je wajua watu wengi(sio wote) majina waliosave kwenye simu zao mengi yanaanzia herufi M ??
Upo sahihi mkuu hata jana nilimsikia Dr Twalib Ngoma akiongea hiyo kitu kupitia sauti ya amerika(voa)Elimu nzuri hiyo.
Je wajua ya ubongo umegawanyika kulia na kushoto ambapo upande wake wa kulia hudhibiti upande wa kushoto wa mwili na ule wa kushoto hudhibiti upande wa kulia wa mwili.
Mkuu usistuke! Mbona huulizi gesi tunazotumia maju,bani kupikia zinapimwa kwa kilogramu. Hapo anamaanisha ushuzi huo unaweza kujaza chupa ya nusu lita.hiyo ya ushuzi imeniacha hoi,kipimo cha hewa ni tofauti na kipimo cha kimiminika
Binadamu wengi hawajui ya kwamba kinywaji cha fanta kinachotengenezwa na kampuni ya Marekani ya Coca Cola kiligunduliwa na Manazi chini ya Uongozi wa Adolfu Hitler! Hivyo kesho ukinywa Fanta ujue unakubali mchango wa manazi na Adolfu Hitler kwenya kustaarabisha Dunia!
Na tunaokunywa Viroba tunakubali mchango wa nani?