Je, Wajua? Wamarekani ni Wabaguzi wa Kichinichini. Wanaendekeza Mfumo Dume, Ubaguzi wa Jinsia, Racism na Kuwabagua Wahamiaji

Je, Wajua? Wamarekani ni Wabaguzi wa Kichinichini. Wanaendekeza Mfumo Dume, Ubaguzi wa Jinsia, Racism na Kuwabagua Wahamiaji

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi,

Niko hapa jijini Washington DC, mji mkuu wa Marekani, pamoja na mambo mengine, nimepata fursa ya kuushuhudia uchaguzi wa Marekani, ambapo nchi ya Marekani inaitwa The Biggest Democracy kumaanisha ni demokrasia kubwa kwasababu ilipata uhuru wake Julai 4, mwaka 1776 lakini Wamarekani ni wabaguzi wa kichini chini, wanaendekeza mfumo dume, hawataki kutawaliwa na rais mwanamke!. Huu ni ubaguzi!. Pia wana ubaguzi wa rangi wa racism, ni ma racist fulani hivi, na wanawabagua fulani wahamiaji!.

Wagombea wakuu wa uchanguzi huu wa Marekani ni Kamala Harris wa chama cha Democrat ambaye ni makamo wa rais wa sasa, na Donald Trump wa chama cha Republican, ambaye aliwahi kuwa rais wa Marekani na akafanya vituko vingi.

Matokeo ni, pamoja na vituko vyake vyote, Wamarekani wamemchagua tena Donald Trump na kumtosa Kamala Harris.

Moja ya sababu za Wamarekani kumchagua tena Trump, licha ya vituko vyake, lakini pamoja na mambo mengine, Wamarekani wameamua kumchagua tena Trump, kwasababu ni mgombea mwanaume, kuliko kumchagua mgombea mwanamke!. Huu ni ubaguzi m-baya wa gender discrimination!.

Hivyo pamoja ni jina kubwa la nchi ya Marekani kuitwa demokrasia kubwa, lakini bado inakabiliwa na udhaifu mkubwa wa ubaguzi wa mfumo dume.

Mara ya kwanza kwa Donald Trimp kushinda urais, ni alishindana na mgombea mwanamke, Hilary Clinton, mke wa aliyekuwa rais wa Marekani, Bill Clinton.

Kwa vile hiyo ndio ilikuwa mara ya kwanza kwa mwanamke kugombea urais, Marekani, Trump alisema maneno fulani ya udhalilishaji jinsia ya kike, hivyo aliposhinda urais, Wamarekani walionyesha bado hawajawa tayari kutawaliwa na rais mwanamke.

Chama cha Democrat kilipoamua kumsimamisha tena mgombea mwanamke kwenye uchaguzi wa mwaka huu, na Donald Trump akaamua kugombea tena!, ikitegemewa safari hii, Wamarekani watamchagua rais wa kwanza mwanamke kwasababu Trump vituko vyake wanavijua.

Matokeo yalipotangazwa kwa Trimp kushinda kiukweli mimi ni miongoni mwa tuliopigwa butwaa, na kupata bumbuwazi na matokeo haya ya uchaguzi wa Marekani.

Nikajiuliza kuwa kunawezekana hawa Wamarekani nimewaona kama ni majitu majinga ya ajabu kwa kwa kumchagua tena rais mwanaume yule yule mwenye vituko vya ajabu na vituko vyake wanavijua na bado wakamchagua!.

Wamarekani wameamua, kuliko kumchagua rais mwanamke, wakaamua kumtosa mwanamke na kumchagua rais mwanaume kwasababu tuu ya kugubikwa na ubaguzi wa mfumo dume.

Japo ni demokrasia kumchagua mgombea yoyote kwa sababu yoyote au hata bila sababu yoyote, bali ni kumpenda tuu, lakini sio demokrasia ya kweli kutokumchagua mgombea fulani mwenye sifa zote, lakini hachaguliwi kutokana na jinsia yake!, huu ni ubaguzi!.

Matokeo haya ya uchaguzi wa Marekani, yanauhusiano na uchaguzi mkuu wetu wa mwaka 2025, hivyo natoa wito kwa sisi wa Tanzania, tuyapokee matokeo haya na kuyachukulia kama ni fursa kwa Tanzania kuifundisha dunia demokrasia ya kweli.

