Je wajua marais watatu wa hivi karibuni akiwemo huyu wa sasa wa nchi ya Ghana wanaitwa John,ni kama ifuatavyo 2001-2009 John Kofi Kufuor,2009-2012 John Evans Atta Mills,2012 hadi sasa John Dramani Mahama. Nadhani itafikia hatua kila mwanasiasa wa Ghana atajiita John