hivi kwanini waTz hatutaki kujisifu japo kidogo!!
tusipojikubali hakuna atakae tukubali
kila kitu chema cha Tanzania nyie kwenu kibaya!
sasa tuna sifa gani..?
wakati meingine mnaboa bwana!!!!
Nilikuwa sifahamu kuwa unajua kila kitu kinachomilikiwa na walinzi wetuso mitambo yao wanatestia kwenye mahandaki au!! At this ryt moment of tym unajifichia wapii satelites zinaonyesha kila kituu mzee....acha mawazo mgando' my point is tunatakiwa kuinvest zaidi kwenye technology.......the world has changed
Yaani nimekuelewa zaidi ya kukuelewaNilikuwa sifahamu kuwa unajua kila kitu kinachomilikiwa na walinzi wetu
Safi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
sure kabisa huu ndo ukwelii japo unaumizaDunia ya Sasa mwenye uchumi Imara na Bora ndio mwenye Jeshi Bora na Jeshi Imara. Sitegemei nchi ambayo inasuasua hata kusomesha elimu ya Juu vijana wake ikawa na jeshi bora!
La hasha endeleeni kujifariji.
Si dhambi hata Marekani wanafanya hivyo.Ile vita ya kagera tulisaidwa na majeshi mbalimbali wakiwemo waganda wenyewe, sisi peke yetu hatujawahi kupigana peke yetu
Una akili ndogo juu ya mambo ya kivitaMwingereza alipotawala nchi za Afrika Mashariki aligawa nguvu za kijeshi kama ifuatavyo:
1. TANZANIA ikawa ngome ya jeshi la ardhi na hivyo ikaongoza kuwa na vifaa vingi vya ardhini mf. vifaru, magari mbalimbali ya kivita na mizinga.
2. KENYA ikawa ngome ya jeshi la maji na hivyo ikaongoza kuwa na meli na boti nyingi za kivita.
3. UGANDA ikawa ngome ya jeshi la anga na hivyo ikaongoza kuwa na ndegevita.
ktk vita kati ya TZ na UG tulifanikiwa kutungua ndege nyingi za UG na hivyo wakapungukiwa ndege nyingi.
Kwa kuwa jeshi la ardhi kwa nchi nyingi maskini ndiyo dili kwani vifaa vyake vingi vina unafuu ktk kununua na kuvitunza. Pia Kenya imedhoofika sana na AL-SHAABAB ktk vita wanavyopambana.
Jeshi letu tangu vita vya UGANDA limekuwa na nafasi kubwa ya kujijenga na kujiimarisha kwa msaada wa pekee kutoka CHINA na hata nchi za ULAYA NA MAREKANI na ndiyo maana mwaka jana pale uwanja wa Taifa ilizinduliwa ndege ya kisasa ya kivita ambayo Afrika nzima tunayo TZ na SOUTH AFRICA pekee.
Ndiyo maana tunaombwa sana kulinda amani nje ya nchi kama DARFUR, CONGO DRC na LEBANON.
VIVA JWTZ
Hata hizo f7 tulizonazo zilifanyiwa uprade na wachina, wengi wanadhani kuwa na ndege mpya ndio nzuri kivita bila kujua kuwa unaweza kuwa na ndege ya zamani lakini iko manouverbilityTanzania ina vifaa kama ifuatavyo ndege aina ya chengdu f-7 zipo 12 ni muundo tokana na ndege vita za soviet aina ya mig21,ndege hizi hutengenezwa China,pia tunazo f-6, na f-5 ila ni old technology compared to f-7.chengdu f-7 zilianza kuwa produced mwaka 1965-2013.
Kenya wana ndege aina ya northrop f-5 zipo 22 zinatengenezwa marekani zilianza kutengenezwa 1959-1987.
Twende kwenye comparison kati ya ndege hizi.
chengdu f-7 zilizopo Tanzania.
Northrop f-5 zilizopo Kenya
Speed ya northrop za Kenya at max ni 1700km/h
speed ya chengdu f-7 za Tz ni 2200km/h at max.
Range ya northrop ya Kenya ni 1405km.
Range ya chengdu ya Tz ni 2200km.
Zote zina beba mtu mmoja mmoja.
Uwezo wa kwenda juu wa northrop ya Ke nni 15800m.
uwezo wa kwenda juu wa chengdu ni 17500.
Tukija kwenye helicopter sasa na ndege za usafiri katika vita tukianza na Kenya.
Wana ndege za transport aina ya DHC 5 BUFFALO zipo 7.
DHC 5 BUFFALO kwa uchukuzi.
dhc 5 buffalo.
Kenya pia wana ndege aina ya dhc 8 dash ni bombadier wanazo 3.
dash 8 kwa uchukuzi.