Kwa vile mwakani, 2025, Tanzania tunafanya uchaguzi mkuu wa rais na wabunge, na tayari kuna chama kimoja kimeisha tangaza nia kwa kauli na matendo ya utaratibu wake wa ndani wa mserereko, kitamsimamisha mgombea mwanamke.

Kwa vile Tanzania imepata rais mwanamke kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, kufuatia lile tukio la Machi 17, 2021, lakini Watanzania walikuwa bado hawajawa tayari kuchagua rais mwanamke, hivyo uchaguzi wa 2025, macho ya dunia yatakuwa Tanzania.

Mnaonaje kama hiyo 2025, tuta ionyeshea Marekani na dunia kwa ujumla kuwa Tanzania ni wakomavu zaidi wa demokrasia, na tunaweza kufanya demokrasia ya kweli bila ya ubaguzi m-baya wa jinsia na kuutaa mfumo dume kwa Watanzania kuonyesha wanaweza kuchagua kiongozi wao bila kugubikwa na mfumo dume, na ubaguzi wa jinsia?

Hivyo Tanzania tuchangamkie fursa ya kuwa mwalimu wa demokrasia ya kweli kwa Wamarekani na dunia kwa kufanya maandalizi kamambe ya kuwaandaa Watanzania kuchagua rais mwanamke, na sababu za kuchaguliwa rais mwanamke, sio kuchaguliwa kwasababu ya gender yake, ya uanamke, bali awe amechaguliwa kwasababu ya uwezo wake wa urais na uongozi.

Sio vema kumchagua mtu hana uwezo, lakini tumchague tuu kwa kumhurumia kwa sababu ni mwanamke, lakini pia sio vema, kutokumchagua mtu ana sifa zote, na uwezo lakini kumbe ni mwanamke!

Tuyatumie matokeo ya uchaguzi wa Marekani kama shamba darasa la demokrasia ya kweli 2025

Paskali
Washington DC
Marekani.
 
Write your reply...hata mimi kama ninadhamila ya dhat yakufanikiwa ciwez kuacha mke wang aniongoze, mfumo dume ni kitu cha asili mungu katupa. yapasa demokrasia kuwa na mipaka mwanamke ameumbwa kutawaliwa na si kuwa kiongz mkuu wa familia wakt baba yupo.
 
Marekani ni taifa tofauti kabisa na nchi nyingine...Yani kuna nchi nyingine duniani halafu kuna taifa la Marekani. Wapo makini sana kwenye mambo ya uchaguzi. Obama ni mtu mweusi lakini alipita tena kwa vipindi viwili.

Linapotokea suala la wagombea huwa wamarekani wanaangalia wanahitaji nini kwa kipindi hicho na nani ni angalau anaweza kuwapa. Trump ushindi wake mbona ulikuwa dhahiri sana?
 
Matokeo ni, pamoja na vituko vyake vyote, Wamarekani wamemchagua tena Donald Trump na kumtosa Kamala Harris.
1731336383458.png


Pascal, Trump ni mtu mwenye akili ambae ametambua kuna Wamerekani wengi wabaguzi kuliko wasio wabaguzi, na akijua hesabu hizi, katika kampeni zake ameonyesha hilo waziwazi kuwa yeye ni mbaguzi ili apigiwe kura na wabaguzi wenzake ambao ndio wengi USA.

Kuna wakati Tanzania hata CCM wanaweza kupiga kampeni kwamba mkituchagua tutaendeleza ufisadi ili fedha ziwafikie mitaani, siku wakitambua kuna Watanzania wengi wanashabikia ufisadi kuliko wanaouchukia!

Ndio maana tunawaambia Chadema, mkitaka kuiondoa CCM achaneni na mambo ya sera zijui nini sijui, tafuteni kitu ambacho Watanganyika wengi wanataka, na muonyeshe mko nao
 
Wamarekani wamemchagua Trump kutokana na kauli yake ya kuweka maslahi ya wamarekani kwanza.
Tanzania ni nchi iliyojitolea Sana kusaidia nchi nyingine kupata uhuru kwa kutumia rasilimali zetu lakini hakuna nchi hata moja inayojali kuhusu Tanzania.
Hata sisi akitokea mgombea akasema atatuletea Tanganyika tutampa kura kwa wingi.
Hatuwezi kuchagua rais kisa tu ni mwanamke mtu anachaguliwa kwa uwezo Wake.
 
