Je ! wajua nani alianzisha Mwenge ?

Je ! wajua nani alianzisha Mwenge ?

Je,kuna ukweli kuwa,kila baada ya kumaliza kukimbiza mbio za mwenge wa taifa letu,kuna mkimbizaji mmojawapo atafariki ?
 
huku kwetu Tabora kila msafara ulikopita amekufa mtu. wamegongwa na magari ya msafara wa mwenge. kitu kingine kinachonishangaza ni kwann wale Askari wanaolinda mwenge hawarusiwi kuushika?? na ukiisha mafuta yuko mtu maalum ambaye anauongeza mafuta na anakua na msafara mwanzo mwisho. wakati akiwa anaongeza mafuta anaingia na watu maalum chumbani kwani.hata wale FFU wanaoubeba hawaingii bali wanasimama mlangoni. nini siri ya mwenge???
 
Dini ni utaratibu/mfumo uliowekwa na binadamu kutengeneza mwenendo bora wa maisha ya binadamu kifamilia,kiuchumi,kisiasa na mchangamano wa watu wote kwa ujumla!

Misingi ya heshima na nidhamu kwa kila mmoja! Uwe ndani ya dini au uwe nje ya dini cha msingi ni kuwa na utu,kujithamini na kuthamini wengine!

Kwangu dini kuu na kubwa ni Upendo!

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums

Kweli kumcha MUNGU ni chanzo cha maarifa,, pole mkuu
 
Mambo mengi ya hizo falme na tawala za giza ni za kufikirika sana! Hakuna mtu alie extract to the skeleton kuleta ushahidi wa dhahiri! Kwenye huo ulimwengu watu wanakwenda kwa assumption tuu

Yani hakuna ushahidi wa moja kwa moja na ndio loop hole hiyo watu wanaitumia na kila mtu kuibuka na lake! Nani wakuyapinga wakat hizo falme haziko real?

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums

Mkuu sema wewe huamini but Usiseme ni za kufikirika!
Hivi vitu vipo shida ni kuwa watu mnataka evidence kama science bt uchawi/nguvu za giza hazina evidence km science
 
Ila miongon mwa symbol na tawala za giza ,mwenge upo

Exactly
Na ndio maana hilo dudu ccm watu wanafikiri lipo tu hapo!
Nop!kuna maagano hapo yaliingiwa ambayo huwez kuvunja kirahisi rahisi tu
 
Mtoa mada mbona hueleweki juu ya jina la mhusika mkuu umeanza kwa kumwita Faraja Ganze, mwishoni ukamwita Forojo Ganze sasa wadau tushike lipi na tuache lipi?
 
mwenge ni alama ya masonic,uchawi na magic ana devol ndo asikuambiye m2.ila amna nipo 2 NASOMA VP TUUTOE MWENGE USIWE KENYE KATIBA?
 
Mie nikipata "urahisi" wa hii inji ntaanzisha bakuli la maji liwe linakimbizwa "inji nzima" ili "kuzima moto wa muenge"
 
mwenge ni alama ya masonic,uchawi na magic ana devol ndo asikuambiye m2.ila amna nipo 2 NASOMA VP TUUTOE MWENGE USIWE KENYE KATIBA?
sifahamu umri wako, hebu prove tangu unausikia wa Uhuru - umethibitisha kuwa Mwenge ni kweli ni alama masonic? Zaidi ya dhana take kuwa "sisi tunataka kuwasha mwenge....."

Exactly
Na ndio maana hilo dudu ccm watu wanafikiri lipo tu hapo!
Nop!kuna maagano hapo yaliingiwa ambayo huwez kuvunja kirahisi rahisi tu
Tulitakiwa kuzama ndani kujua why Mwenge? Kwa nini ulianzishwa? Tusiishie kusema ni Masonic symbol, in fact back sijaona ubaya wa Mwenge kwa msingi wake na dhana yake - hayo mengine ni specularations tu!

huku kwetu Tabora kila msafara ulikopita amekufa mtu. wamegongwa na magari ya msafara wa mwenge. kitu kingine kinachonishangaza ni kwann wale Askari wanaolinda mwenge hawarusiwi kuushika?? na ukiisha mafuta yuko mtu maalum ambaye anauongeza mafuta na anakua na msafara mwanzo mwisho. wakati akiwa anaongeza mafuta anaingia na watu maalum chumbani kwani.hata wale FFU wanaoubeba hawaingii bali wanasimama mlangoni. nini siri ya mwenge???
Lete orodha ya waliyokufa, Igunga,Nzega,Urambo,Uyui, na kote ulikopita Mwenge? Kwa taarifa yako mwenge wa mwaka huu - hakuna aina ya msiba wowote uliotekea ukihusishwa na mbio za Mwenge ispokuwa ajali tu na majeruhi- acha fix

Je,kuna ukweli kuwa,kila baada ya kumaliza kukimbiza mbio za mwenge wa taifa letu,kuna mkimbizaji mmojawapo atafariki ?
lete evendence,mwenge ushakimbizwa tangu 1961 - unaweza kuja na orodha japo kwa kifupi? 1961 inaweza kuwa umri mrefu kwako, anza na waliyofariki kuanzia 2010 hadi juzi.
 
usilolijua ni sawa na usiku wa giza ....
In Jamii forum is where people dare to talk openly. Kama unajua si useme? Usilolijua ni sawa na usiku wa giza; what does that suppose to mean especially in a topic like this one? Kama unajua sema, Kama unabisha, Bisha kwa hoja ueleweke...
 
Mkuu sema wewe huamini but Usiseme ni za kufikirika!
Hivi vitu vipo shida ni kuwa watu mnataka evidence kama science bt uchawi/nguvu za giza hazina evidence km science

Mkuu wewe umesha 'bahatika' kuziona hizo falme zaidi ya stori tu za mtaani?

Chanzo cha maarifa ni udadisi, sasa kama tutajiweka kwenye kundi linalodhibiti uwezo wa kudadisi si utata huo?

Sijawahi kukutana na mtu akaniambia falme hizo za giza zipo real! Wote wanaishia kusema tu zipo ila hawaziamini! Ni si kwamba hawaziamini ni kwamba hawazijui zinafanana vipi? Ziko wapi? Za zina operate vipi? So kwa ujumuisho wa yote hapo ni kwamba HAKUNA kitu kama hicho!

Unless unipruvie hapa kwamba wazijua zafanana vipi na zilipo!

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
 
Mwenge wa Uhuru umeleta umaskini kwa nchi yetu watu wanaishi maisha magumu sisi mwenge badala ya hiyo pesa ikuze uchumi Wa nchi na nchi bado inaabudu imani ya kipagani huku wakidanganya watu nchi haina dini lazima tukataze jamii wasiendelee na upuuzi wa zamani
 
Back
Top Bottom