Je, wajua? - Special Thread

Je, wajua? - Special Thread

Je wajua kicheche ndiye mnyama mdogo sana, lakini ana maajabu makubwa. Ana uwezo wa kumdaka kuku wa aina yoyote kwa kutumia mkia wake.

Lakini cha ajabu zaid hawezi kuishi bila kufanya mapenzi, ana uwezo wa kufanya mapenzi mara 26 kwa siku pia ni sawa na kukimbia umbali wa Km 360 kwa siku.

Na ndio maana mwanamke malaya sana huitwa kicheche najua hujui ila ndio nawajuza zaidi.

Ni kwamba hamdaki kuku kwa mkia wake bali ile mudomo ruku behind huitanua ng'waa na kuku akiona hutamani na kutaka kudonoa ndio hapo kwenye udonozi jamaa hubana ile malighafi na kutimua mbio huku kabana tight mark! Hapo kuku ata surphocate mpaka afe
 
Ya mwisho itaitwa infinilion sababu ukitaka kuandika sifuri mpaka mwisho hautaweza na sifuri 300 za bongo ni tofauti sana na sifuri 50 za America.
 
Nashukuru sana mkuu mlendamboga hizi ndo mada nilizokuwa nazitaka, umenitoa umenipa jeuri sana.
 
Mimi nataka kiwa kinyume, nimechola kukaririshwa.
Kama tunaanza na elfu inafuata elfu kumi, kisha laki. (kumbuka laki).
Kisha million milioni kumi kisha milioni mia (kumbuka million mia).
Kisha millon mia billion moja halafu billion mia.
Sasa kama kila naada ya kumi ni mia kwanini kumi ya mwanzo ilipewa jina??. yaani laki.
Baaaasi nopewe jina la millioni mia ndio tuelewane.
NIMAWAZO TU WANAJAMVI MSINITUKANE NIMECHOKA NA MAJANGA YA KI KWE Teeeee

Nafikiri tatizo lipo kwetu waswahili juu ya neno LAKI (elfu mia moja) tumelitoa wapi tukakosa maneno mengine kwa MILIONI MIA MOJA, BILIONI MIA MOJA, nk. Nafikiri wazungu mtiririko wao hauna mshikeli kabisa: 100thousands, 100millions, 100billions, 100trillions, etc. Wenzetu hawana LAKI!
 
Ahsante kwa darasa zuri, ila hapo kwenye Trillion na Quadrillion idadi ya masifuri uliyoyaandika imelingana (typing error)! Pamoja!
 
Back
Top Bottom