42_007
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 1,561
- 824
Je wajua kama we hujui unachokiamini?Si kweli binadamu huutumia ubongo wake kwa 100%.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je wajua kama we hujui unachokiamini?Si kweli binadamu huutumia ubongo wake kwa 100%.
Hata ukipewa ushahidi utakataa...coz we unapinga kila kitu..Lete ushahidi wa kisayansi kuthibitisha hili.
unaujua ubongo mwanadamu na kazi unazofanya?.
unaposema anatumia kwa asilimia isiyozidi moja, anatumia kwenye nini?.
kwa mujibu wako 99% ya ubongo haitumiki je ni sehemu gani isiyotumika?.
Je wajua kwamba tair la bajaji ni lefu kuliko ndoo ya maji?
Naombeni amani[emoji1]Je wajua kua nyuz za buibui ni ngumu kuliko chuma
Wongo!!!,mbona mimi huwa ninaanza na wa kulia!!!.Je wajua mwanaume akianza kutembea anaanza mguu wa kushoto na mwanamke anatanguliza mguu wa kulia...
Kama hujui chukua na uanze kufanya research yako.
Kwa kufundisha tu,kuamini hakuitaji kujua,ukishajua huwezi kuamini.Je wajua kama we hujui unachokiamini?
jichunguze labda ww n wakikeWongo!!!,mbona mimi huwa ninaanza na wa kulia!!!.
Kama unanipa ushahidi wa kibailojia unaokubalika kuhusu ubongo kutumika kwa 2% tu kwanini nisikubali?.Hata ukipewa ushahidi utakataa...coz we unapinga kila kitu..
Cheki baadhi ya tabia zako....Wongo!!!,mbona mimi huwa ninaanza na wa kulia!!!.
Uongo....! Juzi ilikuwa alhamisi Na hapo inaoneshwa umejiunga jumatatu.Je wajua kuwa mimi Nimejiunga Jf juzi?
Sikufahamu hili.Je wajua kua namba ya pages JF zinategemea umeset ionyeshe post ngapi kwa page?mimi niko page ya 24 sababu nimeweka kila page post 50.
Mbona waguna yakhe, have you tried it??Mmmmh