enterior desgner
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 367
- 180
je wajua kwamba leo barca kafungwa 4-0.....hku wakiwa na mchezaji bora mara nne wa dunia
ndio najua...wamekomeshwa.
Je wajua kuwa mimi ni mumeo? .
Je wajua Irvan casanova ndiye mwanaume alyewah kugegeda wanawake (1426)weng kuliko mwanaume yeyote duniani
hqhahahaaaa
Kwanza utambue simba ndiye Mkuu wa pori na hakuna anayesimama mbele yake. Na wakiwa na njaa simba ni balaa. Mara chache tembo au nyati dume mkubwa anaweza kupigana hasa simba akiwa mmoja. Mbwa mwitu hutembea kundi na mara nyingi simba anaogopa kupigana nao na pia siyo kitoweo chake bora
He wajua Bill Gates akiamka asubuhi akute account yake ina kiasi cha pesa kama cha dangote anaweza kujirusha lutoka ghorofa ya 50 afe kabisa?
Je wajua mwarobaini wa "goli la mkono" ni kukata kiganja??
Wakati wa kampeni wananchi wapewe fursa ya kuuliza maswali hii itasaidia sana kupambana na ulaghai.
Patakuwa patamu pale viongozi watakapotakiwa kuthibitisha kuhusu kauli zao za siku za nyuma..
Changamoto aisee..achana na hili wazo.