GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Wazee wa ganda la ndiziUtopolo hawana uwezo wa kujaza taifa mashabiki wao ni mashabiki njaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa ganda la ndiziUtopolo hawana uwezo wa kujaza taifa mashabiki wao ni mashabiki njaa
Hapana mkuu....sema kupoteza home ground ...inatishangaza sanaNyie bure FC sasa wakati tunaingia robo fainali zote Simba ilikua nini? Yani mnatapa tapa mpaka huruma..kweli masikini akipata matako hulia mbwata mbwata mbwata...kwahyo ni ajabu kwenu..
Nyie mmepata matokeo?Hapana mkuu....sema kupoteza home ground ...inatishangaza sana
Ushirikina wa kupita milango mingine..kuwatupia watu majini..kuondoa mataulo...Labda kwenye ushirikina
Sisi time draw....hence tumelinda heshima nyumbaniNyie mmepata matokeo?
Hvi hiki kikosi nyie kama vyura mnawaamini hawa soccer zone?
View attachment 2952134
Mmewaomba serikali hahahahahah mnavyopenda bure...Sisi time draw....hence tumelinda heshima nyumbani
... that's y serikali imelipia nauli Bure kwenda Kwa madibaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hapana mkuu.... wananchi hawanaga hizo mambo ....Ushirikina wa kupita milango mingine..kuwatupia watu majini..kuondoa mataulo...
Nyie ni washirika basi sio washirikina..
Kabisa mkuu,,Utopolo hawana uwezo wa kujaza taifa mashabiki wao ni mashabiki njaa
Matako ya tajiri yanaliaje?Nyie bure FC sasa wakati tunaingia robo fainali zote Simba ilikua nini? Yani mnatapa tapa mpaka huruma..kweli masikini akipata matako hulia mbwata mbwata mbwata...kwahyo ni ajabu kwenu..
[emoji23][emoji23]huyo babu Saido anafanya nini hapoNyie mmepata matokeo?
Hvi hiki kikosi nyie kama vyura mnawaamini hawa soccer zone?
View attachment 2952134
TUseme ukweli nani kaambiwa wanarusha majini lives kwa mayeleLabda kwenye ushirikina
Huyo ni fans hajatumwa nyie mnasemwa hadharaniHakuna ushahidi
Vip yule kolo fans aliyeingia kufukia dawa uwanjani
Inaonekana unateseka sana.Je wajuwa kwamba timu zote zilizoshiriki robo fainali CAF mechi zao mashabiki walilipa viingilia kasoro NYUMA MWIKO FC peke ndy waliyoingia uwanjani fungulia mbwa
Kwani uongo? Kuna timu iliyoingiza mashabiki wake fungulia mbwa zaidi ya MWIKO NYUMA FC?Inaonekana unateseka sana.