Je, wajua Wazaliwa wa Pwani huwaona wazaliwa wa Bara kama washamba tu?

Je, wajua Wazaliwa wa Pwani huwaona wazaliwa wa Bara kama washamba tu?

Comment ya Kwanza na ya pili imebeba dharau ya Hali yaa juu sn[emoji28]..watu mnaoishi sehemu za joto kwenye maji ya chumvi mna dharau sn Ila mnachojua ni kuvaa misuli na kucheza bao la kete kwenye vijiwe vya kahawa huku maendeleo mkipishana nayo
Wasomi wa bara hutumia vigezo gani kuyapima maendeleo?[emoji23][emoji23]
1566196666511.jpg
 
Tanganyika = Tanga (huu mji/Jiji) na nyika (porini/eneo baki la nchi yetu)
Hao ni wajerumani enzi hizo.
 
watu wa pwani wamestaarabika kwasababu mzungu na mwarabu alikuwa lazima akanyage aridhi ya pwani kabla ajafika maeneo mengine, n
bahari ndio ilikuwa the main and only entrance ya walioleta ustaarabu pwani (mzungu & mwarabu)

tukitaja sehemu za pwani zote kuanzia dar,bagamoyo, zanzibar,tanga, kilwa... pote uko kulichamka kwasababu wazungu walikuwa lazima wafike hapo kabla ya kusambaa sehemu nyingine

lakini pamoja na ustaarabu wote wa watu wa pwani na pamoja privilage yote waliyopata kutoka kwa wazungu na warabu, watu wa pwani walishindwa kujiheshimisha kwenye nyanja nyingi kama vile elimu na maendeleo. Mwisho wa siku walishindwa hata kuendeleza miji yao mpaka alipokuja mtu wa bara kumpa changamoto

kwasababu wa pwani wengi wanajua ustaarabu tu lakini elimu na maendeleo yao ni zero basi wanabaki kuwa machawa na wataalamu wa kusagiana kunguni, yani maneno mengiiii lakini vitendo sifuri

watu wa pwani mlikuwa mna kila resources za kuwafanya ma giant kwenye nchi hii, lakini mlishindwa kuzoyumia hizo resources kwasababu ya umwinyi na uvivu wenu na watu wabara walovyotia maguu kuanzaa kutumia hizo resource mnaanza kujimwambafai nyie ndo wajanja na mna ustaarabu!
endelee kujimwambafai uku maeneo yenu yanachukuliwa na watu wa bara
Maendeleo yapi tena hayo[emoji1787][emoji1787]
images%20(8).jpg
 
Basi hivo ndivo ilivo.

Wazaliwa wa mikoa ya pwani kihistoria wanawachukulia watu wa bara kama watu washamba tu walioukuta ustaarabu Pwani.

Kwa mfano ustaarabu wa mapishi, usafi hasa kuoga yaani hadi kuingia chooni na maji wabara inasemekana walikua hawajui maana walitumia udongo na magunzi kujitawazia.

Sasa basi mzaramo au mkwere ukijitambulisha umetoka chato au umetoka lamadi au umetoka mpitimbi akilini mwake anakuchukulia mshamba tu hata uwe umemzidi kila kitu lakini mentality yake inamweleza wewe ni mshamba.

Lakini pia watu wengi walitoka bara kwenda maeneo ya pwani kutafuta maisha kiufupi maeneo ya pwani yalianza kua miji kabla ya maeneo mengi ya bara.

Ndio maana huwezi mweleza kitu Ramadhan Dau, Sykes, JK, Mohamed Said, Rupia, hawa na wengine wengi kwanza wanafahamiana kabisa ndio maana kuna vitu ukifanya wanakuita mshamba au limbukeni.

Nadhani mlimsikia Nape akisema Boss wake mshamba au mliona polepole kujisifia v8 aliitwa mshamba, hilo kuanzia leo mlichukue.
Watu wanapenda mnanda, mchiriku watu wanapenda wacheze vanga na wanywe mnazi na huo ndio utamaduni wao.

