Je wajua: Ngushi na nkane Wana CAF medal ila Chama ana medal ya ngao ya jamii

Medali bila kombe ni kama shanga za bi mkubwa wako Hazina maana kwenye mpira .Hivi umewahi kusikia timu fulani ina medali ngapi?Bwana mdogo jaribu kukua najua ni hormones za kubalehe zinakusumbua.
Hapana mkuu ... something is better than nothing
 
Makolo walipofika fainali ya abio cup hawakupewa medal
 
Hajazungumzia mafanikio ya timu.
Kazungumzia mafanikio ya mchezaji binafsi. Hata akina Lionel Messi na Cristiano Ronaldo huwa wanapiga picha na medali zao shingoni. Lete picha ya Chama na medali ya CAF[emoji3][emoji3]
Kolo wanahamisha mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…