Je, wajua Wazaliwa wa Pwani huwaona wazaliwa wa Bara kama washamba tu?

Nauliza
 
Kwani uongo? Hata ukienda Dar na kurudi mkoani unaona kabisa umekuja shambani 😂😂
 
Mibara mishamba sana hayajui kuvaa bongo fleva tudominant mpaka ukaja jielewa ilikuwa hata kutahiriwa haijui

Mibara yeyote huniambii kitu washamba wakubwa ustaarabu zero kuoga shida
 
Wewe jamaa zero kabisq, et watu wa pwani hata vita hawawezi, Vita vya Maji maji walipigana akina nani?... nyie mijitu ya bara ndio mlikuwa mbumbumbu hamkuyaona waliyoyaona watu wa pwani

Mlikuwa loyal kwa wakoloni. Wakat watu wa pwan kitambo walipinga kuchukuliwa maeneo yao na mzungu.

Watu wa pwan hata mzungu alivua kofia, wakipewa mbegu za mazao ya biashara walime kwa lazima wao walikuwa wanazichemsha kwanza ndio wanapanda.
 
Hivi unajua wanaume/watu wa pwani Wana Tabia za kike/wanaume wa Dar mmewasahau?kazi kuchekacjheka,kujichubua,kurembua,mashoga woote wanatoka pwani,wanajambishwa na vitoto vidogo,yaani panya rodi🤣🤣.🚮🚮
 
Karibuni pwani nyie wabara mje mle samakiView attachment 2245691
Samaki wenyewe hamna ubavu wa kuwala nilienda lindi bei ya samaki dar afadhali angalau mvuvi ila wasio wavuvi hata mwezi wanaweza wasile tofauti na wa mwambao wa ziwa victoria,tanganyika,nyasa na rukwa.Samaki kwao anaepatikana kiurahisi mtamu eti ni kibua!
 
we aliyekwambia songea ni pwani nani ?
hebu tafuta abushiri aliwafanya nini nduguze ili asipigane vita
 
watu wa pwani mlivyowapokea waarabu mkawa mnawapeleka hadi bara wakafuate watumwa kama sio kuwauza ndugu zenu ni nini ?
nyinyi waoga

hamjapigana vita yoyote
 
Tuanzie kwenye ardhi,kule pwani ni kichanga na unavyozidi kwenda bara ni udongo mgumu,sasa hapo sijui tena na ushamba kuna mahusiano gani,ila kiufupi wengi ni washamba,yani watu wa kushangaa sana...
 
Uzuri wa watu wa Pwani hawana makuu...

Mwalimu Nyerere alipokewa na wazee wa town akina Sykes wakampa good time na kumpeleka mpaka UN kudai Uhuru na kisha wakamuacha awe Rais bila kinyongo..

Hata hapo Dar watu wengi wa bara wamepewa maeneo bure kabisa na wenyeweji japo leo wao wanayauza kwa mamilioni ya hela na kujiona wajaanja ilihali ukienda huko kwao hata eneo la kaburi ni dili...

Mpaka leo hii huko Kilwa, na baadhi ya vijiji vya mkoa wa Pwani Wasukuma wanapewa maeneo bure walime...

Kilwa iliwahi kuwa na maghorofa na mji ulioendelea zama hizo kabla hata ya mkoloni..

Bagamoyo na Mzizima zenyewe zilikuwa town toka zama hizo kipindi wanyamwezi na wasukuma wanajificha mapolini huko..
Hata nguo na hivi vyoo vya kujisaidia vilianzia Pwani wakati wengine wakivaa majani..

Vingine ngoja niache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…