Je, Wajua? Wamarekani ni Wabaguzi wa Kichinichini. Wanaendekeza Mfumo Dume, Ubaguzi wa Jinsia, Racism na Kuwabagua Wahamiaji

Heshima yako uliyojijengea kwa kipindi kirefu unataka kuipoteza kirahisi Sana. Acha kuwapangia wamarekani nini cha kufanya na badala yake Njoo hapa Bongoland ukemee uovu unaofanywa na chama tawala kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
Kosa la Paschal ni kuishi kwa kutegemea hisani ya mtu, anatakiwa ajiulize nchi yetu bunge na serikali vinaongozwa na wanawake nini cha maana wamefanya zaidi ya kuruhusu ufisadi wa kutisha? kwanini na sisi tusitumie rasilimali zetu kuwa matajiri kama Marekani?
 
Mzee wangu umeputanga, ukiwa unaandika kitu cha hovyo hata points za maana unakua huna unarudia kile kile post nzima.

Sasa mkuu hiyo si ndio demokrasia yenyewe, wewe mwenyewe umeelezea maana ya demokrasia halafu tena unawapangia wamchague nani kwa sababu zako binafsi.

Kwahiyo hata hapa Tz 2025 wasiomchagua mama ni mazuzu?
(Na hili ndo lengo la uzi wako).
 
The are not racist, they are just being nationalistic,
Hawana tofauti na
Sisi wenyewe wa bongo, ni wabaguzi sana,
Ukiwa na asili ya kagera, unaonekana kama mnyarwanda, waha wakigoma, huchukuliwa kama warundi!
Kwa hili nakukatalia sisi Watanzania sio wabaguzi kivile ndio maana japo sheria inasema kwa baadhi ya nafasi, mgombea lazima awe raia wa Tanzania wa kuzaliwa kwa wazazi wote Watanzania, lakini tumekuwa na viongozi hawakuzaliwa Tanzania, baba zao halisi , the biology fathers sio Watanzania, walizaliwa huko waliko zaliwa na kuja Tanzania wakiwa wadogo, mama zao wakaolewa na Watanzania, watoto hao wakaandikishwa shule kwa majina ya baba zao wa kufikia, na tukawapa uongozi wa juu, huku tunajua sio Watanzania na tukawaacha! Naomba nisiwataje majina maana hawawezi kujitetea!.

Japo Tanzania tuna mipaka mingi lakini Kagera ndio the most notorious, mtafute Mkuu britanicca kuhusu kitoto fulani cha Banyamulenge kikapewa jina la kihaya la Katto!.

Sasa hivi kuna hawa banyamulenge wengine wawili, wanakwenda vizuri, kuna watu tunawajua ni Banyamulenge lakini hatuwataji wala kuwasema kwasababu they are so good, bright and brilliant, hivyo waache wawe nchi yetu ipate maendeleo, kwasababu kuna vitu sisi wenyewe, hatuviwezi, tunahitaji kusaidiwa na watu wa jirani zetu ambao kiukweli they are so good!. Thread 'Ili kuepuka possibility ya kutawaliwa na wageni, kuna haja kutumia DNA kuthibitisha asili halisi za viongozi wetu wakuu?' Ili kuepuka possibility ya kutawaliwa na wageni, kuna haja kutumia DNA kuthibitisha asili halisi za viongozi wetu wakuu?

P
 
Aya yako ya mwisho ndilo hasa lengo la bwana huyu...
 


Pascal Mayalla kwanini usupport ushoga ? Na kwanini uamini gender balance na useme wamarekani hawakumchagua halis kwasabu ya jinsia, je wanaume nao wakisema trump hajachaguliwa kwasabu ni mwanaume kama halisi angeshinda ?

Siasa za kutapatapa ni mbaya sana, nnchi zetu zilikuwa zinashindwa kupinga direct ushoga kwasabu ya Democratic, now watatoa sauti, na misaada ya janja janja tutaiskia tu.

Mkuu wamerakani sio kama sisiem mnaoangalia matumbo yenu, kila kitu ndiomana hamuendi mbele mpaka mgongwe kama patasi kwamujibu wa bwege,
Tizama Marekani ilipoteza hata hofu ya mungu, ni very bad deepstate inatumia gender na rangi ili wapenetrate.

Unachagua vipi chama kinachonyima watoto haki ya kuishi ?
Unasapoti vipi chama kinachopromote LGBTQ ?

Shule za watoto zinazosupport LGBTQ zilikuwa zinafadhiliwa na hao hao Democratic,



 
Mbona simpo sana mkuu, usiumie kihivyo, waonyeshe kwamba wewe siyo mbaguzi, kwa kuanza kuongozwa na mkeo
 
US itabakia US - kamwe hawatakupa kazi ya kuliongoza Taifa lao kwa majaribio ya Gender bali ni kwa uwezo wako na kwa sera za chama chako kuhusu mambo muhimu yanayowapa challenges kwa wakati huo - na hicho ndiyo wamekifanya.
 
Advocate acha kuficha white kwa mgongo wa wamarekani. Waliopita Havana wameshakuelewa
 
Fedheha
 

Attachments

  • b3a34e7e631270a9e73fdd13db687369.mp4
    3.6 MB
  • watermark-51a3cc01acd06eefe8d1d23a20c76918_0.jpeg
    516.2 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…