labda wanatumia uzazi wa mpango"ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi"
mara 26 kwa siku lakini idadi yao.......🙁🙁
Dah kweli Mpwa wewe ni kicheche hahahhahaa asante kwa taarifa nzuriKicheche ni mnyama mdogo sana lakini ana maajabu makubwa. Ana uwezo wa kumdaka kuku wa aina yoyote kwa kutumia mkia wake, lakini cha ajabu zaidi
hawezi kuishi bila kufanya mapenzi, ana uwezo wa kufanya mapenzi mara 26 kwa siku pia ni sawa na kukimbia umbali wa Km 360 kwa siku.
Na ndio maana mtu malaya sana huitwa kicheche.
Najua wajua ila nakujuza zaidi.
watakuwa wanakula chipsi sidhani kama watafikisha hata 10 kwa sikumkuu kwani vicheche wa Dar hufanya marangapi kwa siku?
ha ha ha..labda wanatumia uzazi wa mpango
Kuna wahuni wengine hawapendi sana kufanya malovee.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiseeee!
Nilikuwa sijui kwanini wahuni huitwa vicheche...asante.
Hivi.....Kuna wahuni wengine hawapendi sana kufanya malovee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiseeee!
Nilikuwa sijui kwanini wahuni huitwa vicheche...asante.
Uhuni upo wa aina nyingi... Bangi, madawa, mavazi, kauli(matusi), pombe na hata mademu au wanaume, ila malaya ni waaina moja tuu nao ni wa kimapenziHivi.....
Kuna tofauti gani kati ya MUHUNI na MALAYA?