Je wajua: Simba ndio timu inayoongoza kupokea vichapo vizito EA

Je wajua: Simba ndio timu inayoongoza kupokea vichapo vizito EA

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Salaam Wana jf......

Weekend hii nilikuwa najaribu ku retrieve timu zinazo ongoza Kwa kupokea vipigo heavyweight hapa east Africa

Jibu limekuja kuwa Simba (Ayubu fc) ndiyo timu inayoongoza Kwa kupokea vipigo heavyweight Katika mashindano ya kimataifa

Mfano

Mwaka 2019

Simba 0 _ 5 As vita

Simba 0 __5 Al ahly

Simba 1 __ 4 Tp mazembe

Simba 0____3 Raja Casablanca
 
Salaam Wana jf......

Weekend hii nilikuwa najaribu ku retrieve timu zinazo ongoza Kwa kupokea vipigo heavyweight hapa east Africa

Jibu limekuja kuwa Simba (Ayubu fc) ndiyo timu inayoongoza Kwa kupokea vipigo heavyweight Katika mashindano ya kimataifa

Mfano

Mwaka 2019

Simba 0 _ 5 As vita

Simba 0 __5 Al ahly

Simba 1 __ 4 Tp mazembe

Simba 0____3 Raja Casablanca
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣 hahahaha hahaaaaaaaaaaaa...Ayoub FC.
 
Salaam Wana jf......

Weekend hii nilikuwa najaribu ku retrieve timu zinazo ongoza Kwa kupokea vipigo heavyweight hapa east Africa

Jibu limekuja kuwa Simba (Ayubu fc) ndiyo timu inayoongoza Kwa kupokea vipigo heavyweight Katika mashindano ya kimataifa

Mfano

Mwaka 2019

Simba 0 _ 5 As vita

Simba 0 __5 Al ahly

Simba 1 __ 4 Tp mazembe

Simba 0____3 Raja Casablanca
Kwa mtu mwenye akili angejiuliza kwanza, Je, hizo timu nyingine za EA zinazolinganishwa na Simba, huwa zinashiriki mashindano hayo, na huwa zinafika hatua ya kukutana na wababe hao? Lakini kwa kuwa mmetuambia kuwa huko wenye akili ni wawili tu, basi hilo swali wangeweza kujiuliza wawili tu 😁
 
Je wajua kuna hii👇
😅😂
download.jpeg
 
Kwa mtu mwenye akili angejiuliza kwanza, Je, hizo timu nyingine za EA zinazolinganishwa na Simba, huwa zinashiriki mashindano hayo, na huwa zinafika hatua ya kukutana na wababe hao? Lakini kwa kuwa mmetuambia kuwa huko wenye akili ni wawili tu, basi hilo swali wangeweza kujiuliza wawili tu [emoji16]
Yaaah mkuu nime consider factors zote.....mfano

Yanga wamefika final ...na kumpiga mwarabu kwake
 
Back
Top Bottom