vidudi
Member
- Jun 28, 2016
- 75
- 37
N
Nao wana nyumba ndogoAna wanawake wawili mpk wanne..! he! kumbe wanawake pia wanadate na tembo!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nao wana nyumba ndogoAna wanawake wawili mpk wanne..! he! kumbe wanawake pia wanadate na tembo!!!
Ndo maana yakeHahahahahahaha umenivunja mbavu. wanawake wanne?
HahahaaaaaAna wanawake wawili mpk wanne..! he! kumbe wanawake pia wanadate na tembo!!!
Hiyo no 11[emoji125] [emoji125] [emoji125]USILOLIJUA KUHUSU TEMBO.
1. Tembo, Pamoja na ukubwa wake, akitembea hana kishindo kabisa. Miguu yake kwa chini ni kama ina sponji hivi.
2. Tembo ana uzito wa tani 7
3. Tembo jike hubeba mimba miaka 2
4.Tembo mtoto huzaliwa akiwa na kilo 80
5. Chakula cha tembo kwa siku ni kilo 300 na maji lita 40
6. Uume wa tembo una kilo 27, ukimuona wakati anafanya mapenzi kwa nyuma unaweza kuhisi ana miguu mitatu.
7. Ni moja kati ya wanyama ambao hawapendi kelele
8. Wastani wa umri wake wa kuishi ni miaka 60.
9. Tembo hufanya mapenzi kwa masaa 12. Masaa 6 ya mwanzo huyatumia kumuandaa mwenzi wake, na 6 yanayobaki ndio shughuli yenyewe. Na hiyo ni ile raundi ya kwanza (bao la kwanza)
10. Tembo dume huwa na wanawake wawili mpaka wanne
11. Akipiga bao tembo dume manii zake ni ujazo wa lita tano.
UKIAMBIWA USIMUIGE TEMBO, UWE UNAELEWA
hilo shimo linatosha weweeeeno6... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ingekua ndo wanaume wa kawaida[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ninheacha mapenzi
Sijakuelewa umemaanisha nini mkuu.11. KUNGUNI HANAUWEZO WA KUKAA MWAKA MZIMA BILA KURA.
kwa uzito huo?hilo shimo linatosha weweeee
ee, yeckwa uzito huo?
Halafu dunia ni citric na amino acidsJe wajua kuwa Sayari ya Jupeter na Saturn Hunyesha mvua ya Almas!!?
Huku Venus ikinyesha mvua ya Sulphuric acid pamoja na radi!..
Mungu mkubwaHalafu dunia ni citric na amino acids
Mabasi ya kwenda huko yanapaki Wapi?Je wajua kuwa Sayari ya Jupeter na Saturn Hunyesha mvua ya Almas!!?
Haahaa mnaenda na mandoo kuzikingaMabasi ya kwenda huko yanapaki Wapi?
Nielekeze niende nikapande fasta na mshana jr tukaziwahi hizo almasi
Tuna kapikapu ketu ka KirikouHaahaa mnaenda na mandoo kuzikinga
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hahaah Umeniingizia Asubuhi!Tuna kapikapu ketu ka Kirikou
Lol kwaniniMungu atabaki kuwa Mungu. Nawaona wasioamini Mungu kama akili zao zimegonga ukuta