Je, wajua matumizi ya "A" na "THE" katika lugha ya kiingereza?

Je, wajua matumizi ya "A" na "THE" katika lugha ya kiingereza?

Mla Bata,

Umemshauri Tit 4 Tat kwamba kama anataka kuboresha uwezo wake wa kusikiliza na kuelewa kupitia movie basi asitegemee subtitle. Nakubalianana na wewe lakini binafsi ningemshauri aangalie kwanza level yake ya kuelewa maneno yanayotamkwa.

Kimsingi, ingawaje anashindwa kuelewa lakini maneno mengi anayoshindwa kuyaelewa anayafahamu, na ndio maana akitumia subtitles kwake inakuwa rahisi kuielewa movie husika!

Sasa kama shida yake ndo hiyo, mosi atumie zoezi hilo not only kwa ajili ya movie bali kwa kujifunza. Na kwa kuanzia, asiachane na subtitles sababu hizi zitamsaidia kufahamu ni namna gani maneno mbalimbali hutamkwa!

Kwa mfano, anaweza kusikia neno "kanel"ambalo "l" inaishia njiani lakini asijue ni nini hicho wakati neno "colonel" analifahamu, na ambalo matamshi yake yanameza "lo" na "l" ya mwisho kuishia njiani!

Sasa ikiwa mwanzoni mwa kujifunza ataanza kutumia subtitles, atafahamu kwamba kumbe akisikia "kanel" hapa wanazungumzia "colonel"!

Akishafanya hivi kwa muda, ndipo sasa atatakiwa kuachana na subtitles hatua kwa hatua. Isitoshe, hapo atakuwa ameua ndege wawili kwa jiwe moja. Ndege wa kwanza ni improvement kwenye listening, na pia improvement kwenye matamshi.

Itoshe tu kusema kwamba, mkuu Tit 4 tat, ukitaka ku-improve hiyo listening skills, sikiliza sana mazungumzo yanayotumia Kimalikia! Tazama/Sikiliza sana tv news kila unapopata fursa ya kufanya hivyo. Angalia sana movies/series kila unapopata muda wa kufanya hivyo!

Na kama lengo ni ku-improve, basi sijapangie kabisa kwamba kwa siku unaangalia angalau episode moja. Changanya zile za Wazungu na za African Americans ambao kwa maoni yangu ndo wagumu kidogo kuwaelewa ukilinganisha na Wazungu.
 
Na hapo bado hatujaanza mambo ya viambishi yambwa, mofimu changamano, viambishi tamati yakinishi, ukanushi rejeshi [emoji16][emoji16][emoji16]

Ni sawa tu na kwenye sarufi ya Kiingereza. Mambo ya relative clauses, object markers, null traces, propositional phrases....

Kila taaluma ina kilugha chake tofauti na lugha ya kawaida ya kuzungumza mtaani. Madaktari na mainjinia wakianza lugha yao ndo kabisaaa mtu huelewi cho chote...Wanasheria hali kadhalika...
Hapo kwenye kiswahili umenipoteza japokuwa nimesoma bongo
 
Mla Bata,

Umemshauri Tit 4 Tat kwamba kama anataka kuboresha uwezo wake wa kusikiliza na kuelewa kupitia movie basi asitegemee subtitle. Nakubalianana na wewe lakini binafsi ningemshauri aangalie kwanza level yake ya kuelewa maneno yanayotamkwa.

Kimsingi, ingawaje anashindwa kuelewa lakini maneno mengi anayoshindwa kuyaelewa anayafahamu, na ndio maana akitumia subtitles kwake inakuwa rahisi kuielewa movie husika!

Sasa kama shida yake ndo hiyo, mosi atumie zoezi hilo not only kwa ajili ya movie bali kwa kujifunza. Na kwa kuanzia, asiachane na subtitles sababu hizi zitamsaidia kufahamu ni namna gani maneno mbalimbali hutamkwa!

Kwa mfano, anaweza kusikia neno "kanel"ambalo "l" inaishia njiani lakini asijue ni nini hicho wakati neno "colonel" analifahamu, na ambalo matamshi yake yanameza "lo" na "l" ya mwisho kuishia njiani!

Sasa ikiwa mwanzoni mwa kujifunza ataanza kutumia subtitles, atafahamu kwamba kumbe akisikia "kanel" hapa wanazungumzia "colonel"!

