Je, Wajua? Wamarekani ni Wabaguzi wa Kichinichini. Wanaendekeza Mfumo Dume, Ubaguzi wa Jinsia, Racism na Kuwabagua Wahamiaji

Je, Wajua? Wamarekani ni Wabaguzi wa Kichinichini. Wanaendekeza Mfumo Dume, Ubaguzi wa Jinsia, Racism na Kuwabagua Wahamiaji

Wanabodi,

Niko hapa jijini Washington DC, mji mkuu wa Marekani, pamoja na mambo mengine, nimepata fursa ya kuushuhudia uchaguzi wa Marekani, ambapo nchi ya Marekani inaitwa The Biggest Democracy kumaanisha ni demokrasia kubwa kwasababu ilipata uhuru wake Julai 4, mwaka 1776 lakini Wamarekani ni wabaguzi wa kichini chini, wanaendekeza mfumo dume, hawataki kutawaliwa na rais mwanamke!. Huu ni ubaguzi!. Pia wana ubaguzi wa rangi wa racism, ni ma racist fulani hivi, na wanawabagua fulani wahamiaji!.

Wagombea wakuu wa uchanguzi huu wa Marekani ni Kamala Harris wa chama cha Democrat ambaye ni makamo wa rais wa sasa, na Donald Trump wa chama cha Republican, ambaye aliwahi kuwa rais wa Marekani na akafanya vituko vingi.

Matokeo ni, pamoja na vituko vyake vyote, Wamarekani wamemchagua tena Donald Trump na kumtosa Kamala Harris.

Moja ya sababu za Wamarekani kumchagua tena Trump, licha ya vituko vyake, lakini pamoja na mambo mengine, Wamarekani wameamua kumchagua tena Trump, kwasababu ni mgombea mwanaume, kuliko kumchagua mgombea mwanamke!. Huu ni ubaguzi m-baya wa gender discrimination!.

Hivyo pamoja ni jina kubwa la nchi ya Marekani kuitwa demokrasia kubwa, lakini bado inakabiliwa na udhaifu mkubwa wa ubaguzi wa mfumo dume.

Mara ya kwanza kwa Donald Trimp kushinda urais, ni alishindana na mgombea mwanamke, Hilary Clinton, mke wa aliyekuwa rais wa Marekani, Bill Clinton.

Kwa vile hiyo ndio ilikuwa mara ya kwanza kwa mwanamke kugombea urais, Marekani, Trump alisema maneno fulani ya udhalilishaji jinsia ya kike, hivyo aliposhinda urais, Wamarekani walionyesha bado hawajawa tayari kutawaliwa na rais mwanamke.

Chama cha Democrat kilipoamua kumsimamisha tena mgombea mwanamke kwenye uchaguzi wa mwaka huu, na Donald Trump akaamua kugombea tena!, ikitegemewa safari hii, Wamarekani watamchagua rais wa kwanza mwanamke kwasababu Trump vituko vyake wanavijua.

Matokeo yalipotangazwa kwa Trimp kushinda kiukweli mimi ni miongoni mwa tuliopigwa butwaa, na kupata bumbuwazi na matokeo haya ya uchaguzi wa Marekani.

Nikajiuliza kuwa kunawezekana hawa Wamarekani nimewaona kama ni majitu majinga ya ajabu kwa kwa kumchagua tena rais mwanaume yule yule mwenye vituko vya ajabu na vituko vyake wanavijua na bado wakamchagua!.

Wamarekani wameamua, kuliko kumchagua rais mwanamke, wakaamua kumtosa mwanamke na kumchagua rais mwanaume kwasababu tuu ya kugubikwa na ubaguzi wa mfumo dume.

Japo ni demokrasia kumchagua mgombea yoyote kwa sababu yoyote au hata bila sababu yoyote, bali ni kumpenda tuu, lakini sio demokrasia ya kweli kutokumchagua mgombea fulani mwenye sifa zote, lakini hachaguliwi kutokana na jinsia yake!, huu ni ubaguzi!.

