Je wajua: Simba ndio timu inayoongoza kupokea vichapo vizito EA

Je wajua: Simba ndio timu inayoongoza kupokea vichapo vizito EA

Yaaah mkuu nime consider factors zote.....mfano

Yanga wamefika final ...na kumpiga mwarabu kwake
Moja kati y vipaji adimu duniani ni ukosef wa akili, watu walio na kipaji hiki wapo wengi ila hawajui namna ya kukitumia, angalau wewe umethibitisha kuwa unajua kutumia kipaji chako, yaan simba afungwe na al ahly wewe ufanye reference na usma ambayo haijui hata CAFCL inafananaje
 
Afu kuna hii ya mwaka jana👇

images (1).jpeg
 
Moja kati y vipaji adimu duniani ni ukosef wa akili, watu walio na kipaji hiki wapo wengi ila hawajui namna ya kukitumia, angalau wewe umethibitisha kuwa unajua kutumia kipaji chako, yaan simba afungwe na al ahly wewe ufanye reference na usma ambayo haijui hata CAFCL inafananaje
Yaaah mkuu mi ni genius

USM Alger aliyepigwa na Yanga ......

Ndiye aliye mkanda Al ahly super cup[emoji23]
 
Salaam Wana jf......

Weekend hii nilikuwa najaribu ku retrieve timu zinazo ongoza Kwa kupokea vipigo heavyweight hapa east Africa

Jibu limekuja kuwa Simba (Ayubu fc) ndiyo timu inayoongoza Kwa kupokea vipigo heavyweight Katika mashindano ya kimataifa

Mfano

Mwaka 2019

Simba 0 _ 5 As vita

Simba 0 __5 Al ahly

Simba 1 __ 4 Tp mazembe

Simba 0____3 Raja Casablanca
Yanga ndio tjmu pekee top three iliyopoteza. TENA KWA VIBONDE IHEF
 
Back
Top Bottom