Wanabodi,

Niko hapa jijini Washington DC, mji mkuu wa Marekani, pamoja na mambo mengine, nimepata fursa ya kuushuhudia uchaguzi wa Marekani, ambapo nchi ya Marekani inaitwa The Biggest Democracy kumaanisha ni demokrasia kubwa kwasababu ilipata uhuru wake Julai 4, mwaka 1776 lakini Wamarekani ni wabaguzi wa kichini chini, wanaendekeza mfumo dume, hawataki kutawaliwa na rais mwanamke!. Huu ni ubaguzi!. Pia wana ubaguzi wa rangi wa racism, ni ma racist fulani hivi, na wanawabagua fulani wahamiaji!.

Wagombea wakuu wa uchanguzi huu wa Marekani ni Kamala Harris wa chama cha Democrat ambaye ni makamo wa rais wa sasa, na Donald Trump wa chama cha Republican, ambaye aliwahi kuwa rais wa Marekani na akafanya vituko vingi.

Matokeo ni, pamoja na vituko vyake vyote, Wamarekani wamemchagua tena Donald Trump na kumtosa Kamala Harris.

Moja ya sababu za Wamarekani kumchagua tena Trump, licha ya vituko vyake, lakini pamoja na mambo mengine, Wamarekani wameamua kumchagua tena Trump, kwasababu ni mgombea mwanaume, kuliko kumchagua mgombea mwanamke!. Huu ni ubaguzi m-baya wa gender discrimination!.

Hivyo pamoja ni jina kubwa la nchi ya Marekani kuitwa demokrasia kubwa, lakini bado inakabiliwa na udhaifu mkubwa wa ubaguzi wa mfumo dume.

Mara ya kwanza kwa Donald Trimp kushinda urais, ni alishindana na mgombea mwanamke, Hilary Clinton, mke wa aliyekuwa rais wa Marekani, Bill Clinton.

Kwa vile hiyo ndio ilikuwa mara ya kwanza kwa mwanamke kugombea urais, Marekani, Trump alisema maneno fulani ya udhalilishaji jinsia ya kike, hivyo aliposhinda urais, Wamarekani walionyesha bado hawajawa tayari kutawaliwa na rais mwanamke.

Chama cha Democrat kilipoamua kumsimamisha tena mgombea mwanamke kwenye uchaguzi wa mwaka huu, na Donald Trump akaamua kugombea tena!, ikitegemewa safari hii, Wamarekani watamchagua rais wa kwanza mwanamke kwasababu Trump vituko vyake wanavijua.

Matokeo yalipotangazwa kwa Trimp kushinda kiukweli mimi ni miongoni mwa tuliopigwa butwaa, na kupata bumbuwazi na matokeo haya ya uchaguzi wa Marekani.

Nikajiuliza kuwa kunawezekana hawa Wamarekani nimewaona kama ni majitu majinga ya ajabu kwa kwa kumchagua tena rais mwanaume yule yule mwenye vituko vya ajabu na vituko vyake wanavijua na bado wakamchagua!.

Wamarekani wameamua, kuliko kumchagua rais mwanamke, wakaamua kumtosa mwanamke na kumchagua rais mwanaume kwasababu tuu ya kugubikwa na ubaguzi wa mfumo dume.

Japo ni demokrasia kumchagua mgombea yoyote kwa sababu yoyote au hata bila sababu yoyote, bali ni kumpenda tuu, lakini sio demokrasia ya kweli kutokumchagua mgombea fulani mwenye sifa zote, lakini hachaguliwi kutokana na jinsia yake!, huu ni ubaguzi!.

Matokeo haya ya uchaguzi wa Marekani, yanauhusiano na uchaguzi mkuu wetu wa mwaka 2025, hivyo natoa wito kwa sisi wa Tanzania, tuyapokee matokeo haya na kuyachukulia kama ni fursa kwa Tanzania kuifundisha dunia demokrasia ya kweli.

Kwa vile mwakani, 2025, Tanzania tunafanya uchaguzi mkuu wa rais na wabunge, na tayari kuna chama kimoja kimeisha tangaza nia kwa kauli na matendo ya utaratibu wake wa ndani wa mserereko, kitamsimamisha mgombea mwanamke.

Kwa vile Tanzania imepata rais mwanamke kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, kufuatia lile tukio la Machi 17, 2021, lakini Watanzania walikuwa bado hawajawa tayari kuchagua rais mwanamke, hivyo uchaguzi wa 2025, macho ya dunia yatakuwa Tanzania.