Matokeo haya ya uchaguzi wa Marekani, yanauhusiano na uchaguzi mkuu wetu wa mwaka 2025, hivyo natoa wito kwa sisi wa Tanzania, tuyapokee matokeo haya na kuyachukulia kama ni fursa kwa Tanzania kuifundisha dunia demokrasia ya kweli.

Kwa vile mwakani, 2025, Tanzania tunafanya uchaguzi mkuu wa rais na wabunge, na tayari kuna chama kimoja kimeisha tangaza nia kwa kauli na matendo ya utaratibu wake wa ndani wa mserereko, kitamsimamisha mgombea mwanamke.

Kwa vile Tanzania imepata rais mwanamke kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, kufuatia lile tukio la Machi 17, 2021, lakini Watanzania walikuwa bado hawajawa tayari kuchagua rais mwanamke, hivyo uchaguzi wa 2025, macho ya dunia yatakuwa Tanzania.

Mnaonaje kama hiyo 2025, tuta ionyeshea Marekani na dunia kwa ujumla kuwa Tanzania ni wakomavu zaidi wa demokrasia, na tunaweza kufanya demokrasia ya kweli bila ya ubaguzi m-baya wa jinsia na kuutaa mfumo dume kwa Watanzania kuonyesha wanaweza kuchagua kiongozi wao bila kugubikwa na mfumo dume, na ubaguzi wa jinsia?

Hivyo Tanzania tuchangamkie fursa ya kuwa mwalimu wa demokrasia ya kweli kwa Wamarekani na dunia kwa kufanya maandalizi kamambe ya kuwaandaa Watanzania kuchagua rais mwanamke, na sababu za kuchaguliwa rais mwanamke, sio kuchaguliwa kwasababu ya gender yake, ya uanamke, bali awe amechaguliwa kwasababu ya uwezo wake wa urais na uongozi.

Sio vema kumchagua mtu hana uwezo, lakini tumchague tuu kwa kumhurumia kwa sababu ni mwanamke, lakini pia sio vema, kutokumchagua mtu ana sifa zote, na uwezo lakini kumbe ni mwanamke!

Tuyatumie matokeo ya uchaguzi wa Marekani kama shamba darasa la demokrasia ya kweli 2025

Paskali
Washington DC
Marekani.


Mfumo dume, ni mfumo wa Mungu, Mungu ni mfumo Dume wewe Mkristo wa hovyo usiejielewa!
 
Wanabodi,

Niko hapa jijini Washington DC, mji mkuu wa Marekani, pamoja na mambo mengine, nimepata fursa ya kuushuhudia uchaguzi wa Marekani, ambapo nchi ya Marekani inaitwa The Biggest Democracy kumaanisha ni demokrasia kubwa kwasababu ilipata uhuru wake Julai 4, mwaka 1776 lakini Wamarekani ni wabaguzi wa kichini chini, wanaendekeza mfumo dume, hawataki kutawaliwa na rais mwanamke!. Huu ni ubaguzi!. Pia wana ubaguzi wa rangi wa racism, ni ma racist fulani hivi, na wanawabagua fulani wahamiaji!.

Wagombea wakuu wa uchanguzi huu wa Marekani ni Kamala Harris wa chama cha Democrat ambaye ni makamo wa rais wa sasa, na Donald Trump wa chama cha Republican, ambaye aliwahi kuwa rais wa Marekani na akafanya vituko vingi.

Matokeo ni, pamoja na vituko vyake vyote, Wamarekani wamemchagua tena Donald Trump na kumtosa Kamala Harris.

Moja ya sababu za Wamarekani kumchagua tena Trump, licha ya vituko vyake, lakini pamoja na mambo mengine, Wamarekani wameamua kumchagua tena Trump, kwasababu ni mgombea mwanaume, kuliko kumchagua mgombea mwanamke!. Huu ni ubaguzi m-baya wa gender discrimination!.

Hivyo pamoja ni jina kubwa la nchi ya Marekani kuitwa demokrasia kubwa, lakini bado inakabiliwa na udhaifu mkubwa wa ubaguzi wa mfumo dume.

Mara ya kwanza kwa Donald Trimp kushinda urais, ni alishindana na mgombea mwanamke, Hilary Clinton, mke wa aliyekuwa rais wa Marekani, Bill Clinton.

