Je, wajua? - Special Thread

Je, wajua? - Special Thread

"ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi"
mara 26 kwa siku lakini idadi yao.......🙁🙁
 
Je, wajua kuwa muigizaji filamu wa Uingereza CHIPO CHUNG alizaliwa nchini Tanzania?

Mojawapo ya kazi zake ni kama kipindi cha televisheni yaani TV series inayojulikana ka CAMELOT.

Kama ulikuwa hujui, sasa umejua.
 
Kicheche ni mnyama mdogo sana lakini ana maajabu makubwa. Ana uwezo wa kumdaka kuku wa aina yoyote kwa kutumia mkia wake, lakini cha ajabu zaidi
hawezi kuishi bila kufanya mapenzi, ana uwezo wa kufanya mapenzi mara 26 kwa siku pia ni sawa na kukimbia umbali wa Km 360 kwa siku.
Na ndio maana mtu malaya sana huitwa kicheche.


Najua wajua ila nakujuza zaidi.
Dah kweli Mpwa wewe ni kicheche hahahhahaa asante kwa taarifa nzuri
 
labda wanatumia uzazi wa mpango
ha ha ha..
kauli mbiu yao nazani ni hapa mpango tu..
lkn nazani nature inahusika hapa maana hawa jamaa wangekuwa wengi kuku tungewalaza kitandani...
 
Hebu tuwekee picha yake tumjue
1468582069325.jpg
1468582073549.jpg
1468582078480.jpg
 
Back
Top Bottom