Mnaonaje kama hiyo 2025, tuta ionyeshea Marekani na dunia kwa ujumla kuwa Tanzania ni wakomavu zaidi wa demokrasia, na tunaweza kufanya demokrasia ya kweli bila ya ubaguzi m-baya wa jinsia na kuutaa mfumo dume kwa Watanzania kuonyesha wanaweza kuchagua kiongozi wao bila kugubikwa na mfumo dume, na ubaguzi wa jinsia?

Hivyo Tanzania tuchangamkie fursa ya kuwa mwalimu wa demokrasia ya kweli kwa Wamarekani na dunia kwa kufanya maandalizi kamambe ya kuwaandaa Watanzania kuchagua rais mwanamke, na sababu za kuchaguliwa rais mwanamke, sio kuchaguliwa kwasababu ya gender yake, ya uanamke, bali awe amechaguliwa kwasababu ya uwezo wake wa urais na uongozi.

Sio vema kumchagua mtu hana uwezo, lakini tumchague tuu kwa kumhurumia kwa sababu ni mwanamke, lakini pia sio vema, kutokumchagua mtu ana sifa zote, na uwezo lakini kumbe ni mwanamke!

Tuyatumie matokeo ya uchaguzi wa Marekani kama shamba darasa la demokrasia ya kweli 2025

Paskali
Washington DC
Marekani.
Hilo suala lianzie huko ndani ya ccm maana ndo wanaleta mgombea.

Chama tawala hata wakiweka jiwe linaenda ikulu.

Kwahiyo ujumbe huu ni mahsusi kwa ccm na siyo Taifa kwa ujumla wake.
 
Advocate Pascal, marekani ni wabaguzi huku obama alikuwa raisi kwa term 2.
●Kamala Harris ni muhindi/coloured akaruhusiwa kugombea
●Nchi yako inawabagua waha +watu wa kagera kupata NIDA.
●Waarabu wanapata NIDA kirahisi kuliko ukizaliwa kigoma+kagera
●Bashe alibaguliwa enzi za JK
●Rostam the same
●Assume Tanzania ingekuwa kama USA 🇺🇸
 
"Chama cha Democrat kilipoamua kumsimamisha tena mgombea mwanamke kwenye uchaguzi wa mwaka huu, na Donald Trump akaamua kugombea tena!, ikitegemewa safari hii, Wamarekani watamchagua rais wa kwanza mwanamke kwasababu Trump vituko vyake wanavijua."

Kwa hiyo wewe bro uchawa wako wa kijinga ndio unakufanya uandike uongo
Sio kweli kwamba Trump aliamua kugombea kwa sababu democrats waliweka mgombea mwanamke.
Trump alitangaza kugombea mapema na democrat walimsimamisha Biden ashindane na Trump.
Baadae Biden aliamua au alishinikizwa kujitoa kwa sababu za kiafya na ndipo democrat wakamweka Kamal.
Njaa njaa zako zinakusababisha una andika ujinga .
UNAJIZALILISHA NDUGU
 
Advocate Pascal, marekani ni wabaguzi huku obama alikuwa raisi kwa term 2.
●Kamala Harris ni muhindi/coloured akaruhusiwa kugombea
●Nchi yako inawabagua waha +watu wa kagera kupata NIDA.
●Waarabu wanapata NIDA kirahisi kuliko ukizaliwa kigoma+kagera
●Bashe alibaguliwa enzi za JK
●Rostam the same
●Assume Tanzania ingekuwa kama USA 🇺🇸
"Assume Tanzania ingekuwa kama USA"
Siyo Tanzania, sema Africa ingekuwa kama USA!
 
Umeviona vituko vya Trump vya Magufuli na Samia huvijui?

Marekani ndio nchi ambayo inatoa equal chances za mtu kutoka huko uliko na kuja kufanikiwa kushinda hata uliowaacha katika nchi uliyotokea.

Nina ushahidi wa watu wengi sana waliofanikiwa kuwa na maisha mazuri baada ya kutua Marekani kuliko waliofeli.

Usianze kuplay gender card and racial , Kamala ameshindwa kwa sera zake na sio jinsia .
 