Akishafanya hivi kwa muda, ndipo sasa atatakiwa kuachana na subtitles hatua kwa hatua. Isitoshe, hapo atakuwa ameua ndege wawili kwa jiwe moja. Ndege wa kwanza ni improvement kwenye listening, na pia improvement kwenye matamshi.

Itoshe tu kusema kwamba, mkuu Tit 4 tat, ukitaka ku-improve hiyo listening skills, sikiliza sana mazungumzo yanayotumia Kimalikia! Tazama/Sikiliza sana tv news kila unapopata fursa ya kufanya hivyo. Angalia sana movies/series kila unapopata muda wa kufanya hivyo!

Na kama lengo ni ku-improve, basi sijapangie kabisa kwamba kwa siku unaangalia angalau episode moja. Changanya zile za Wazungu na za African Americans ambao kwa maoni yangu ndo wagumu kidogo kuwaelewa ukilinganisha na Wazungu.
Umezungumza vizuri kabisa comrade, i second you👊, nadhani ni kazi ya ndugu Tit 4 Tat kufuata hiki kilichoandikwa na kukifanyia kazi.
 
Muda mwingine "A" hutumika kwa kitu kimoja lakini vipo vingine vifavyofanana nacho, so unapochagua kimoja ndio utakielezea kwa kutumia "a" mfano: There are lots of cars but a blue one was parking beside my bicycle. Na "The" pia hutumika kwa kitu cha kipekee ambacho pia mara nyingi huwa ni kikubwa mfano: The sun, the moon.
Na muda mwingine pia "A" hutumika kwa kitu kimoja na "The" hutumika kwa kitu kimoja hicho hicho kulingana na uhusika kilichovaa kwa muda huo, mfano: A black cat is dirty/The black cat is older than other cats.
 
Mm nmeangalia the flash season kama tatu kwa kuwackiliza tu angalau wanaeleweka but now kichwa kimechoka kupause na kurudia nn walchosema nmedownload app ya MX PLAYER nachek na subtitle but najitahd kuckiliza pia ili ni improve
Okay,
Kwa kuanza download movies na subtitles. Halafu usijiweke tuu kwenye kusoma subtitles wasikilize pia. Itakusaidia kujua namna wanavyotamka maneno.
Mpaka movie iishe unajaribu kuirudia bila subtitles utaona mabadiliko.

Jaribu movies kutoka nchi mbali mbali maana kila nchi ina accents zake. Wengine ni rahisi kusikika wengine ni ngumu.
 
Niliingia kwa mbwembe humu nikiamini napata darasa..... mmmh hapana naona kuna hitilafu hapa
 
Nisingekanyaga kurudia kule tulikotoka hope unakumbuka mkuu

Kwangu hakukuwa kwa ajabu, na hainizuii kukwambia kitu ambacho naona hakiko sahihi.

Kujificha nyuma ya keyboard kusiwe chanzo cha sisi kuwa warriors.
 
Maneno "a" pamoja na "the" ni kifungu cha mameno ambayo huwa yanatumika kama utambulisho wa nomino katika lugha ya kiingereza .utofauti wa haya maneno mawili ni:

"A" hutumika kutambulisha nomino ambayo haina umbo maalum.kwa mfano:- tuchukue nomino ambayo haina umbo maalum kama "maji" basi sentensi itakuwa, "this is a water from indian ocean".hatuwezi kusema "this is the water from indian acean.

"The" ni kinyume cha "A" ambapo hutumika kwa ajili ya utambulisho wa nomino ambayo ina umbo maalum hapa tutumie kitabu sentensi yetu itakuwa ni, "this is the book".hatuwezi kusema "this is a book.

Nafikiri nitakuwa kidogo nimetoa darasa kwa ambao walikuwa wakichanganyikiwa juu ya maneno haya mawili.

Matumizi sahihi ya 'a' na 'the' ni kama ifuatavyo:-

the = definite article (specific noun)

a/an = indefinite article (non-specific noun)

For example, if I say, "Let's read the book," I mean a specific book. If I say, "Let's read a book," I mean any book rather than a specific book.

"A/an" is used to refer to a non-specific or non-particular member of the group. For example, "I would like to go see a movie." Here, we're not talking about a specific movie. We're talking about any movie. There are many movies, and I want to see any movie. I don't have a specific one in mind.

Hope imeongeza kitu
 
Back
Top Bottom