Je, Wajua Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu? Ili Kuepuka Kuchanganya Dini na Siasa, Kuna Haja Waumini Tuambiwe Ukweli Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu?

Hu
Huna nyota Babu teuzi utaendelea kuzisikia tu redioni maana naona unapambana sana
 

Paskali,

Mpaka unaotenganisha "neno la Mungu" na "neno lisilo la Mungu" ni upi?

Ukuta unaotenganisha "maoni ya Maaskofu" na "maagizo ya Mungu" ni upi?

Mungu hajatuagiza kwamba: “Subdue the earth and dominate all living things”? (Genesis 1:28)

Watanzania hatuna mamlaka ya kuitiisha nchi na vyote viijazvyo?

Hayo sio maagizo ya Mungu wetu?

Maaskofu wameongea kitu nje ya amri hii?

Mungu anakuona kwa jicho la adhabu Paskali!

Mama Amon.
 
Kwa juu ama mwanzoni ameanza mbwembwe kuwateka watu willing yao ili i bend according to his will. Huyu Kuna kitu akapewa sio bure.mara akasoma India akasoma pia na dini za India huko,ingawaje za afrika hajazisoma.
Mie Ni dini Ni ya afrika sema haelewi Mana ya viongozi wa dini. Wanaweza waka forecast hatari mbele so wakatadharisha viongozi kuwa machafuko yanaweza yakatokea
 
Dini zote zina sifa ya kutenganisha UUNGU na UUTU- labda kanisa lenu katoliki la TEC ila Kanisa Katoliki la Roma linatenganisha
 
Wakati mwingine kunyamaza pia ni busara, hata kama una uhuru wa kutoa maoni. Hii njia uliyoichagua, itakushushia heshima yako kwa kiwango cha ajabu.

Na ushahidi mdogo tu ni hayo maswali uliyoulizwa na wajumbe! Sidhani kama baadhi yae unaweza kuyajibu kwa ufasaha.
 
Usisahau kuwa altare hizohizo zilitumika khamasisha waumini kushiriki uchaguzi. Inakuwa kuhimiza uchaguzi ilikuwa halali na leo kukemea maovu inakuwa kuchanganya siasa na dini?

Tunakujua wewe ulikuwa kinyume na baba, uko pamoja nao.

Isitoshe Mr Mayala ni mtu mkubwa sana. Sauti yako ina nguvu na inasikika mbali. Waambie wasibabaike na waraka wa TEC hauna madhara. Ila wajiandae kupoteana njia.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Watu wanapiganishwa vita wasioijua
 
Dini zote zina sifa ya kutenganisha UUNGU na UUTU- labda kanisa lenu katoliki la TEC ila Kanisa Katoliki la Roma linatenganisha

TEC ni sehemu ya Kanisa Katoliki la Roma. Hivyo, dhana ya UTU wa binadamu na UTU wa Mungu, zinazotambuliwa na Kanisa Katoliki la Roma zinatambuliwa na TEC.

Nakukumbusha kwamba, Kanisa Katoliki la Roma linafundisha, na TEC wanakubali, hoja ifuatayo:

1. Kwa kuwa UTU wa Mungu ni chimbuko la UTU wa binadamu;

2. Na kwa kuwa kuna uhusiano usiotenganishika kati ya chanzo na matokeo yanayotokana na chanzo husika;

3. Basi, kuna uhusiano usiotenganishika kati ya UTU wa binadamu na UTU wa Mungu.

Kwa hiyo, maneno yako kwamba "Dini zote zina sifa ya kutenganisha UTU wa MUNGU na UTU wa BINADAMU," japo umelisema hilo kwa kujiuma uma midomo, hayakubaliki kwa Kanisa Katoliki la Roma, linaloamini juu muungano wa kudumu wa kietiolojia (an inseparable etiological connection) kati ya Mungu aliye sababu na Binadamu aliye matokeo.
 
