cley mallya
Member
- Sep 15, 2015
- 57
- 24
Ahsante.
Ngoja niifanyie kazi
Hahaaaa!je wajua askari wakitanzania walimwagikiwa na maji ya washawasha wakajikuna mpaka wakavua chupi zao
Je wajua marais watatu wa hivi karibuni akiwemo huyu wa sasa wa nchi ya Ghana wanaitwa John,ni kama ifuatavyo 2001-2009 John Kofi Kufuor,2009-2012 John Evans Atta Mills,2012 hadi sasa John Dramani Mahama. Nadhani itafikia hatua kila mwanasiasa wa Ghana atajiita John
Habari wana JF! Katika pita pita yangu nimekutana na mambo yafuatayo hapa chini nikaona ni vizuri tujuzane, kama kuna anayeweza kutuongezea, pia siyo mbaya: Je wajua;
1.Tar 4/4, 6/6, 8/8, 10/10 &12/12 zinaangukia siku moja kwa mwaka wowote?
2.Fisi hujifungua kupitia kisimi?
3.Mstari wa Equator hupitia nchi 13 ambazo ni: Ecuador,Colombia, Brazil, Sao Tome & Principe, Gabon, Republic of the Congo,Democratic Republic of the Congo, Uganda, Kenya, Somalia, Maldives, Indonesia na Kiribati.
4.Chuo kikuu cha Al ? Azhar kilichoko Cairo nchini Misri ndicho chuo kikuu cha zamani zaidi duniani, kilianzishwa mwaka 969 AD.
5.Pesa ya noti haikutengenezwa kwa karatasi bali kwa pamba?
6.Ulimi wa Kinyonga ni mrefu kuliko mwili wake?
7.Binadamu hutengeneza wastani wa nusu lita ya ushuzi kwa siku?
Sema kutokea kwa ulimwengu maana ukisema kuumbwa kwa ulimwengu inamaanisha una-refer vitabu vya dini ambavyo kwa mujibu wake vinadai ulimwengu una miaka 6,000 tu
ju wajua uzito wa tembo unalingana au umepishana kidogo sana na uzito wa mnyama nyangumi?? wajua hilo??
No. Ulimi wa nyangumi ndio unalingana na tembi
Je wajua kwamba uzito wa sisimizi wote waliopo duniani wakiwekwa pamoja ni sawa na uzito wa binadamu wote waliopo duniani?
Je wajua Wilaya ya KONDOA ni wilaya yenye jina ambalo kila herufi ukitoa kuanzia kushoto jina linalobaki lina maana?
Je wajua kuwa tanzania kuna waspmi wengi wasioweza kuandika barua ya kikazi kwa lugha ya kiingereza??
Imekaa vizuri sana hiyo