uislam hupo tokea mwanzo wa Dunia kuanzia Nabii Adam (A.S) hadi Muhammad (S.A.W).

Jipe muda ufuatilie juu ya Msikiti wa Makkah,. na visa vingine kama vya Boti ya Nuhu (A.S)

Uislam ndiyo dini ya tokea kuumbwa ulimwengu hadi mwisho wa Dunia.
 
Uislam hupo tokea mwanzo wa Dunia kuanzia Nabii Adam (A.S) hadi Muhammad (S.A.W).

Jipe muda ufuatilie juu ya Msikiti wa Makkah,. na visa vingine kama vya Boti ya Nuhu (A.S)

Uislam ndiyo dini ya tokea kuumbwa ulimwengu hadi mwisho wa Dunia.
Monotheism au kumuabudu Mungu mmoja haikuanza na waarabu au wayahudi..Ilianza Misri..chini ya utawala wa mume wa Nefertiti...yaani Akhenaten..yeye alivunja sanamu zote ..akajenga mji mpya ..akauita Akhetaten ...mji uitwao Amarna na waarabu wa ukoo wa Amran..
Akhenaten aliweka alama moja tu ya jua (nyota) kama kielelezo cha muumbaji mmoja..Ni sawa na alama ya nyota kwa wa Israeli au mwezi kwa waislam.
 
Back
Top Bottom