Wajua kuwa lugha ya kiarabu inaongoza duniani kwa kuwa na waongeaji wengi ikiwa na idadi ya watu milioni 170 ikifuatiwa na Kiingereza watu milioni 130 na Ufaransa watu milioni 115?.
Sio kweli wew nadhani umesimuliwa Singida hakuna tatizo kubwa sn la maji kama Shinyanga ,Tabora.kwan singda watertable zipo karibu zaid ya mikoa mingine..japo haina mito kama moshi Arusha,rukwa mby,songea na iringa lkn kuna underground livers ambapo unaweza kusupply maji meng zaid hata vijijin..wilaya ya manyon pekee ndio ina shida ya maji lkn tatizo lk wekewa nguvu ya ziada mambo mazurJe wajua mwanza ndio mkoa wenye kiasi kikubwa cha maji kuliko mkoa wowote hapa tz na singida ndio mkoa mkame kabisa
ndo hvyo
Ndio ushajua hivyoSujui
Nikibeb mimba nutaendaNdio ushajua hivyo
nitakuwepo kukusindikizaNikibeb mimba nutaenda