Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wewe chura huna kazi zingine za kufanya zaidi ya hii ya simba na yanga?Katika vitu vimenishangaza mpaka nikabaki nalia ni hili suala la wanasimba wenzangu kufurahia ushindi goli Moja dhidi ya timu dhaifu kwenye ligi dhaifu ya shirikisho ( kombe la wa wamama)[emoji32][emoji32]
Binafsi nilitegemea mnyama kumkandamiza bravos goli hata 10.
Kama Yanga ambavyo angefanya kama angekutana na timu dizaini ya hii waliokutana nayo makolo
Uchambuzi
Ushindi wa goli moja shirikisho is equivalent na Simba kupigwa goli 5_0 kama angekuwa club bingwa (kwa wanaume)
Basing on criterias such stiff competition, wachezaji wakubwa ubora wa timu uwekezaji heavyweight
NB imagine hii kolo fc iliyoshinda. Kwa penalty Kwa timu dhaifu ikutane na Constantine [emoji23][emoji23] guess what will happen
View attachment 3163999
Ila hao hawana kashfa za masindano. Halafu imekuaje baada tu ya kupewa hii kashfa ndo vipigo vikaanza?Upepo unaoikumba yanga .....ni ule unaozikumba timu kubwa Madrid.....man cty
Kama ni rahis kama unavyo Dhani Aziz Ki nae angezamisha Ile mepewa dhidi ya Tabora, au wa Angola nao wangefunga waliopataVipi kuifunga goli za penalty
Hapana mkuu....huu upepo unaozikumba timu kubwa Dunian .....man city ..... Madrid na yanga
CrapKatika vitu vimenishangaza mpaka nikabaki nalia ni hili suala la wanasimba wenzangu kufurahia ushindi goli Moja dhidi ya timu dhaifu kwenye ligi dhaifu ya shirikisho ( kombe la wa wamama)[emoji32][emoji32]
Binafsi nilitegemea mnyama kumkandamiza bravos goli hata 10.
Kama Yanga ambavyo angefanya kama angekutana na timu dizaini ya hii waliokutana nayo makolo
Uchambuzi
Ushindi wa goli moja shirikisho is equivalent na Simba kupigwa goli 5_0 kama angekuwa club bingwa (kwa wanaume)
Basing on criterias such stiff competition, wachezaji wakubwa ubora wa timu uwekezaji heavyweight
NB imagine hii kolo fc iliyoshinda. Kwa penalty Kwa timu dhaifu ikutane na Constantine [emoji23][emoji23] guess what will happen
View attachment 3163999
Kwani vipigo vimeanza lini?Hapana mkuu hakuna uhusiano kabisa
Kwenye kundi lenu mpo nafasi ya ngapi ?Katika vitu vimenishangaza mpaka nikabaki nalia ni hili suala la wanasimba wenzangu kufurahia ushindi goli Moja dhidi ya timu dhaifu kwenye ligi dhaifu ya shirikisho ( kombe la wa wamama)[emoji32][emoji32]
Binafsi nilitegemea mnyama kumkandamiza bravos goli hata 10.
Kama Yanga ambavyo angefanya kama angekutana na timu dizaini ya hii waliokutana nayo makolo
Uchambuzi
Ushindi wa goli moja shirikisho is equivalent na Simba kupigwa goli 5_0 kama angekuwa club bingwa (kwa wanaume)
Basing on criterias such stiff competition, wachezaji wakubwa ubora wa timu uwekezaji heavyweight
NB imagine hii kolo fc iliyoshinda. Kwa penalty Kwa timu dhaifu ikutane na Constantine [emoji23][emoji23] guess what will happen
View attachment 3163999
Issue syo team gan, kkubwa upate point tatu za kusonga mbele sas utopolo kafungwa na mtu ndan ya 2 years wapo vta ya wenyw kwa wenyw just kakupga kwako sasa huoni ww n dole la mkundu aiseee nyumban umeshndwa mbele ya watt wako kuonesha wee n kdume je uko nje?Tatizo hizo point tatu umezipata Kwa timu gan