Je Wajua kua Mwanafa anaweza kuifanya viagra ikapata tatizo la nguvu za kiume
Je wajua Tanzania ndio nchi pekee yenye marais wengi ? rais wa manzese,rais wa wasafi,rais wa tff,rais wa wanaume swebe japo jk ndio kiongozi wa nchi
Je, wajua?
Tanzania ndio inchi yenye watu wenye IQ ndogo EA.
je wajua asali haiozi
Je wajua kuwa wanawake wakiwa kwenye hedhi wana uwezo mkubwa wa kuhisi uwepo wa Nyoka.
Hii thread ilikuwa nzuri lkn watu wanaichafua kwa ushabiki wao wa kijinga..na pia mtu analeta kitu cha kipuuzi kabisa tena kisicho na mashiko.
je wajua sauti zina rangi mbali mbali hivyo kumwezesha mtu asiyekuwa na uwezo wa kusikia kuzitambua sauti hizo kwa kuangalia na ku analyse rangi zake?
Je wajua asilimia kubwa ya sisi wanaume tunapoenda kujisaidia haja ndogo mara nyingi tunatemea mate eneo husika baada ya kumaliza haja
je wajua yule askali wa kiyahudi aliye mchoma yesu mkuki ikatoka damu na maji miaka zaidi ya elfu mbili bado anaishi mpaka leo na ataishi mpaka siku ya kiama
Je wajua kuwa Wanahanga hawaruhusiwi kula maharage muda mfupi kabla ya kuingia ktk space? Unajua kwanini?