Wanabodi,

Niko hapa jijini Washington DC, mji mkuu wa Marekani, pamoja na mambo mengine, nimepata fursa ya kuushuhudia uchaguzi wa Marekani, ambapo nchi ya Marekani inaitwa The Biggest Democracy kumaanisha ni demokrasia kubwa kwasababu ilipata uhuru wake Julai 4, mwaka 1776 lakini Wamarekani ni wabaguzi wa kichini chini, wanaendekeza mfumo dume, hawataki kutawaliwa na rais mwanamke!. Huu ni ubaguzi!. Pia wana ubaguzi wa rangi wa racism, ni ma racist fulani hivi, na wanawabagua fulani wahamiaji!.

Wagombea wakuu wa uchanguzi huu wa Marekani ni Kamala Harris wa chama cha Democrat ambaye ni makamo wa rais wa sasa, na Donald Trump wa chama cha Republican, ambaye aliwahi kuwa rais wa Marekani na akafanya vituko vingi.

Matokeo ni, pamoja na vituko vyake vyote, Wamarekani wamemchagua tena Donald Trump na kumtosa Kamala Harris.

Moja ya sababu za Wamarekani kumchagua tena Trump, licha ya vituko vyake, lakini pamoja na mambo mengine, Wamarekani wameamua kumchagua tena Trump, kwasababu ni mgombea mwanaume, kuliko kumchagua mgombea mwanamke!. Huu ni ubaguzi m-baya wa gender discrimination!.

Hivyo pamoja ni jina kubwa la nchi ya Marekani kuitwa demokrasia kubwa, lakini bado inakabiliwa na udhaifu mkubwa wa ubaguzi wa mfumo dume.

Mara ya kwanza kwa Donald Trimp kushinda urais, ni alishindana na mgombea mwanamke, Hilary Clinton, mke wa aliyekuwa rais wa Marekani, Bill Clinton.

Kwa vile hiyo ndio ilikuwa mara ya kwanza kwa mwanamke kugombea urais, Marekani, Trump alisema maneno fulani ya udhalilishaji jinsia ya kike, hivyo aliposhinda urais, Wamarekani walionyesha bado hawajawa tayari kutawaliwa na rais mwanamke.

Chama cha Democrat kilipoamua kumsimamisha tena mgombea mwanamke kwenye uchaguzi wa mwaka huu, na Donald Trump akaamua kugombea tena!, ikitegemewa safari hii, Wamarekani watamchagua rais wa kwanza mwanamke kwasababu Trump vituko vyake wanavijua.

Matokeo yalipotangazwa kwa Trimp kushinda kiukweli mimi ni miongoni mwa tuliopigwa butwaa, na kupata bumbuwazi na matokeo haya ya uchaguzi wa Marekani.

Nikajiuliza kuwa kunawezekana hawa Wamarekani nimewaona kama ni majitu majinga ya ajabu kwa kwa kumchagua tena rais mwanaume yule yule mwenye vituko vya ajabu na vituko vyake wanavijua na bado wakamchagua!.

Wamarekani wameamua, kuliko kumchagua rais mwanamke, wakaamua kumtosa mwanamke na kumchagua rais mwanaume kwasababu tuu ya kugubikwa na ubaguzi wa mfumo dume.

Japo ni demokrasia kumchagua mgombea yoyote kwa sababu yoyote au hata bila sababu yoyote, bali ni kumpenda tuu, lakini sio demokrasia ya kweli kutokumchagua mgombea fulani mwenye sifa zote, lakini hachaguliwi kutokana na jinsia yake!, huu ni ubaguzi!.

Matokeo haya ya uchaguzi wa Marekani, yanauhusiano na uchaguzi mkuu wetu wa mwaka 2025, hivyo natoa wito kwa sisi wa Tanzania, tuyapokee matokeo haya na kuyachukulia kama ni fursa kwa Tanzania kuifundisha dunia demokrasia ya kweli.

Kwa vile mwakani, 2025, Tanzania tunafanya uchaguzi mkuu wa rais na wabunge, na tayari kuna chama kimoja kimeisha tangaza nia kwa kauli na matendo ya utaratibu wake wa ndani wa mserereko, kitamsimamisha mgombea mwanamke.

Kwa vile Tanzania imepata rais mwanamke kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, kufuatia lile tukio la Machi 17, 2021, lakini Watanzania walikuwa bado hawajawa tayari kuchagua rais mwanamke, hivyo uchaguzi wa 2025, macho ya dunia yatakuwa Tanzania.

