Je, wajua ushindi goli Moja shirikisho sawa na Simba kufungwa 5-0 CAF champions?

Je, wajua ushindi goli Moja shirikisho sawa na Simba kufungwa 5-0 CAF champions?

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Katika vitu vimenishangaza mpaka nikabaki nalia ni hili suala la wanasimba wenzangu kufurahia ushindi goli Moja dhidi ya timu dhaifu kwenye ligi dhaifu ya shirikisho ( kombe la wa wamama)[emoji32][emoji32]
Binafsi nilitegemea mnyama kumkandamiza bravos goli hata 10.

Kama Yanga ambavyo angefanya kama angekutana na timu dizaini ya hii waliokutana nayo makolo

Uchambuzi
Ushindi wa goli moja shirikisho is equivalent na Simba kupigwa goli 5_0 kama angekuwa club bingwa (kwa wanaume)

Basing on criterias such stiff competition, wachezaji wakubwa ubora wa timu uwekezaji heavyweight

NB imagine hii kolo fc iliyoshinda. Kwa penalty Kwa timu dhaifu ikutane na Constantine [emoji23][emoji23] guess what will happen

IMG-20241019-WA0003.jpg
 
Hii ni hatua ya kuzisaka point 3,hiyo hatua unayoitaka wewe ya magoli mengi ni hatua ya robo.
Simba amefuta aibu ya wazee wa masindano.
Kulingana na timu alokutana nayo ,...we expected alot
 
Katika vitu vimenishangaza mpaka nikabaki nalia ni hili suala la wanasimba wenzangu kufurahia ushindi goli Moja dhidi ya timu dhaifu kwenye ligi dhaifu ya shirikisho ( kombe la wa wamama)[emoji32][emoji32]
Binafsi nilitegemea mnyama kumkandamiza bravos goli hata 10.

Kama Yanga ambavyo angefanya kama angekutana na timu dizaini ya hii waliokutana nayo makolo

Uchambuzi
Ushindi wa goli moja shirikisho is equivalent na Simba kupigwa goli 5_0 kama angekuwa club bingwa (kwa wanaume)

Basing on criterias such stiff competition, wachezaji wakubwa ubora wa timu uwekezaji heavyweight

NB imagine hii kolo fc iliyoshinda. Kwa penalty Kwa timu dhaifu ikutane na Constantine [emoji23][emoji23] guess what will happen

View attachment 3163999
Watu wa tigo wameumiza vichwa wakaja na YAS(YANGA AFUNGWE SANA)
Na mimi nasema afungwe hadi achakae maana hakuna namna ingine.
 
Katika vitu vimenishangaza mpaka nikabaki nalia ni hili suala la wanasimba wenzangu kufurahia ushindi goli Moja dhidi ya timu dhaifu kwenye ligi dhaifu ya shirikisho ( kombe la wa wamama)[emoji32][emoji32]
Binafsi nilitegemea mnyama kumkandamiza bravos goli hata 10.

Kama Yanga ambavyo angefanya kama angekutana na timu dizaini ya hii waliokutana nayo makolo

Uchambuzi
Ushindi wa goli moja shirikisho is equivalent na Simba kupigwa goli 5_0 kama angekuwa club bingwa (kwa wanaume)

Basing on criterias such stiff competition, wachezaji wakubwa ubora wa timu uwekezaji heavyweight

NB imagine hii kolo fc iliyoshinda. Kwa penalty Kwa timu dhaifu ikutane na Constantine [emoji23][emoji23] guess what will happen

View attachment 3163999
🤦🏿‍♂️🤦🏿‍♂️🤦🏿‍♂️ aiseee tatzo afya ya akili ww unazughumzia mtu ambaye anayo point 3 muhimu ww ndy kwanza atukuelew kama utavuka au laa!
 
Katika vitu vimenishangaza mpaka nikabaki nalia ni hili suala la wanasimba wenzangu kufurahia ushindi goli Moja dhidi ya timu dhaifu kwenye ligi dhaifu ya shirikisho ( kombe la wa wamama)[emoji32][emoji32]
Binafsi nilitegemea mnyama kumkandamiza bravos goli hata 10.

Kama Yanga ambavyo angefanya kama angekutana na timu dizaini ya hii waliokutana nayo makolo

Uchambuzi
Ushindi wa goli moja shirikisho is equivalent na Simba kupigwa goli 5_0 kama angekuwa club bingwa (kwa wanaume)

Basing on criterias such stiff competition, wachezaji wakubwa ubora wa timu uwekezaji heavyweight

NB imagine hii kolo fc iliyoshinda. Kwa penalty Kwa timu dhaifu ikutane na Constantine [emoji23][emoji23] guess what will happen

View attachment 3163999
Enyi wa mama wa uto, jililieni nyie na na magoli yenu ya tobo
 
Back
Top Bottom