Whydriver
Member
- Feb 23, 2015
- 54
- 28
Bado hawajatokeaga!!!..Matrilionea huwa hawatajwi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hawajatokeaga!!!..Matrilionea huwa hawatajwi?
Wapo ila hawawezi kutajwa wanajulikana akina Rockefeller family na Rothschild.Bado hawajatokeaga!!!..
mhiiiii hatariJe wajua wino uliopo katika kalamu una uwezo wa kuchora mstari wenye urefu wa kilometa 3?
Kwelije wajua ukiKaa mwenyewe kila siku unakua kichaa
Daah nimekunywaa nyumba nying sanaKila ukinywa bia 1 umekunywa tofali 2 za kujengea.
Bia 1 kwa bei ya kawaida ni Tsh 2500/= na tofali 1 la inch 6 kwa maeneo mengi ya nchi ni bei isiyozidi Tsh. 1300/=
Kama unakunywa wastani wa bia 5 kwa siku (kipimo cha kawaida) maana yake unakunywa bia 1,825 kwa mwaka sawa na tofali 3,650
Tofali 3,650 zinatosha kujenga nyumba 1 ya room 3 self contained ya kisasa. Hii inamaanisha kuwa kama wewe ni mnywaji basi kila mwaka unakunywa angalau nyumba 1 au 2
Sasa ebu jiulize tangu umeanza bia hadi leo umekunywa nyumba ngapi?
Muhudumu ongeza bia. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
where is makonda there? huu ni uchochezi
Ndio hivyo mkuuOoooho kumbe...
Hii KweliJe wajua Rula ya Sentimita 30 ni ndefu kuliko Kindoo kidogo cha maji, kama huamini pima afu lete feedback hapa
Wewe usiekunywa nyumba zako ziko wapi?Kila ukinywa bia 1 umekunywa tofali 2 za kujengea.
Bia 1 kwa bei ya kawaida ni Tsh 2500/= na tofali 1 la inch 6 kwa maeneo mengi ya nchi ni bei isiyozidi Tsh. 1300/=
Kama unakunywa wastani wa bia 5 kwa siku (kipimo cha kawaida) maana yake unakunywa bia 1,825 kwa mwaka sawa na tofali 3,650
Tofali 3,650 zinatosha kujenga nyumba 1 ya room 3 self contained ya kisasa. Hii inamaanisha kuwa kama wewe ni mnywaji basi kila mwaka unakunywa angalau nyumba 1 au 2
Sasa ebu jiulize tangu umeanza bia hadi leo umekunywa nyumba ngapi?
Muhudumu ongeza bia. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hii ni kweli asee, lakin pale tu ambapo utakua hujajiweka kwann nisianze na upi, lakin automatically ukiamka tu lazma uanze na kusho kama ni MeJe wajua mwanaume akianza kutembea anaanza mguu wa kushoto na mwanamke anatanguliza mguu wa kulia...
Kama hujui chukua na uanze kufanya research yako.