Je, wajua? Pesa iliyotoa Qatar kuandaa Kombe la Dunia ni pato la Taifa Tanzania kwa miaka 3.5

Mambo kibao yanafanyika.

Wamejenga miundombinu mingine ambayo itatumika baada ya wc kuisha.
 
No 10 nimeielewa sana🤣🤣
Specifically tungewapa CCM
 
Wenzetu wanatuzidi kwa mbali Sana aisee! Nchi za uarabuni Zina utajiri mkubwa Sana hasa ule wa mafuta.
 
Tz mbna tunapenda kuilnganisha na mataifa Tajiri
 
Umenichekesha hapo tungewaka mafisadi dola 20bil ili wasituharibie miradi[emoji1787]
 
Hamna kitu ninacho kuchukia kama umaskini aisee!
Ninapokutana na mada kama hizi huwa roho inaniuma sana, inauma zaidi kwa vile wenye dhamana hawajui wafanye nini na wala hawajishughulishi kutaka kujua.
 
Hamna kitu ninacho kuchukia kama umaskini aisee!
Ninapokutana na mada kama hizi huwa roho inaniuma sana, inauma zaidi kwa vile wenye dhamana hawajui wafanye nini na wala hawajishughulishi kutaka kujua.
Wanajua mkuu, mchwa wengi.. Wanataka kuendelea wao kabla ya Taifa
 
Wamekosea kitu kimoja tu kuenda Brazil kununua vipaji vya soka sahizi ingekuwa burudani kabisa wanaangalia mpira huku wanakunywa kahawa na tende ila kwa timu ile waliyonayo watakufa kwa presha
 
Pato la Tz ni $67.78B Mwaka 2021 source WB
 
Waarabu wangetupa breakdown ya iyo $220B
 
Hata sisi tungekuwa na matumizi mazuri ya akili tengekuwa matajiri. Kuna nchi kama Dubai, Malaysia tulikuwa tunalingana uchumi miaka ya 70's lakini wametuacha mbali kwasababu wametumia akili zao vema mpaka kuwa matajiri.
Eti Dubai palikua hv miaka ya 70s, hata bongo palikua pazuur jmn, dah
 

Attachments

  • ba6661e0c1557cb23fdf21c9859d1b69.jpg
    90.4 KB · Views: 3
Wamekosea kitu kimoja tu kuenda Brazil kununua vipaji vya soka sahizi ingekuwa burudani kabisa wanaangalia mpira huku wanakunywa kahawa na tende ila kwa timu ile waliyonayo watakufa kwa presha
Timu za Taifa kununua wachezaji naona inapoteza ladha, yani mfano timu za mataifa ya Afrika Maghrib zijae wazungu.. Bora huu mfumo ubaki kwenye vilabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…