Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimi nimekwisha piga mbizi ila tutamuuliza tu.
YAANI KWELI CCM MMEKOSA HATA VYA KUANDIKA,ndio nini hii sasa? Unafikiri Watanzania wanadanganyika tena? KURA YETU NI KWA LOWASSA NA VIONGOZI WA UKAWA.
Je wajua kuwa logo ya timu ya Yanga ina picha ya Ice cream ya azam ambao ni mabingwa wapya wa VPL.
Je wajua Kisiwa cha Mafia kilichopo bahari ya Hindi chenye kata 7 na wakazi wapatao 60,000 hakuna hata shule moja ya kidato cha sita?
sasa kama shule nzima inawanafunz 120 kuanzia form 1-1V we unadhan form V wataenda wangap kwa ufaulu wa miaka hii?
Tusaidie kwa kutuonyesha japo kwa picha ili tuamini na kujua zaidi
Amfuate mwizi acha upuzi wewe
Kamati ya mwakyembe ilizua jambo kwamba mitambo ya Richmond ni chakavu,lakini ndio hii inayozalisha hiki kiumeme cha kututoa aibu dhidi ya mgao,mwakyembe aombe radhi na amfate lowasa akiwa hai wafanye upatanisho
Kamati ya mwakyembe ilizua jambo kwamba mitambo ya Richmond ni chakavu,lakini ndio hii inayozalisha hiki kiumeme cha kututoa aibu dhidi ya mgao,mwakyembe aombe radhi na amfate lowasa akiwa hai wafanye upatanisho