Sema Tanzania
JF-Expert Member
- May 18, 2016
- 251
- 466
Ubongo wa binadamu hukua kwa haraka kabla ya kuzaliwa na katika kipindi cha miaka miwili ya mwanzo wa maisha ya mtoto.
Katika kipindi hiki, takribani 75% ya kila mlo unaenda kujenga ubongo wa mtoto wako na akipata walau dakika 15 za kucheza itamsaidia kuimarisha umakini wa ubongo wake.
Hivyo elewa kwamba: Kila unapomkumbatia, unapombusu, kila mlo kamili unaompa, na kila wakati unapocheza naye, unasaidia kujenga ubongo wa mtoto wako!
#Malezi
Katika kipindi hiki, takribani 75% ya kila mlo unaenda kujenga ubongo wa mtoto wako na akipata walau dakika 15 za kucheza itamsaidia kuimarisha umakini wa ubongo wake.
Hivyo elewa kwamba: Kila unapomkumbatia, unapombusu, kila mlo kamili unaompa, na kila wakati unapocheza naye, unasaidia kujenga ubongo wa mtoto wako!
#Malezi