Je, wajua Simba ni timu iliyofungwa zaidi na Yanga hapa duniani?

Kuhusu upande wa CAF hili halina mjadala.....hapa simba mmetuzidi parefu [emoji23][emoji23]
though.....tunapambana mwaka huu tuje na hili kombe la CAF
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ahsanteeeeee, tena uwaambie na utopolo wenzio waelewe.
 
Japo nadhani wazungu walikuwa wanajaribu ku demonstrate iwapo binadamu wangekua na green blood ...Basi wangekua most powerful creatures than hiv tulivyo[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwisha habari yakoooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…