Ndio maana hata watoto wa manzese hawachelewi kumwita vunjabei mshamba yaani pisi wanayokula watu kwa chips yeye anatumia mabilioni kuipata hapo ndio kizaazaa huanzia.
Wazaliwa wa mikoa ya Pwani, ujanja wao ni kuuza ardhi kwa watu wawili wawili au watatu.
Halafu wao kuhamia Mbagala, Kimanzichana naKimbiji.
Jiji la Dar maeneo mapya yote utamtafuta na kumpata kwa shida sana mwenyeji wa Dar.
 
Sasa watu wa bara ndio wananunua makazi ya pwani hivyo wenyeji hawana ujanja zaidi ya kusogea nje ya miji(shamba)hapo washamba ninani maana mtu wa mjini wa ..1970...hawezi kuwa wa mjini wa sasa.
Mkuu hivi unafahamu Tanzania ni free country na wananchi wote wanaweza kwenda popote ndani ya nchi na kufanya chochote?
Means hata mimi naweza kwenda kununua eneo bara ila sema bara ni.......... well you know!
Na watu wanaoununua maeneo ambayo unaita shamba sasa hivi baadae yatakuwa na thamani kubwa zaidi sababu hata kariakoo ilikuwa shamba! je unadhani nani mshamba hapo?

Nilikuwa nataka kusema "this is a nonsense ideology" lakini kwakuwa mimi ni gentleman na mstaarabu basi sitosema hivyo.
 
Basi hivo ndivo ilivo.

Wazaliwa wa mikoa ya pwani kihistoria wanawachukulia watu wa bara kama watu washamba tu walioukuta ustaarabu Pwani.

Kwa mfano ustaarabu wa mapishi, usafi hasa kuoga yaani hadi kuingia chooni na maji wabara inasemekana walikua hawajui maana walitumia udongo na magunzi kujitawazia.

Sasa basi mzaramo au mkwere ukijitambulisha umetoka chato au umetoka lamadi au umetoka mpitimbi akilini mwake anakuchukulia mshamba tu hata uwe umemzidi kila kitu lakini mentality yake inamweleza wewe ni mshamba.

Lakini pia watu wengi walitoka bara kwenda maeneo ya pwani kutafuta maisha kiufupi maeneo ya pwani yalianza kua miji kabla ya maeneo mengi ya bara.

Ndio maana huwezi mweleza kitu Ramadhan Dau, Sykes, JK, Mohamed Said, Rupia, hawa na wengine wengi kwanza wanafahamiana kabisa ndio maana kuna vitu ukifanya wanakuita mshamba au limbukeni.

Nadhani mlimsikia Nape akisema Boss wake mshamba au mliona polepole kujisifia v8 aliitwa mshamba, hilo kuanzia leo mlichukue.
Watu wanapenda mnanda, mchiriku watu wanapenda wacheze vanga na wanywe mnazi na huo ndio utamaduni wao.

Ndio maana hata watoto wa manzese hawachelewi kumwita vunjabei mshamba yaani pisi wanayokula watu kwa chips yeye anatumia mabilioni kuipata hapo ndio kizaazaa huanzia.
Tanga-Nyika.....wakielewa tu hilo jina hakuna atakayebisha.
 
  • Mimi 'Mmatumbi' wa Kilwa, namuona Mtu wa Pwani ni mshamba tu wa kuja!
  • Kilwa ndiyo mji wa Kwanza kujitengenezea Fedha yake, Wakati wao wanabadilishana Mbuzi na Chumvi Kilwa tayari Fedha ilikuwepo
Kijana kwa kutumia akili yako ya kawaida unaweza kuniambia kati ya Dar es Salaam (place of peace-sehemu ya amani), mji mkubwa Tanzania na east Africa na la saba kwa ukubwa Africa nzima pia moja ya jiji linalokuwa kwa kasi zaidi duniani ukilinganisha na kilwa, wapi kuna washamba na kusiko na maendeleo?

Alafu technically kilwa ni pwani vilevile.
 