Kwa vile hiyo ndio ilikuwa mara ya kwanza kwa mwanamke kugombea urais, Marekani, Trump alisema maneno fulani ya udhalilishaji jinsia ya kike, hivyo aliposhinda urais, Wamarekani walionyesha bado hawajawa tayari kutawaliwa na rais mwanamke.

Chama cha Democrat kilipoamua kumsimamisha tena mgombea mwanamke kwenye uchaguzi wa mwaka huu, na Donald Trump akaamua kugombea tena!, ikitegemewa safari hii, Wamarekani watamchagua rais wa kwanza mwanamke kwasababu Trump vituko vyake wanavijua.

Matokeo yalipotangazwa kwa Trimp kushinda kiukweli mimi ni miongoni mwa tuliopigwa butwaa, na kupata bumbuwazi na matokeo haya ya uchaguzi wa Marekani.

Nikajiuliza kuwa kunawezekana hawa Wamarekani nimewaona kama ni majitu majinga ya ajabu kwa kwa kumchagua tena rais mwanaume yule yule mwenye vituko vya ajabu na vituko vyake wanavijua na bado wakamchagua!.

Wamarekani wameamua, kuliko kumchagua rais mwanamke, wakaamua kumtosa mwanamke na kumchagua rais mwanaume kwasababu tuu ya kugubikwa na ubaguzi wa mfumo dume.

Japo ni demokrasia kumchagua mgombea yoyote kwa sababu yoyote au hata bila sababu yoyote, bali ni kumpenda tuu, lakini sio demokrasia ya kweli kutokumchagua mgombea fulani mwenye sifa zote, lakini hachaguliwi kutokana na jinsia yake!, huu ni ubaguzi!.

Matokeo haya ya uchaguzi wa Marekani, yanauhusiano na uchaguzi mkuu wetu wa mwaka 2025, hivyo natoa wito kwa sisi wa Tanzania, tuyapokee matokeo haya na kuyachukulia kama ni fursa kwa Tanzania kuifundisha dunia demokrasia ya kweli.

Kwa vile mwakani, 2025, Tanzania tunafanya uchaguzi mkuu wa rais na wabunge, na tayari kuna chama kimoja kimeisha tangaza nia kwa kauli na matendo ya utaratibu wake wa ndani wa mserereko, kitamsimamisha mgombea mwanamke.

Kwa vile Tanzania imepata rais mwanamke kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, kufuatia lile tukio la Machi 17, 2021, lakini Watanzania walikuwa bado hawajawa tayari kuchagua rais mwanamke, hivyo uchaguzi wa 2025, macho ya dunia yatakuwa Tanzania.

Mnaonaje kama hiyo 2025, tuta ionyeshea Marekani na dunia kwa ujumla kuwa Tanzania ni wakomavu zaidi wa demokrasia, na tunaweza kufanya demokrasia ya kweli bila ya ubaguzi m-baya wa jinsia na kuutaa mfumo dume kwa Watanzania kuonyesha wanaweza kuchagua kiongozi wao bila kugubikwa na mfumo dume, na ubaguzi wa jinsia?

Hivyo Tanzania tuchangamkie fursa ya kuwa mwalimu wa demokrasia ya kweli kwa Wamarekani na dunia kwa kufanya maandalizi kamambe ya kuwaandaa Watanzania kuchagua rais mwanamke, na sababu za kuchaguliwa rais mwanamke, sio kuchaguliwa kwasababu ya gender yake, ya uanamke, bali awe amechaguliwa kwasababu ya uwezo wake wa urais na uongozi.

Sio vema kumchagua mtu hana uwezo, lakini tumchague tuu kwa kumhurumia kwa sababu ni mwanamke, lakini pia sio vema, kutokumchagua mtu ana sifa zote, na uwezo lakini kumbe ni mwanamke!

Tuyatumie matokeo ya uchaguzi wa Marekani kama shamba darasa la demokrasia ya kweli 2025

Paskali
Washington DC
Marekani.
Dunia nzima hakuna race ambayo haina ubaguzi mkuu. Hata hapa bongo ubaguz upo mkubwa sana.
 
