Sabih kilimo
Member
- Feb 10, 2019
- 54
- 30
Je wajua mwanaume anapoumia korodani maumivu yake ni sawa na kuvunjika mifupa 200 kwa wakati mmoja? Jaribu kumpiga mwenzio au jipige uone!!!Mwanamke anapokuwa anajifungua maumivu yake ni sawa na kuvunjika mifupa 20 kwa wakati mmoja.
Women are champions. Then bado tunafikiri wanaume ni imara.
Haipo hata top ten.... Uholanzi ina uwiano wa mita 1.838 kwa urefu wa watu wake..Sio Sweden??
Je wajua?Mie ukinikuta maeneo ya chuo chcht huwa wanajua mie dent...niweke club nafit..niweke beach nafit.....niweke kwa madada wa mujini nafit...niweke as a modern woman nafit...!niweke km hustla wa mwendo kasi nafit[emoji126][emoji126][emoji126]!
Je wajua?
Hata ukiwa na Mimi utafit?
Je wajua?[emoji23][emoji23][emoji23] Je wajua mimi napenda mwanaume awe smart kichwani??asiwe mbulukenge km Musiba
Je wajua?
Mimi sio kama Musiba?
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]Je unajua kuwa nchini Uingereza mwanamke mjamzito akibanwa na mkojo ghafla kama kuna polisi wa kike karibu ni wajibu wake kumpa kofia yake akojolee.
Hivi my dear aliyesema kuwa na watoto ndio ukubwa nani[emoji134][emoji134] mtoto wa kaka yangu ana mtoto anakaribia kutimiza mwaka na amekulia mgongoni kwanguMother Confessor mtoto sana kwangu ww...hebu uwe seruous..mwenzake nna 2kids..yy najua hana!
yaan km kuoa wanangu wataoa watoto wake[emoji4]..mie napishana miez na dada Kassie mahabat
Hivi my dear aliyesema kuwa na watoto ndio ukubwa nani[emoji134][emoji134] mtoto wa kaka yangu ana mtoto anakaribia kutimiza mwaka na amekulia mgongoni kwangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] .Uko sahihi lakini kumbuka mie sijazaa na miaka 16 jaman
Mxiuu Mayo Mwache Dada yanguJe!wajua Tulia ackson ndo mbunge mwanamke mwenye roho mbaya Ukanda wa EA?
Je wajua Ndugai ndo supika mwenye vidole 7 mguuni badala ya 10!
Je wajua Tundu lissu ndo Raisi ajaye?
JE WAJUA?
Je wajua tasnia ya uandiishi wa habari imeingilia na shoga Musiba??
-Nungunungu ana mbo.o yenye vichwa vi4 na vyote huwa vinapokezana wkt wa kujamiiana(sio kimoja tu kinaenjoy eti teh teh)
-Water boatman(insect/mdudu:Micronesa scholtzi) ana uwezo wa kutengeneza mziki kwa kutumia mbo.o yake(ule mziki kama tunaosikia usiku crickets wakiimba bas huyu ana uwezo wa kuutengeneza kwa kugongesha mbo.o yake tumboni
Naona Mkuu ume specialize kwenye mbo.o-Bernacle(mdudu wa baharini) ndio kiumbe mwenye mbo.o ndefu kuliko wote duniani. Ana dudu la yuyu lenye urefu karibu mara 40 ya urefu wake....kwa binadamu cjui sie wenye urefu futi6 kasoro tungekua tunavuta mzigo wa futi240( mita 70+) kwenye toroli teh teh
mkuu mwaka huu chinese wametuma kifaa na kimefika kwenye dark side of the moonMwezi ni satellite ya asili. Hujizungusha kwenye mhimili wake kwa kukamilisha mzunguko wake huku ikiizunguka Dunia. Ajabu ni kwamba gravity ya Dunia inaushikilia Mwezi kwa kiasi kwamba Mwezi huizunguka Dunia kwa kuiangalia sura(upande) uleule unaotizamana na Dunia siku zote.
Kwa ufupi, one side ya Moon always faces us. Kwa hiyo, the dark side of the moon hatuijui. Tafiti yake imebakia kua ya fikra, na maswali ya fikra yanajibika kwa fikra.