UKISOMA HII ITAKUSAIDIA
Sociologists who do research on religion analyze the relationship between society and religion and study the role that religion plays in people’s lives. They do not try to prove that one religion is better than another. Nor is it their goal to verify or disprove anyone’s faith. As was mentioned in Chapter 1, sociologists have no tools for deciding that one course of action is more moral than another, much less for determining that one religion is the “correct” one. Religion is a matter of faith—and sociologists deal with empirical matters, things they can observe or measure. When it comes to religion, then, sociologists study the effects of religious beliefs and practices on people’s lives.
They also analyze how religion is related to stratification systems. Unlike theologians, however, sociologists do not try to evaluate the truth of a religion’s teachings. Emile Durkheim was highly interested in religion, probably because he was reared in a mixed-religion family, by a Protestant mother and a Jewish father. Durkheim decided to find out what all religions have in common. After surveying religions around the world, in 1912 he published his findings in The Elementary Forms of the Religious Life.
Here are Durkheim’s three main findings. The first is that the world’s religions are so varied that they have no specific belief or practice in common. The second is that all religions develop a community centering on their beliefs and practices. The third is that all religions separate the sacred from the profane. By sacred, Durkheim referred
to aspects of life having to do with the supernatural that inspire awe, reverence, deep respect, even fear. By profane, he meant aspects of life that are not concerned with religion but, instead, are part of ordinary, everyday life.
Durkheim (1912/1965) summarized his conclusions by saying:
A religion is a unified system of beliefs and practices relative to sacred things, that is to say, things set apart and forbidden—beliefs and practices which unite into one single moral community called a Church, all those who adhere to them.
 
Mkuu Paskali.
Kuna andiko nakuwekea hapa....


Mathayo 16:19
Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni; na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.

Je unadhani Maaskofu waliinuka bila kumshirikisha Mungu? Waliomba kwa kupata hekima na NENO la kusema.

Unakumbuka Yohana Mbatizaji alikatwa kichwa kwa sababu gani? Mara nyingi Neno la Mungu linapingwa hata kufanyiwa figisu figisu
 
Siku zote naamini wewe ni mpumbavu lakini Kwa kweli sikujua kama ni Mpumbavu kiasi hiki.
Mkatoliki usiyejua kwamba Waraka wa kitume kikanisa ni neno Takatifu wewe ni Mkatoliki gani. Hii ndo naisikia kwako Leo kwamba kuna mafundisho wa Kikatoliki yanasema Nyaraka za Kanisa zinaweza kupuuzwa na waumini Kwa ushauri wa Zuzu mmoja.
 
Ukweli na kusema ukweli kwa kutafuta sifa ya kupendwa ni ujinga- DINI haichanganywi na siasa. Aidha jibuni swali lake- Paskali anaunga mkono makubaliano ya bandari, je aende kusali na huko akosomewe tamko la kupinga bandari? Nionyeshe bandari kwenye amri kumi za Mungu- ACHENI UPOFU
 
Utakatifu? Unatoka wapi huo utakatifu. Lakini sawa; sasa pingana na mtatakatifu Kardinali Pengo
“Zipo sehemu katika waraka huo zinazochanganya Dini na Siasa na si kazi ya maaskofu ni kazi yenu wanasiasa mkiwa ni wa CHADEMA, mkiwa ni wa CCM lakini haiwezi kuwa kazi yangu mimi.
“Siwezi kwanza nikaanza kuchambua na ku-criticize Serikali katika mambo yaliyo yake; sikupewa mamlaka hayo. Na kwanini niwe padri mpaka nikubali kuwa Askofu na huku kumbe wito wangu ni siasa?
 

Nimesoma lakini sijaona hoja yako ni ipi?

The claims which you appear to assert, and which I deny, are the following

That, there is separable etiological connection between a creator and its creature.

And that, there is separable meriological connection between an organic whole and its parts.

You have not defended your case yet!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…