Vipi mkuu vyoo vya Washington Dc. wanachamba na Tp au maji?
Washington DC ni vile vile kama wazungu wengine wote,ila kwa vile mimi sio mgeni huku, nina nyumba hapa,nimefunga vile vibomba vya maji, na huku water pressure ni kubwa, huhitaji kutumia mkono kuosha chochote water
pressure inamaliza kila kitu na kuna tp za kufutia kwa watumiaji wa tissues na kuna tissue ya pili ngumu kidogo ya kujikaushia
P
 
Marekani ni taifa tofauti kabisa na nchi nyingine...Yani kuna nchi nyingine duniani halafu kuna taifa la Marekani. Wapo makini sana kwenye mambo ya uchaguzi. Obama ni mtu mweusi lakini alipita tena kwa vipindi viwili.

Linapotokea suala la wagombea huwa wamarekani wanaangalia wanahitaji nini kwa kipindi hicho na nani ni angalau anaweza kuwapa. Trump ushindi wake mbona ulikuwa dhahiri sana?
Kwa hyo si wabagzi wa jinsia ni wachunguzaji wa nn wanataka na hzo tuhuma nyengine unazisemeaje
 
Wanabodi,

Niko hapa jijini Washington DC, mji mkuu wa Marekani, pamoja na mambo mengine, nimepata fursa ya kuushuhudia uchaguzi wa Marekani, ambapo nchi ya Marekani inaitwa The Biggest Democracy kumaanisha ni demokrasia kubwa kwasababu ilipata uhuru wake Julai 4, mwaka 1776 lakini Wamarekani ni wabaguzi wa kichini chini, wanaendekeza mfumo dume, hawataki kutawaliwa na rais mwanamke!. Huu ni ubaguzi!. Pia wana ubaguzi wa rangi wa racism, ni ma racist fulani hivi, na wanawabagua fulani wahamiaji!.

Wagombea wakuu wa uchanguzi huu wa Marekani ni Kamala Harris wa chama cha Democrat ambaye ni makamo wa rais wa sasa, na Donald Trump wa chama cha Republican, ambaye aliwahi kuwa rais wa Marekani na akafanya vituko vingi.

Matokeo ni, pamoja na vituko vyake vyote, Wamarekani wamemchagua tena Donald Trump na kumtosa Kamala Harris.

Moja ya sababu za Wamarekani kumchagua tena Trump, licha ya vituko vyake, lakini pamoja na mambo mengine, Wamarekani wameamua kumchagua tena Trump, kwasababu ni mgombea mwanaume, kuliko kumchagua mgombea mwanamke!. Huu ni ubaguzi m-baya wa gender discrimination!.

Hivyo pamoja ni jina kubwa la nchi ya Marekani kuitwa demokrasia kubwa, lakini bado inakabiliwa na udhaifu mkubwa wa ubaguzi wa mfumo dume.

Mara ya kwanza kwa Donald Trimp kushinda urais, ni alishindana na mgombea mwanamke, Hilary Clinton, mke wa aliyekuwa rais wa Marekani, Bill Clinton.

Kwa vile hiyo ndio ilikuwa mara ya kwanza kwa mwanamke kugombea urais, Marekani, Trump alisema maneno fulani ya udhalilishaji jinsia ya kike, hivyo aliposhinda urais, Wamarekani walionyesha bado hawajawa tayari kutawaliwa na rais mwanamke.

Chama cha Democrat kilipoamua kumsimamisha tena mgombea mwanamke kwenye uchaguzi wa mwaka huu, na Donald Trump akaamua kugombea tena!, ikitegemewa safari hii, Wamarekani watamchagua rais wa kwanza mwanamke kwasababu Trump vituko vyake wanavijua.

Matokeo yalipotangazwa kwa Trimp kushinda kiukweli mimi ni miongoni mwa tuliopigwa butwaa, na kupata bumbuwazi na matokeo haya ya uchaguzi wa Marekani.

Nikajiuliza kuwa kunawezekana hawa Wamarekani nimewaona kama ni majitu majinga ya ajabu kwa kwa kumchagua tena rais mwanaume yule yule mwenye vituko vya ajabu na vituko vyake wanavijua na bado wakamchagua!.

