Jee, wajua kuwa Muhammad Ali boxer maarufu kupita wote duniani. Kwenye nyota yake iliyopo Hollywood Walk of Fame, ndiyo pekee imetunddikwa ukutani na haikuwekwa chini kama za ma star wengine wote? Jionee kwanini:
we aliyekuambia ni boxer maarufu nani
Je wajua Tembo anao uwezo wa kuokota sindano kwa kutumia mkonga wake
Jee, wajua kuwa Muhammad Ali boxer maarufu kupita wote duniani. Kwenye nyota yake iliyopo Hollywood Walk of Fame, ndiyo pekee imetunddikwa ukutani na haikuwekwa chini kama za ma star wengine wote? Jionee kwanini:
Nafikiri tatizo lipo kwetu waswahili juu ya neno LAKI (elfu mia moja) tumelitoa wapi tukakosa maneno mengine kwa MILIONI MIA MOJA, BILIONI MIA MOJA, nk. Nafikiri wazungu mtiririko wao hauna mshikeli kabisa: 100thousands, 100millions, 100billions, 100trillions, etc. Wenzetu hawana LAKI!
Je wajua?
Jicho ndo kiungo pekee kwenye mwili wa binadamu ambacho hakibadiliki/kukua toka siku unazaliwa mpaka unakufa.
Jee, wajua kuwa Muhammad Ali boxer maarufu kupita wote duniani. Kwenye nyota yake iliyopo Hollywood Walk of Fame, ndiyo pekee imetunddikwa ukutani na haikuwekwa chini kama za ma star wengine wote? Jionee kwanini:
Muongo
Mbwa mwitu hata akiwa mmoja simba 10 hawamwezi
Mshikaji kazingua, wewe unafikiri kweli.Kw hy mwana mke akisha jifungua hawezi kunywa chai na mkate !!!!????
Ukisoma huelewi basi hata picha huoni?
Nasikia wameiongeza na ndagoni,kwasasa ziko 8,Je wajua Kisiwa cha Mafia kilichopo bahari ya Hindi chenye kata 7 na wakazi wapatao 60,000 hakuna hata shule moja ya kidato cha sita?