TuntemekeSanga
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,346
- 862
JE,WAJUA??
FARASI anao uwezo wa kuhisi(detect) hatari au balaa lililoko kilometa tano(5kms) mbele ya safari.
Kama kuna hatari hiyo, huwa anagoma kuendelea na safari.Hatari hizo inaweza kuwa Nyoka mkali,vita au waharifu.
Na kama (in case unaendanae vitani,kama anaamini hauko well equipped na hawezi kupambana nayeye labda akabaki hai,basi hugomea safari au husimama na kugomea route hiyo.
FARASI anao uwezo wa kuhisi(detect) hatari au balaa lililoko kilometa tano(5kms) mbele ya safari.
Kama kuna hatari hiyo, huwa anagoma kuendelea na safari.Hatari hizo inaweza kuwa Nyoka mkali,vita au waharifu.
Na kama (in case unaendanae vitani,kama anaamini hauko well equipped na hawezi kupambana nayeye labda akabaki hai,basi hugomea safari au husimama na kugomea route hiyo.