Je, wajua Robo Fainali ya CAFCL timu zote ni mabingwa kasoro Simba?

Nyie bure FC sasa wakati tunaingia robo fainali zote Simba ilikua nini? Yani mnatapa tapa mpaka huruma..kweli masikini akipata matako hulia mbwata mbwata mbwata...kwahyo ni ajabu kwenu..
Hapana mkuu....sema kupoteza home ground ...inatishangaza sana
 
Ushirikina wa kupita milango mingine..kuwatupia watu majini..kuondoa mataulo...
Nyie ni washirika basi sio washirikina..
Hapana mkuu.... wananchi hawanaga hizo mambo ....

Simba mlichoma moto uwanjani sauz

Mlifukia dawa mechi ikiendelea
 
Je wajuwa kwamba timu zote zilizoshiriki robo fainali CAF mechi zao mashabiki walilipa viingilia kasoro NYUMA MWIKO FC peke ndy waliyoingia uwanjani fungulia mbwa
Inaonekana unateseka sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…