Mnaonaje kama hiyo 2025, tuta ionyeshea Marekani na dunia kwa ujumla kuwa Tanzania ni wakomavu zaidi wa demokrasia, na tunaweza kufanya demokrasia ya kweli bila ya ubaguzi m-baya wa jinsia na kuutaa mfumo dume kwa Watanzania kuonyesha wanaweza kuchagua kiongozi wao bila kugubikwa na mfumo dume, na ubaguzi wa jinsia?

Hivyo Tanzania tuchangamkie fursa ya kuwa mwalimu wa demokrasia ya kweli kwa Wamarekani na dunia kwa kufanya maandalizi kamambe ya kuwaandaa Watanzania kuchagua rais mwanamke, na sababu za kuchaguliwa rais mwanamke, sio kuchaguliwa kwasababu ya gender yake, ya uanamke, bali awe amechaguliwa kwasababu ya uwezo wake wa urais na uongozi.

Sio vema kumchagua mtu hana uwezo, lakini tumchague tuu kwa kumhurumia kwa sababu ni mwanamke, lakini pia sio vema, kutokumchagua mtu ana sifa zote, na uwezo lakini kumbe ni mwanamke!

Tuyatumie matokeo ya uchaguzi wa Marekani kama shamba darasa la demokrasia ya kweli 2025

Paskali
Washington DC
Marekani.
Kwa hiyo ulitaka wamarekani wamchague harris kwa jinsia yake na si sera zake ?
 
Wanabodi,

Niko hapa jijini Washington DC, mji mkuu wa Marekani, pamoja na mambo mengine, nimepata fursa ya kuushuhudia uchaguzi wa Marekani, ambapo nchi ya Marekani inaitwa The Biggest Democracy kumaanisha ni demokrasia kubwa kwasababu ilipata uhuru wake Julai 4, mwaka 1776 lakini Wamarekani ni wabaguzi wa kichini chini, wanaendekeza mfumo dume, hawataki kutawaliwa na rais mwanamke!. Huu ni ubaguzi!. Pia wana ubaguzi wa rangi wa racism, ni ma racist fulani hivi, na wanawabagua fulani wahamiaji!.

Wagombea wakuu wa uchanguzi huu wa Marekani ni Kamala Harris wa chama cha Democrat ambaye ni makamo wa rais wa sasa, na Donald Trump wa chama cha Republican, ambaye aliwahi kuwa rais wa Marekani na akafanya vituko vingi.

Matokeo ni, pamoja na vituko vyake vyote, Wamarekani wamemchagua tena Donald Trump na kumtosa Kamala Harris.

Moja ya sababu za Wamarekani kumchagua tena Trump, licha ya vituko vyake, lakini pamoja na mambo mengine, Wamarekani wameamua kumchagua tena Trump, kwasababu ni mgombea mwanaume, kuliko kumchagua mgombea mwanamke!. Huu ni ubaguzi m-baya wa gender discrimination!.

Hivyo pamoja ni jina kubwa la nchi ya Marekani kuitwa demokrasia kubwa, lakini bado inakabiliwa na udhaifu mkubwa wa ubaguzi wa mfumo dume.

Mara ya kwanza kwa Donald Trimp kushinda urais, ni alishindana na mgombea mwanamke, Hilary Clinton, mke wa aliyekuwa rais wa Marekani, Bill Clinton.

Kwa vile hiyo ndio ilikuwa mara ya kwanza kwa mwanamke kugombea urais, Marekani, Trump alisema maneno fulani ya udhalilishaji jinsia ya kike, hivyo aliposhinda urais, Wamarekani walionyesha bado hawajawa tayari kutawaliwa na rais mwanamke.

Chama cha Democrat kilipoamua kumsimamisha tena mgombea mwanamke kwenye uchaguzi wa mwaka huu, na Donald Trump akaamua kugombea tena!, ikitegemewa safari hii, Wamarekani watamchagua rais wa kwanza mwanamke kwasababu Trump vituko vyake wanavijua.

Matokeo yalipotangazwa kwa Trimp kushinda kiukweli mimi ni miongoni mwa tuliopigwa butwaa, na kupata bumbuwazi na matokeo haya ya uchaguzi wa Marekani.

Nikajiuliza kuwa kunawezekana hawa Wamarekani nimewaona kama ni majitu majinga ya ajabu kwa kwa kumchagua tena rais mwanaume yule yule mwenye vituko vya ajabu na vituko vyake wanavijua na bado wakamchagua!.

