mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Hata mm ndio nilikuwa najua hivyo.Lakini pia "the" huwekwa ktk nomino/jina ambalo Mimi mtamkaji na wewe msikilizaji tulifahamu au tunafahamu vizuri hicho kitu au jina lililotamkwa.Hii "a" Ni pale ambapo jina au nomino sio maalum au daaah...sijui nisemeje hapa ,kufundisha nako kazi sana Yan.
Hili tatizo la kutokuelewa mzungu katamka Nini kwenye tv lipo hata kwa wasomi tunaowaamini.Ukitaka kujua hilo tafuta wasomi wetu Hawa tunaowajua afu kaa nae kwenye tv Kisha mfungulie aljazeera afu muulize hv mtangazaji kaongea Nini pale??....aisee jibu atakalokupa utakoma kuuliza tena yan.
Mkuu umeandika utumbo na matango pori,kama hujui jambo usijaribu kuwalisha wenzako Uongo,kuna mwanafunzi atasoma hapa akariri,akiandika hivo lazima afeli.
Article A na An ni indefinite articles kwa maana ya kwamba zinatambulisha Nomino isiyo maalum au sio mahsusi.
A book,a car,an orange an apple nk..
kwani sasa hauko bongo! ukoHapo kwenye kiswahili umenipoteza japokuwa nimesoma bongo
But can be counted in case of glass, bottle, bucket. "Give me a bottle of water"water is not a countable noun. "This is a water" (incorrect);
HAPANA ...HUU NI UONGOManeno "a" pamoja na "the" ni kifungu cha mameno ambayo huwa yanatumika kama utambulisho wa nomino katika lugha ya kiingereza .utofauti wa haya maneno mawili ni:.
Mfano [emoji41][emoji41]'A' hutumika kwa kitu ulichokitaja kwenye sentensi kwa mala ya kwanza,,lakini kitu ichoicho ukikitaja tena kwa Mala ya pili kwenye sentensi yako itakupasa utumie 'The'
correct, "a bottle...". You can tell the number of bottles.....not water.But can be counted in case of glass, bottle, bucket. "Give me a bottle of water"
What if the bottles are empty? So you can tell the bottles without water?correct, "a bottle...". You can tell the number of bottles.....not water.
"A" is normally used for the things mentioned for the first time,,BUT.Mfano [emoji41][emoji41]
1. Hapo huwa tunasema vitu vya kipekee, mfano jua ni moja hakuna jingine, mwezi ni mmoja na hakuna mwingine naTHE is used for the things which are well known,,U can't say A sun instead U must say THE sun because sun is well known.
... ha ha ha! Jamaa kachapia; sio kila nomino isiyo na umbo maamlumu hulazimika kutambulishwa kwa "a" lakini pia "a" si kwa ajili ya nomino isiyo na umbo maalumu tu!This is a water!! Hii mbona mi naona kama imekaa ki local sana!! Wahuni tunamaliza hivi tu this is water..😅
yes, a bottle without waterWhat if the bottles are empty? So you can tell the bottles without water?
Sana mkuu1. Hapo huwa tunasema vitu vya kipekee, mfano jua ni moja hakuna jingine, mwezi ni mmoja na hakuna mwingine na
2. Vile vile hutumika kwa ajili ya kutaja kitu specific kati ya vingi " there are lots of car out there but the red one is the most beautifully"
Lets forget everything once we all learn from different teachers [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]yes, a bottle without water
Kuna mwalim wangu mmoja ivi alinifundisha jinsi ya kutumia izi articles kuna A na the akanambia A unatumia kwa kitu ambacho bado hujakifaham the kwa kitu unachokifaham mf. A man kama uyo mtu ni first time kumuona na the man hapo ushamfaham ila naon kama the man hainogi inanoga kutumia a man mi ntakavyojisikia utamu kwenye ulimi wa kutamka neno naendanalo iv iv ani ilimradi tu linanoga mdomoni kwenye kutamkaManeno "a" pamoja na "the" ni kifungu cha mameno ambayo huwa yanatumika kama utambulisho wa nomino katika lugha ya kiingereza .utofauti wa haya maneno mawili ni:
"A" hutumika kutambulisha nomino ambayo haina umbo maalum.kwa mfano:- tuchukue nomino ambayo haina umbo maalum kama "maji" basi sentensi itakuwa, "this is a water from indian ocean".hatuwezi kusema "this is the water from indian acean...
Kuwa makini tu baada ya muda utaanza kusikia wanachoongea simple as that......Poa japo nahitaji niwe nauwezo wa kuelewa bila subtitles, kuna movie zingine ni kali balaaah ila hazina subtitles kwa hiyo nakosa mautamu