Je, wajua Wazaliwa wa Pwani huwaona wazaliwa wa Bara kama washamba tu?

Kila mtu na mshenz wake,na wao wakawapata washenz wao kutoka bara wakawa wanawadalalia waarabu,sasa hapo mjanja nani??[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
Huo ndio ukweli. Mimi ujanja nilijifunzia Dar. Wakati naenda kule kusoma tuisheni nilijikuta sijui vitu vingi sana
 
Mmeweka historia kwa kuvaa msuli na Madera, kupiga umbea na kunywa pombe ya mnazi.

Musee mmetisha kwa ujinga, jiji limeshatwaliwa na wajanja kutoka bara njoo huku Tegeta na Mbezi shamba uone jinsi watu wa bara wanyopiga hela kijanja
Shule hatuna, ikulu tulikaa, na saini tumeacha kwenye white house ya nchi, msoga Kuna ikulu ndogo vijijini kwenu hipo titi.
 
Hawa watu ni hatari sana,ni wakabila mno
 
Ni kweli ilikua hivyo lakini kikaja kitu kinaitwa madaraka, pesa na mali kila kitu kilitenguliwa...ndo maana akatokea mlugaluga mmoja kutoka kijijini na akaijambisha nchi nzimaa.
 
Yaani hii mijitu ya pwani inajisifia kuletewa ustaarabu badala ya kustaarabika wenyewe. Ona sasa imekuwa wapangaji wa wakuja. Imebaki nanuswahili tu
 
Hii historia ya watu wa pwani kupigana vita ya majimaji imeibwa na kupelekwa Songea. Nashauri pwani kuanzishwe makumbusho ya majimaji.
Tena tuliaminishwa eti tulikua dhaifu hatuna hata bunduki,kumbe vita tulipigana na bunduki pamoja na silaha nyengine
 
Shule hatuna, ikulu tulikaa, na saini tumeacha kwenye white house ya nchi, msoga Kuna ikulu ndogo vijijini kwenu hipo titi.
Aliyekaa ikulu alikuwa pacha wake na mzee wa mimnvi wapigaji wa kitaifa, hao ndio wamechangia sana kuhusu umaskini, maradhi, na ujinga wenu.

Endelea kujisifu huku mzee wa Msoga akijambia bakuli lako la mbilimbi we fala wa pwani πŸ˜„
 
Ramadhan dau sio mhaya dau ni majina ya kihaya
 
Aliyekaa ikulu alikuwa pacha wake na mzee wa mimnvi wapigaji wa kitaifa, hao ndio wamechangia sana kuhusu umaskini, maradhi, na ujinga wenu.

Endelea kujisifu huku mzee wa Msoga akijambia bakuli lako la mbilimbi we fala wa pwani [emoji1]
Nyie ambao sio mafala, kwenu mmetoa mtu au mmeweka saini white house, au tabia zenu za ubaguzi, washamba ambao walugakuga kiswahili kimeanzia kwetu, kazi kutuonea wivu, mpambane na ulugaluga wenu.
 
Nyie ambao sio mafala, kwenu mmetoa mtu au mmeweka saini white house, au tabia zenu za ubaguzi, washamba ambao walugakuga kiswahili kimeanzia kwetu, kazi kutuonea wivu, mpambane na ulugaluga wenu.
Kiswahili kilianzia kwenu πŸ˜„πŸ˜„hilo ndio jambo la kujisifu?

Una akili ya panzi kabisa fala we
 
Uzi huu unagawanya watu kijinga, kwa sababu hawajui historia.

Hao wanaojiita watu wa pwani wenyewe ni wakuja tu huko pwani, kwa sababu wabantu wamekuja hivi karibuni katika ardhi ambayo sasa ni Tanzania.

Karibu wote wametokea bara.

Mfano, Wazaramo ni Waluguru waliokimbilia pwani.

Na watu wengi wa kizazi cha sasa wamechanganya sana makabila.
 
Una jeuri ya kumpeleka mume wa aliyekuzaa jando? Akili yako ni ya panzi tu maana hujui kuwa govi lilimwaga mbegu kisha ukazaliwa [emoji16][emoji16]
Mlugaluga, govi linaleta magonjwa, msungo mlete mkeo tumfunde tumfundishe Nini maana ya shanga, hata wewe njoo tukuweke jando ujue maana, kazi kubishana ujapelekwa jando.
 
Ni kwamba waarabu walivyokuja kufanya biashara haramu ya utumwa walifikia kwenye mikoa ya pwani na hata wakoloni pia ilikuwa ni hivyo hivyo.

Hivyo kwa kuwa wenyeji wao walikuwa ni watu waliokuwa wakiishi maeneo hayo basi waliwafundisha ustaarabu mwingi ambao wenzao wa bara walikuwa hawaujui.
 
Mlugaluga, govi linaleta magonjwa, msungo mlete mkeo tumfunde tumfundishe Nini maana ya shanga, hata wewe njoo tukuweke jando ujue maana, kazi kubishana ujapelekwa jando.
Ulienda jando baada ya kutoka jando ukaolewa na mpemba ukazibuliwa mtaro πŸ˜€πŸ˜€hivi bado wavaa shanga? Hata wamasai wanavaa hizo kitu, ila wanaakili nyingi kuliko wazaramo.

Endelea na ushoga wako uzibuliwe mtaro na govi 😁😁
 
Ulienda jando baada ya kutoka jando ukaolewa na mpemba ukazibuliwa mtaro [emoji3][emoji3]hivi bado wavaa shanga? Hata wamasai wanavaa hizo kitu, ila wanaakili nyingi kuliko wazaramo.

Endelea na ushoga wako uzibuliwe mtaro na govi [emoji16][emoji16]
Mtaro umeuongelea kwakuwa jadi yenu kwenu, wamasai wanavaa masikioni, msungo kweli, kakate govi fala kafie mbele huko.
 
Fa
Mtaro umeuongelea kwakuwa jadi yenu kwenu, wamasai wanavaa masikioni, msungo kweli, kakate govi fala kafie mbele huko.
Fala ni mzaramo yeyote aliyekimbilia mjini kuuza maji ya barafu na kahawa kama wewe bwashee πŸ˜‚
 
Huna akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…