Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amefanya nn Ben 3View attachment 3164283Chukua hiyo kutoka kwa wakili msomi bm3. Mkuu Umekula?!
Sawa ni ushindi....lkn...ni ushindi wenye umamaIngekuwa ushindi kwa penati ni haramu basi Argentina wasingekuwa mabingwa wa dunia maana walishinda kwa penati....
[emoji196][emoji196][emoji196] Mnateseka sana mkiona mnyama hapotezi mechi....
Yule jamaa aliyempiga tobo Diarra alifungua magoli mawili ndani ya sekunde tu....
Hahahaaa [emoji196][emoji196] bingwa kwa bahasha na sindano ila CAFCL hakuna sindano wala bahasha huku.
Mchambuzi maandazi katika uzuzu wako
Unapingana na afisa habari wako?Hapana mkuu... Mashabiki wa yanga ni well gifted mind
Wewe umeona jezi aliyovaa ni ya Simba, Utopolo au ya Tabora fcAmefanya nn Ben 3
Kama sivyo ni criteriaVigezo
Wewe lazima utakuwa Yanga Utopolo.Katika vitu vimenishangaza mpaka nikabaki nalia ni hili suala la wanasimba wenzangu kufurahia ushindi goli Moja dhidi ya timu dhaifu kwenye ligi dhaifu ya shirikisho ( kombe la wa wamama)[emoji32][emoji32]
Binafsi nilitegemea mnyama kumkandamiza bravos goli hata 10.
Kama Yanga ambavyo angefanya kama angekutana na timu dizaini ya hii waliokutana nayo makolo
Uchambuzi
Ushindi wa goli moja shirikisho is equivalent na Simba kupigwa goli 5_0 kama angekuwa club bingwa (kwa wanaume)
Basing on criterias such stiff competition, wachezaji wakubwa ubora wa timu uwekezaji heavyweight
NB imagine hii kolo fc iliyoshinda. Kwa penalty Kwa timu dhaifu ikutane na Constantine [emoji23][emoji23] guess what will happen
View attachment 3163999
Umama ni kanuni ya ngapi katika football?Sawa ni ushindi....lkn...ni ushindi wenye umama
Jibu swali hilo siojibuMechi bado nyingi mkuu
Kama mlivyoshinda kwa azamLkn kumbuka Yanga huwa inashinda hata ugenini.....
Ukija kama Mtani Dar Young African..tunapokea maoni yenu..Tatizo hamtaki kuambiw ukweli