Wamarekani wameamua, kuliko kumchagua rais mwanamke, wakaamua kumtosa mwanamke na kumchagua rais mwanaume kwasababu tuu ya kugubikwa na ubaguzi wa mfumo dume.

Japo ni demokrasia kumchagua mgombea yoyote kwa sababu yoyote au hata bila sababu yoyote, bali ni kumpenda tuu, lakini sio demokrasia ya kweli kutokumchagua mgombea fulani mwenye sifa zote, lakini hachaguliwi kutokana na jinsia yake!, huu ni ubaguzi!.

Matokeo haya ya uchaguzi wa Marekani, yanauhusiano na uchaguzi mkuu wetu wa mwaka 2025, hivyo natoa wito kwa sisi wa Tanzania, tuyapokee matokeo haya na kuyachukulia kama ni fursa kwa Tanzania kuifundisha dunia demokrasia ya kweli.

Kwa vile mwakani, 2025, Tanzania tunafanya uchaguzi mkuu wa rais na wabunge, na tayari kuna chama kimoja kimeisha tangaza nia kwa kauli na matendo ya utaratibu wake wa ndani wa mserereko, kitamsimamisha mgombea mwanamke.

Kwa vile Tanzania imepata rais mwanamke kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu, kufuatia lile tukio la Machi 17, 2021, lakini Watanzania walikuwa bado hawajawa tayari kuchagua rais mwanamke, hivyo uchaguzi wa 2025, macho ya dunia yatakuwa Tanzania.

Mnaonaje kama hiyo 2025, tuta ionyeshea Marekani na dunia kwa ujumla kuwa Tanzania ni wakomavu zaidi wa demokrasia, na tunaweza kufanya demokrasia ya kweli bila ya ubaguzi m-baya wa jinsia na kuutaa mfumo dume kwa Watanzania kuonyesha wanaweza kuchagua kiongozi wao bila kugubikwa na mfumo dume, na ubaguzi wa jinsia?

Hivyo Tanzania tuchangamkie fursa ya kuwa mwalimu wa demokrasia ya kweli kwa Wamarekani na dunia kwa kufanya maandalizi kamambe ya kuwaandaa Watanzania kuchagua rais mwanamke, na sababu za kuchaguliwa rais mwanamke, sio kuchaguliwa kwasababu ya gender yake, ya uanamke, bali awe amechaguliwa kwasababu ya uwezo wake wa urais na uongozi.

Sio vema kumchagua mtu hana uwezo, lakini tumchague tuu kwa kumhurumia kwa sababu ni mwanamke, lakini pia sio vema, kutokumchagua mtu ana sifa zote, na uwezo lakini kumbe ni mwanamke!

Tuyatumie matokeo ya uchaguzi wa Marekani kama shamba darasa la demokrasia ya kweli 2025

Paskali
Washington DC
Marekani.
The are not racist, they are just being nationalistic,
Hawana tofauti na wa South walioshambulia wahamiaji weusi na kutaka waondoke,
Wanalinda nchi Yao, America is for Americans, utamaduni wao, judeo Christianity, sasa Mambo ya kukuta misikiiti, hazana,kila Kona wapi na wapi!
Pale Tunisia wa Afrika walitimuliwa kisa wa Arab hawataki kuchanganya damu na mwafrika, demography ikabadirika!
Sisi wenyewe wa bongo, ni wabaguzi sana,
Ukiwa na asili ya kagera, unaonekana kama mnyarwanda, waha wakigoma, huchukuliwa kama warundi!
 
