MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,701
- 71,056
Hazina dili kule kama maji tu huku!Watu wa huko watakuwa ni matajiri sana
Basi watakuwa wanachezea bao kama babu zetu kule shinyanga walivyokuwa wanachezea baoHazina dili kule kama maji tu huku!
kama una uhakika, weka link siyo blabla tuLETE PICHA
Hahaa mnataka mfunge safari muende mkakinge utajirikama una uhakika, weka link siyo blabla tu
Utafia hukohuko na ungo wako!Kwa Hali ya maisha saiz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mshana nipe ungo Niende zangu
Niliipenda pia//Nimeipenda hii
mzee hazizoleki zile kutokana na Gesi kali iliyopo huko, kias kwamba wewe na Pikapu mtageuka almasi pia!Tuna kapikapu ketu ka Kirikou
Lakini barabara ya kwenda huko si ni ya lami daraja LA standard gauge?mzee hazizoleki zile kutokana na Gesi kali iliyopo huko, kias kwamba wewe na Pikapu mtageuka almasi pia!
Nenda google [HASHTAG]#NASA[/HASHTAG] ukasome, vipi unataka kwenda nini?Mmmh source ya hii taarifa ni nini?
Yah yah[emoji1]Lakini barabara ya kwenda huko si ni ya lami daraja LA standard gauge?
He!Kumbe kweli!!Je wajua kuwa Sayari ya Jupiter na Saturn hunyesha mvua ya Almas?
Huku Venus ikinyesha mvua ya Sulphuric acid pamoja na radi.
Ni kweli sema hakuingiliki! Ni marekani peke yao ndio wanaweza kuzichota hizo kitu magunia kwa magunia na kuyaleta dunianiHe!Kumbe kweli!!
Nilikuw nasubir wachangiaji wapinge lakn sijaona hata mmoja had sasa
Sulphuric acid na carboxylic acid...ah ahHalafu dunia ni citric na amino acids
Sijui.... na ni uongo uliotukuka km hadith za abunuasi...... marekani angekua kila siku anahangaika kutengeneza mitambo.. akaichote iyo almasi ..... almasi unaijua weweJe wajua kuwa Sayari ya Jupiter na Saturn hunyesha mvua ya Almas?
Huku Venus ikinyesha mvua ya Sulphuric acid pamoja na radi.