Je Wajua? Mwaka ambapo Tanzania iliingia kwenye CAF RANKING kwa mara ya kwanza

Hivi kuangukia PWA ndo kuangukia pua au ndo kupigwa 4G kama za Kaizer chifu?
Sasa si ni kheri ufungwe ugenn, kuliko li Yanga lilipigwa kwa Mkapa na ka timu ka Botswana kanaitwa township Rollers ....JINGA kabisaaa
 
Sasa si ni kheri ufungwe ugenn, kuliko li Yanga lilipigwa kwa Mkapa na ka timu ka Botswana kanaitwa township Rollers ....JINGA kabisaaa
Kwa hiyo hiyo Kheri ni kheri vipi na umetolewa haumo
 
Halafu kwa mwandiko huu inawezekana nabishana na mwanafunzi wa sekondari ya kata maneno kama "hunastick" ungeondoa hiyo "h" na "kuringana" ungeweka "l" badala ya "r"
Sishangai wewe kutoka kwenye mada na kuanzisha mada ingine ya elimu yetu na mwandiko, kwakuwa ushajua mada uliyoanzisha imekushinda huna budi kubadiri gia angani lakini pia kutokana na pointless ulizoandika kwenye mada, mtu yoyote akisoma Tu ni wazi atajua wewe ndio Una elimu ndogo Sana maana huwezi kuwa uko vizuri kichwani alafu ukakurupuka Tu na kuandika kitu usichokijua

Ili ujue umeandika ujinga hakuna ata mwana Yanga mwingine ambae amekusapoti kwenye haya mashudu yako, nawao hawataki kuonekana viazi kama mwanzisha uzi, Kwa ushauri tu mkuu hakikisha unafanya research ya kutosha Kabla haujaanzisha mada hapa JF, maana humu kuna kila Aina ya watu, ila tofauti na hapo mada zako uwe unaanzisha kijiweni kwenu huko maana huko ndio unaweza ukawa unaonekana ni bright ila huku we ni KIAZI tu
 
but i think "kubadiri gia angani" should be "kubadili gia angani" it is an "L" and not "R"
 
but i think "kubadiri gia angani" should be "kubadili gia angani" it is an "L" and not "R"
Me ata sishtuki Kwa kukosea spelling mkuu maana hizo ni taaluma za watu na naheshimu taaluma zao, me naandika ili kila mmoja wetu aelewe, kwahiyo tumekubaliana kuwa ulikurupuka kwenye kuleta mada usiyoijua sindio?
 
Me ata sishtuki Kwa kukosea spelling mkuu maana hizo ni taaluma za watu na naheshimu taaluma zao, me naandika ili kila mmoja wetu aelewe, kwahiyo tumekubaliana kuwa ulikurupuka kwenye kuleta mada usiyoijua sindio?
Mkubwa wala hujakosea spelling ila unachanganya "L "na "R" tatizo kubwa la watu ambao hawajapitia maandishi mengi, watu wasio na utamaduni wa kusoma vitabu, na ndiyo maana tumesumbuana sana kwenye mada ya msingi
hutaki kusoma unataka kuandika tu
 
Mkubwa wala hujakosea spelling ila unachanganya "L "na "R" tatizo kubwa la watu ambao hawajapitia maandishi mengi, watu wasio na utamaduni wa kusoma vitabu, na ndiyo maana tumesumbuana sana kwenye mada ya msingi
hutaki kusoma unataka kuandika tu
Issue sio kutaka kusoma au kuandika, issue ni nini kimeandikwa mkuu kama nimeandika na umeelewa inatosha maana ndio maana ya mawasiliano Kwa kutumia lugha flani, so kama umenielewa acha utoto na urudi kwenye mada, me naweza nikawa nasoma vitabu ila swala ni vitabu gani na kama nasoma basi ni vya taaluma yangu hivo bahati mbaya sijali kuhusu matumizi ya L na R

Ningependa ujikite kwenye mada, na kama unajinasibu unasomaga na vitabu basi kumbe sio layman kiasi kwamba kama umekosea uanze kupoteza mada Kwa kumatack mtu na vitu ambavyo havina maana, me sifanyi mtihani hapa hadi nikosolewe, matumizi ya alphabet, kama kweli we ni msomi ulitakiwa kupinga hoja Kwa hoja na kama umeona umeshindwa basi utulie na ukajifunze zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…