Harbin y-12 wanazo 12.
harbin y12 kwa uchukuzi.
Wana ndege aina ya fokker 70 kwa ajili ya vip transport.
fokker 70 ipo 1 kwa ajili ya vip transport.
Kwenye transport sasa Tanzania ni kama ifuatavyo.
king air a100 kwa uchukuzi 1.
ndege aina ya king air a 100.
Tunazo pia dhc 5 buffalo kwa uchukuzi 4.
dhc 5 buffalo.
Tuna fokker f-27 ila mzee hii ni ya zamani sidhani kama ina exist,tunayo 1.
fokker f-27.
Tunayo Shaanx y8 1 for transport.
Tuna harbin y-12 kama kenya ila ni 1.
harbin y 12.
Tuna gulfstream v kwa vip transport 1.
Tunaanza helicopter sasa.
Kenya wanayo harbin wz9 wanazo 4 sisi hatuna hiyo kwa kushambulia.
harbin wz9
wanazo pia mi-171 zipo 3 kwa ajili ya ushambuliaji sisi hatuna kabisa.
mi 171.
sa gazelle helicopter wanayo 1 sisi hatuna.
Pia wana helicopters za sa 330 puma zipo 21 bongo hazipo.
sa-330 puma.
Kenya wana helicopter aina ya mi-28 zipo 8 kwa ajili ya kushambulia tz hazipo.
mi-28 ni ndege za kirusi alshabaab wazifahamu sana hizi.
Tanzania tuna helicopter zifuatazo.
agusta bell ab206 ni jet ranger zipo 2.
agusta bell ab206.
pia agusta ab205 ipo 1.
Tuna agusta ab 412 za police sijui idadi yake ila ni chache sana.
agusta ab 412.
Nitaendelea next post kwenye tanks n.k. ila mpaka sasa tumepigwa 3-0.
ngoja tuone ardhini kwa sababu angani mpaka sasa tumezidiwa iko wazi ila nadhani al-shabaab ni moja ya tishio kwa Kenya kupelekea kununua madege kama hayo ambayo huwa nayacheki kwenye sinema,lengo ni kushambulia wakiwa angani nafikiri.
Ndiyo maana nilisema zilikuwa produced mpaka 2013 it means kwamba bado ni modern ila f6 na f5 kaka ni old tech.Hata hizo f7 tulizonazo zilifanyiwa uprade na wachina, wengi wanadhani kuwa na ndege mpya ndio nzuri kivita bila kujua kuwa unaweza kuwa na ndege ya zamani lakini iko manouverbility
Jamii Forums mobile app
Nasubiri uendelee...Ndiyo maana nilisema zilikuwa produced mpaka 2013 it means kwamba bado ni modern ila f6 na f5 kaka ni old tech.
kitu pekee ninachojivunia tz ni kwamba, mwanajeshi ana heshima sana, akitokea mtaani unamheshimu mno kwasababu kazi yake tunaijua. kenya wanajeshi na polisi ni sawa na wote wanavaa magwanda sawa. pamoja na yote al shabab wamewabamiza mbaya that means ni sifuri kwenye vita vya ardhi. tz ipo juu mno kwa east africa.Mwingereza alipotawala nchi za Afrika Mashariki aligawa nguvu za kijeshi kama ifuatavyo:
1. TANZANIA ikawa ngome ya jeshi la ardhi na hivyo ikaongoza kuwa na vifaa vingi vya ardhini mf. vifaru, magari mbalimbali ya kivita na mizinga.
2. KENYA ikawa ngome ya jeshi la maji na hivyo ikaongoza kuwa na meli na boti nyingi za kivita.
3. UGANDA ikawa ngome ya jeshi la anga na hivyo ikaongoza kuwa na ndegevita.
ktk vita kati ya TZ na UG tulifanikiwa kutungua ndege nyingi za UG na hivyo wakapungukiwa ndege nyingi.
Kwa kuwa jeshi la ardhi kwa nchi nyingi maskini ndiyo dili kwani vifaa vyake vingi vina unafuu ktk kununua na kuvitunza. Pia Kenya imedhoofika sana na AL-SHAABAB ktk vita wanavyopambana.
Jeshi letu tangu vita vya UGANDA limekuwa na nafasi kubwa ya kujijenga na kujiimarisha kwa msaada wa pekee kutoka CHINA na hata nchi za ULAYA NA MAREKANI na ndiyo maana mwaka jana pale uwanja wa Taifa ilizinduliwa ndege ya kisasa ya kivita ambayo Afrika nzima tunayo TZ na SOUTH AFRICA pekee.
Ndiyo maana tunaombwa sana kulinda amani nje ya nchi kama DARFUR, CONGO DRC na LEBANON.
VIVA JWTZ