Je, wajua? - Special Thread

Je, wajua? - Special Thread

namkubali sana Hitler alikuwa kiboko kwa opportunitist wakazingizia wameuliwa.
 
mmeanza wengine message inasambaa eti bible za kwenye simu ni mipango ya shetani
 
Binadamu wengi hawajui ya kwamba kinywaji cha fanta kinachotengenezwa na kampuni ya Marekani ya Coca Cola kiligunduliwa na Manazi chini ya Uongozi wa Adolfu Hitler! Hivyo kesho ukinywa Fanta ujue unakubali mchango wa manazi na Adolfu Hitler kwenya kustaarabisha Dunia!

Kwenya ndio nn?
 
binadamu wengi hawajui ya kwamba kinywaji cha fanta kinachotengenezwa na kampuni ya marekani ya coca cola kiligunduliwa na manazi chini ya uongozi wa adolfu hitler! hivyo kesho ukinywa fanta ujue unakubali mchango wa manazi na adolfu hitler kwenya kustaarabisha dunia!
foolish
africans
never
take
alcohol
 
Binadamu wengi hawajui ya kwamba kinywaji cha fanta kinachotengenezwa na kampuni ya Marekani ya Coca Cola kiligunduliwa na Manazi chini ya Uongozi wa Adolfu Hitler! Hivyo kesho ukinywa Fanta ujue unakubali mchango wa manazi na Adolfu Hitler kwenya kustaarabisha Dunia!

Hata social security scheme alianzisha huyohuyo hitler wengine wakaiga
 
je wajua kama CCM haitaondoka madarakani mpaka vitokee vita vya msituni?😀
 
Je wajua Kenge ndio mdudu taahira kiasi kwamba ikinyesha mvua anakimbia asilowane kisha anaingia mtoni?

ha ha ha ha ha. nimecheka sana, leo nimejua kumbe ndo mana wakati wadogo 2likuwa 2kifanya mambo ya ajabu kaka alikuwa anambia "acha ukenge wewe" kumbe sababu ni hii, asante ku2juza
 
jee wajua WATANZANIA ni wenye uelewa zaidi kuhusu dini kuliko nchi yoyote ile ya east and central africa?
 
  • Thanks
Reactions: me1
Back
Top Bottom