Je, wajua? - Special Thread

Je wajua cocacola ya kwanza kutengenezwa ilikua ya kijani. !
 
Je wajua kuwa neno refu zaidi la kiingereza lisilo na herufi hata moja inayojirudia ni UNCOPYRIGHTABLE
 
Reactions: me1

Majina yanayoanza na J wengi wao nyota zao ni za kuongoza. Angalia hapa kwetu,
JKN
JMK
JPM

Angalia pia
JOMO KENYATA
JOHN KENEDY
JOSE MUJICA
JOSEPH KABILA
JUMA KAPUYA
JOHN KOMBA
nk
 

Mkuu hiyo namba 1 imenishangaza sana tu.

Huu uzi unafundisha sana.
 
Sema kutokea kwa ulimwengu maana ukisema kuumbwa kwa ulimwengu inamaanisha una-refer vitabu vya dini ambavyo kwa mujibu wake vinadai ulimwengu una miaka 6,000 tu

Labda useme kitabu "cha" dini na siyo "vya" dini, na utaje cha dini ipi ulichokisoma ukaona hayo.

Qur'an ambacho ni kitabu cha dini yangu kisicho shaka ndani yake, hakisemi hivyo.
 
Jee, wajua kuwa Muhammad Ali boxer maarufu kupita wote duniani. Kwenye nyota yake iliyopo Hollywood Walk of Fame, ndiyo pekee imetunddikwa ukutani na haikuwekwa chini kama za ma star wengine wote? Jionee kwanini:

 
Last edited by a moderator:
ju wajua uzito wa tembo unalingana au umepishana kidogo sana na uzito wa mnyama nyangumi?? wajua hilo??

No. Ulimi wa nyangumi ndio unalingana na tembo
 
Je, wajua kuwa zezeta wa Primary aweza kuwa bright wa secondari hadi chuo kikuu?
 
Je wajua kuwa magufuli amenirudisha ccm rasmi?
 
Je wajua kuwa tanzania kuna waspmi wengi wasioweza kuandika barua ya kikazi kwa lugha ya kiingereza??

Sio Tanzania pekee nina uhakika nchi nyingi ulimwenguni ambazo kiingereza sio lugha ya kwanza,zina wasomi wengi wasioweza kuandika,kusoma na kuongea kiingereza.Kama uamini nenda China
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…