Wamarekani wameamua, kuliko kumchagua rais mwanamke, wakaamua kumtosa mwanamke na kumchagua rais mwanaume kwasababu tuu ya kugubikwa na ubaguzi wa mfumo dume.

Japo ni demokrasia kumchagua mgombea yoyote kwa sababu yoyote au hata bila sababu yoyote, bali ni kumpenda tuu, lakini sio demokrasia ya kweli kutokumchagua mgombea fulani mwenye sifa zote, lakini hachaguliwi kutokana na jinsia yake!, huu ni ubaguzi!.

Matokeo haya ya uchaguzi wa Marekani, yanauhusiano na uchaguzi mkuu wetu wa mwaka 2025, hivyo natoa wito kwa sisi wa Tanzania, tuyapokee matokeo haya na kuyachukulia kama ni fursa kwa Tanzania kuifundisha dunia demokrasia ya kweli.

Kwa vile mwakani, 2025, Tanzania tunafanya uchaguzi mkuu wa rais na wabunge, na tayari kuna chama kimoja kimeisha tangaza nia kwa kauli na matendo ya utaratibu wake wa ndani wa mserereko, kitamsimamisha mgombea mwanamke.

Kwa vile Tanzania imepata rais mwanamke kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, kufuatia lile tukio la Machi 17, 2021, lakini Watanzania walikuwa bado hawajawa tayari kuchagua rais mwanamke, hivyo uchaguzi wa 2025, macho ya dunia yatakuwa Tanzania.

Mnaonaje kama hiyo 2025, tuta ionyeshea Marekani na dunia kwa ujumla kuwa Tanzania ni wakomavu zaidi wa demokrasia, na tunaweza kufanya demokrasia ya kweli bila ya ubaguzi m-baya wa jinsia na kuutaa mfumo dume kwa Watanzania kuonyesha wanaweza kuchagua kiongozi wao bila kugubikwa na mfumo dume, na ubaguzi wa jinsia?

Hivyo Tanzania tuchangamkie fursa ya kuwa mwalimu wa demokrasia ya kweli kwa Wamarekani na dunia kwa kufanya maandalizi kamambe ya kuwaandaa Watanzania kuchagua rais mwanamke, na sababu za kuchaguliwa rais mwanamke, sio kuchaguliwa kwasababu ya gender yake, ya uanamke, bali awe amechaguliwa kwasababu ya uwezo wake wa urais na uongozi.

Sio vema kumchagua mtu hana uwezo, lakini tumchague tuu kwa kumhurumia kwa sababu ni mwanamke, lakini pia sio vema, kutokumchagua mtu ana sifa zote, na uwezo lakini kumbe ni mwanamke!

Tuyatumie matokeo ya uchaguzi wa Marekani kama shamba darasa la demokrasia ya kweli 2025

Paskali
Washington DC
Marekani.
Kheri ya Wamarekani angalau wanatumia akili kuliko ubaguzi wa wanaccm ambao hawatumii akili bali dola.
 
Mkuu Paschal Kama ni kupigia kampeni sawa lakini uhalisia wake uchaguzi wa Matekani hauko kama ulivyouelezea.

Kuna mada niliweka siku chache nikichambua baadhi ya sababu kubwa za kushindwa kwa Kamala Harris kwenye uchaguzi.

Lakini ndani ya sababu hizo kuna sababu kubwa zaidi ndani yake khasa kwenye uchumi kuwa isoridhisha, mfumuko wa bei, bidhaa madukani kuwa na bei ya juu sana na suala la kijamii yaani nyumba za makazi kuwa na bei isoshikika.

Tatizo la chama cha Democrats likawa ni kushindwa kutafuta uvumbuzi wa matatizo hayo jambo lilopelekea wapiga kura kuwa na hasira na chama hicho. Kila wakihoji walikuwa wakiambulia matusi, kejeli na maneno ya kashfa.

Hata walipoamua kumuondoa Joe Biden na kumweka Kamala walikuwa wamechelewa ndio maana nguvu kubwa ya kuwatumia hata Barak Obama na mkewe Michelle, watu maarufu kama Beyonce na Oprah Winfrey.

Ndio maana mama Nancy Pelosi amesema kwamba wa kulaumiwa ni Joe Biden kwa kusuasua kujiondoa mapema
 
Back
Top Bottom