Kuhusu upande wa CAF hili halina mjadala.....hapa simba mmetuzidi parefu [emoji23][emoji23]SIMBA watabaki kuwa SIMBA.. Labani og umeshawahi kuona damu ya manjano? Lakini nina hakika umeshawahi kusikia ugonjwa wa manjano.. Ama kuugua[emoji1787]View attachment 2321515
Sent using Jamii Forums mobile app
vizuri kabisaMakolo najua wanaelewa hii
Kama SIMBA[emoji173] day tuu[emoji322][emoji322][emoji322]Mkuu....wew ngap ngap huko
[emoji3][emoji3] ile ni maigizoMkuu.....umewahi kucheki movie ya Arnold schwezniger ( the Terminator) ......lile robot Lina rangi ya kijani kabisa ( yanga)
Asante sana[emoji23]Kuhusu upande wa CAF hili halina mjadala.....hapa simba mmetuzidi parefu [emoji23][emoji23]
though.....tunapambana mwaka huu tuje na hili kombe la CAF
Upe muda wakati kesho sio mbali yakhe...!Hapo ndipo mtakapofeli.....Kama mtatumia effort mlizotumia kumfunga st George
C+S+M=3Mku....Criteria gan umetumia ku prove hyo ndoto
Past passive tense..[emoji23] wangekua..!Japo nadhani wazungu walikuwa wanajaribu ku demonstrate iwapo binadamu wangekua na green blood ...Basi wangekua most powerful creatures than hiv tulivyo[emoji23][emoji23]
Hahaha[emoji23] sawa sawa..!Baada ya mechi ....ntakupigia simu usiizime....yajayo yanafurahisha
Wana hasira hawaja alikwa CAF Arusha. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mashabiki wa Yanga wamechanganyikiwa wanahitaji Msaada.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ahsanteeeeee, tena uwaambie na utopolo wenzio waelewe.Kuhusu upande wa CAF hili halina mjadala.....hapa simba mmetuzidi parefu [emoji23][emoji23]
though.....tunapambana mwaka huu tuje na hili kombe la CAF
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwisha habari yakooooJapo nadhani wazungu walikuwa wanajaribu ku demonstrate iwapo binadamu wangekua na green blood ...Basi wangekua most powerful creatures than hiv tulivyo[emoji23][emoji23]