Mkuu Richard ,kwanza asante kwa kuchangia uzi wangu huu, pili asante kwa objectivity yako kwenye hili la kushindwa kwa Kamala, natamani chama cha the Democrat 2028 kije kimsimamishe Michelle Obama ndipo mtanielewa, naendelea kusisitiza hawa Warekani ni majitu majinga ajabu kutomchagua mwanamke, kitendo cha the biggest democracy kuwa wabaguzi kwa kumtosa mwanamke, Tanzania yukitumie kama fursa ya kujionyesha jinsi tulivyo na akili kuliko Wamarekani kwa kuchagua rais mwanamke come 2025

P
Mr pascal taifa halichagui jinsia linachagua kiongoz mwenye sera za kuwavusha hapo lilipo. Kamala hakuandaliwa alishtukizwa

Ww unapopigia kele jinsia wao wanaangalia uchumi , sera za mambo ya nje, wanatokaje hapo for the next 4 years
Wazungu wanata practicality si empty words, siasa za marekani hutozoelewa kwa aina hiyo ya kufikiri
 
Mnaonaje kama hiyo 2025, tuta ionyeshea Marekani na dunia kwa ujumla kuwa Tanzania ni wakomavu zaidi wa demokrasia
Ukitumia akili yako vizuri utagundua kuwa mleta mada ameleta:

kejeli

sema maneno ya dharau; fanyia mzaha


Nb:Mabandiko yake kuhusu matokeo ya uchaguzi wa Marekani yanatutaka sisi tufanye kama wamarekani walivyofanya, ila ametumia lugha ya kinyume!
 
Marekani ni taifa tofauti kabisa na nchi nyingine...Yani kuna nchi nyingine duniani halafu kuna taifa la Marekani. Wapo makini sana kwenye mambo ya uchaguzi. Obama ni mtu mweusi lakini alipita tena kwa vipindi viwili.

Linapotokea suala la wagombea huwa wamarekani wanaangalia wanahitaji nini kwa kipindi hicho na nani ni angalau anaweza kuwapa. Trump ushindi wake mbona ulikuwa dhahiri sana?
Ni kweli kabisa. Uchambuzi wa mleta mada kuhusu jinsia ni wa juu juu kabisa. Hakuwa anamsikia Kamala anavyoongea mambo hayaeleweki - 'word salad'?
 
ugua pole unatetea, chama cha MASHOGA na WASAGAJI, imekula kwenu. chama cha wanaume rijali kimeshinda kwa kishindo, tatizo mnapenda sana UNAFIKI, na uzuri TRUMP ni mzee wa MAKAVU live hakwepeshi jambo.
 
Mkuu Richard ,kwanza asante kwa kuchangia uzi wangu huu, pili asante kwa objectivity yako kwenye hili la kushindwa kwa Kamala, natamani chama cha the Democrat 2028 kije kimsimamishe Michelle Obama ndipo mtanielewa, naendelea kusisitiza hawa Warekani ni majitu majinga ajabu kutomchagua mwanamke, kitendo cha the biggest democracy kuwa wabaguzi kwa kumtosa mwanamke, Tanzania yukitumie kama fursa ya kujionyesha jinsi tulivyo na akili kuliko Wamarekani kwa kuchagua rais mwanamke come 2025

P
Heshima yako uliyojijengea kwa kipindi kirefu unataka kuipoteza kirahisi Sana. Acha kuwapangia wamarekani nini cha kufanya na badala yake Njoo hapa Bongoland ukemee uovu unaofanywa na chama tawala kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
 
Mimi ukiniambia umeishi Ulaya huwa siamini maana huelekei kabisa huna tofauti na mtu ambaye amezaliwa na kukulia Katoro tena anaweza kuwa na nafuu, kwahiyo Marekani waache kuchagua mtu wa kuleta maendeleo wachague jinsia? kwamba jinsia ndiyo inafanya kazi? taifa lao limeshuka kiuchumi na utajiri kisa hawajachagua mwanamke? wahamiaji ni lazima waende Marekani? watu weusi wanabaguliwa kwanini na wao wasitumie vizuri rasilimali zao wawe matajiri kama wamarekani? ni mawazo ya hovyo kabisa kuandikwa na mtu msomi kama wewe tena unajiita wakili, dawa ya kuheshimika ni kutafuta pesa uwe nazo.
 
ww mzee mada ya tatu hii unamlilia kamara harris unaonesha umeumia sana yeye kutochaguliwa..tangu umekuwa chawa bado utazidi kuumia roho
Ni aibu kwa msomi kama yeye kuwa na mawazo ya hovyo hivi, mbona Israel haijawahi kuwa na Waziri Mkuu mwanamke au Israel hakuna wanawake?
 
Back
Top Bottom