Kijana kwa kutumia akili yako ya kawaida unaweza kuniambia kati ya Dar es Salaam (place of peace-sehemu ya amani), mji mkubwa Tanzania na east Africa na la saba kwa ukubwa Africa nzima pia moja ya jiji linalokuwa kwa kasi zaidi duniani ukilinganisha na kilwa, wapi kuna washamba na kusiko na maendeleo?

Alafu technically kilwa ni pwani vilevile.
  • Inaonekana hujui historia
  • Historia ya Mji wa Kilwa, Kwa ufupi kilichotokea ni kwamba Wareno waliuchoma Moto mji wa Kilwa na Ndiyo ikawa mwanzo wa kuanguka Dola la Kilwa
  • Kilwa, hakuna Washamba, Kwa sababu ni ukanda ule ule wa wastaarabu!
 
watu wa pwani wamestaarabika kwasababu mzungu na mwarabu alikuwa lazima akanyage aridhi ya pwani kabla ajafika maeneo mengine, n
bahari ndio ilikuwa the main and only entrance ya walioleta ustaarabu pwani (mzungu & mwarabu)

tukitaja sehemu za pwani zote kuanzia dar,bagamoyo, zanzibar,tanga, kilwa... pote uko kulichamka kwasababu wazungu walikuwa lazima wafike hapo kabla ya kusambaa sehemu nyingine

lakini pamoja na ustaarabu wote wa watu wa pwani na pamoja privilage yote waliyopata kutoka kwa wazungu na warabu, watu wa pwani walishindwa kujiheshimisha kwenye nyanja nyingi kama vile elimu na maendeleo. Mwisho wa siku walishindwa hata kuendeleza miji yao mpaka alipokuja mtu wa bara kumpa changamoto

kwasababu wa pwani wengi wanajua ustaarabu tu lakini elimu na maendeleo yao ni zero basi wanabaki kuwa machawa na wataalamu wa kusagiana kunguni, yani maneno mengiiii lakini vitendo sifuri

watu wa pwani mlikuwa mna kila resources za kuwafanya ma giant kwenye nchi hii, lakini mlishindwa kuzoyumia hizo resources kwasababu ya umwinyi na uvivu wenu na watu wabara walovyotia maguu kuanzaa kutumia hizo resource mnaanza kujimwambafai nyie ndo wajanja na mna ustaarabu!
endelee kujimwambafai uku maeneo yenu yanachukuliwa na watu wa bara
Hatuwez kuizungumzia suala la elimu na Maendeleo Kwa watu wa pwani bila kuutambua mchango wa uislamu. Uislam na elimu hii inayoleta mafanikio ya maisha ya sasa (elimu dunia) ni vitu viwili tofauti. Hiki ndicho kilichosabbisha waislam wengi kutokea pwani ndicho hicho kimesbabisha pwani kutoa wasomi wachache. Elimu hii ililetwa na wazungu kupitia mishenari ambao na uislam havikai sehem moja
 
Hatuwez kuizungumzia suala la elimu na Maendeleo Kwa watu wa pwani bila kuutambua mchango wa uislamu. Uislam na elimu hii inayoleta mafanikio ya maisha ya sasa (elimu dunia) ni vitu viwili tofauti. Hiki ndicho kilichosabbisha waislam wengi kutokea pwani ndicho hicho kimesbabisha pwani kutoa wasomi wachache. Elimu hii ililetwa na wazungu kupitia mishenari ambao na uislam havikai sehem moja
ukiwaambia ukweli kama huu wanakasirika tu
 
Naomb niulize kidogo pwan mnayo iongelea ni ipi mm najuwa pwan ni miji iliyo kalibu n bahari mfano tanga dar es salaam na miko mingine au pwani ni zanzibar
 
hawa watu wa pwani ni watu wa hovyo na umbea wake kwa waume uvivu tu umewajaa waoga sana vita hawaziwezi wao kusemana tu

ndio maana mababu zao waliliwa sana na wale jamaa kwa kisingizio tulikuwa tunakunywa gahawa na zawadi za misuli na sahani za udongo
Fafanua mkuu walikuwa wanaliwa kivipi?.
 
Back
Top Bottom