Je, wajua Wazaliwa wa Pwani huwaona wazaliwa wa Bara kama washamba tu?

Je, wajua Wazaliwa wa Pwani huwaona wazaliwa wa Bara kama washamba tu?

Alafu akaja ngosha kutoka Chattle,akawa anawafokea na kuwaburuza wakaufyata

Alafu akaja ngosha kutoka Chattle,akawa anawafokea na kuwaburuza wakaufyata
Bwana wee sasa hivi wanashindana na dada zao kujipondoa kuvaa vimodo hivi mtoto toka umalila mbeya vijijini uko anaweza paka poda kweli wewe wangalie tu wanojiita watoto wa mijini kina juma likole😂😂😂
 
Basi hivo ndivo ilivo.

Wazaliwa wa mikoa ya pwani kihistoria wanawachukulia watu wa bara kama watu washamba tu walioukuta ustaarabu Pwani.

Kwa mfano ustaarabu wa mapishi, usafi hasa kuoga yaani hadi kuingia chooni na maji wabara inasemekana walikua hawajui maana walitumia udongo na magunzi kujitawazia.

Sasa basi mzaramo au mkwere ukijitambulisha umetoka chato au umetoka lamadi au umetoka mpitimbi akilini mwake anakuchukulia mshamba tu hata uwe umemzidi kila kitu lakini mentality yake inamweleza wewe ni mshamba.

Lakini pia watu wengi walitoka bara kwenda maeneo ya pwani kutafuta maisha kiufupi maeneo ya pwani yalianza kua miji kabla ya maeneo mengi ya bara.

Ndio maana huwezi mweleza kitu Ramadhan Dau, Sykes, JK, Mohamed Said, Rupia, hawa na wengine wengi kwanza wanafahamiana kabisa ndio maana kuna vitu ukifanya wanakuita mshamba au limbukeni.

Nadhani mlimsikia Nape akisema Boss wake mshamba au mliona polepole kujisifia v8 aliitwa mshamba, hilo kuanzia leo mlichukue.
Watu wanapenda mnanda, mchiriku watu wanapenda wacheze vanga na wanywe mnazi na huo ndio utamaduni wao.

Ndio maana hata watoto wa manzese hawachelewi kumwita vunjabei mshamba yaani pisi wanayokula watu kwa chips yeye anatumia mabilioni kuipata hapo ndio kizaazaa huanzia.
Ustaarabu ni nini? Kufanya kama wanavyofanya wazungu na waarabu? Asilimia kubwa ya vijana wa Pwani, wa kiume na wa kike wanafumuliwa nyuma..ndo ujanja huo?
 
Ukweli ni huo Mkuu,

Bara ni shamba na dunia ilianza kuchangamka maeneo ya pwani tokea kitambo.

Wakati watu wa pwani wanajenga miji yao na kuishi pamoja kule sigimbi ndio kwanza watu walikuwa wanagombea mapango na mawe yaliyolainika Kwa ajili ya makazi.

Wengi wao wakiishi katika koo zao pasi na kuchanganyika na watu wengine.

Unakuta Kila ukoo na chaka lake,ustaarabu utatokea wapi. Unakuta binadamu anatoa harufu Kali ya beberu,mwili wake umefunikwa Kwa vipande vya ngozi (lubega) huyo ndo mtawala wao na wale watawaliwa wameficha pale mbele kwenye kiwanda Cha kuchakata watoto Kwa kipande Cha ngozi huku makalio yakiendelea kufurahia mandhari.

Huwezi kumfananisha mtu wa pwani ambaye anaujua ustaarabu tokea zamani na mtu ambaye akiamka asubuhi anasafisha uso wake Kwa mkojo wa punda hata siku moja.

Watu wa pwani wazee wa vibarakashia wanywa kahawa huku wakishushia na kashata nyakati za jioni wamejivalia misuli huku wakibalizi Kwa mbaali wavuvi wanatoka baharini na samaki walionona. Wakati huo ukipita mitaani unakutana na mpishano mkali wa harufu ya chakula kinachoandaliwa Kwa ustadi wa hali juu.

Kadiri usogeavyo unapata kusikia sauti za pe pe pe pe ni wale wanaopepeta mchele,na zile za kro kro kro za wale wanaokuna Nazi. Si mtu wa pwani yule asiyeijua ladha halisi ya wali nazi.

Wakati huo kule bara ni muda wa kula mihogo na viazi Ile iliyochomwa kwenye jivu la moto. Vitoto vyao vikifukuzana na kuparamia mtu huu na ule. Na wale vijana ndo muda wao wa kurudi kuokota mabungo na wengine wakiburuza minofu ya nyumbu kutoka mawindoni.

Ama Kwa hakika watu wa pwani duniani kote ndio kielelezo cha kustaarabika.
Mkuu umetumwa nini? Sio kwa mikazo hii.
 
Bwana wee sasa hivi wanashindana na dada zao kujipondoa kuvaa vimodo hivi mtoto toka umalila mbeya vijijini uko anaweza paka poda kweli wewe wangalie tu wanojiita watoto wa mijini kina juma likole😂😂😂
🤣🤣🤣 Yaani wanaume wanashinda barber shop wakisuguana uso na kujipodoa,alafu wanajiita wajanja🚮😆😆
 
Unaposema kuendelea unamaanisha nn?? Miji ya pwani yote iliendelea muda mrefu kuliko huko kwenu mpitimbi,kama majengo ya kisasa yaliyokiwa pwan miaka ya 1910 huwez kufananisha na ya huko bara kwa mwaka 1980, hata elimu pia,kutokuendelea na kustaaribika ni kielelezo cha kutokiwa na elimu! Watu wa pwani walisomesha watoto kwa mifumo ya elimu iliyokuwepo shida mmekremu elimu ya mzungu!! Kabla ya uhuru elimu iligawanywa kimatabaka,mfumo wa kiarabu na mfumo wa kizungu kila kundi lilivutia kwake na sharti la kusoma dini yake, watu wa pwani wengi waliopt mfumo wa kiarabu ambao ulikuja kukosa direction baada ya serikali kuopt kutumia mfumo wa kizungu,ila still bado wapo watu wanasoma mfumo wa madrasa mpaka degree nenda markaz utawakuta!
ni nini kilifanya mpaka miji kama kilwa, bagamoyo na tanga kushindwa kupiga hatua na ili hali miji hiyo ilikuwa mashuhurii kweli kweli
 
Samaki wenyewe hamna ubavu wa kuwala nilienda lindi bei ya samaki dar afadhali angalau mvuvi ila wasio wavuvi hata mwezi wanaweza wasile tofauti na wa mwambao wa ziwa victoria,tanganyika,nyasa na rukwa.Samaki kwao anaepatikana kiurahisi mtamu eti ni kibua!
Watu wa pwani wao wanakula mnafu, pweza na, ngisi na dagaa mchele ndiyo mboga zao
 
Sasa huko si ndo kwa manamba?? Mijitu inashindia mihogo mibichi kama nguruwe[emoji3][emoji3],pwan ni kwa waungwana hatitaki vurugu
sikia nikwambie usiyejua mkoani hakuna shida ya chakula
hiyo mihogo unayosema wewe inaanzia mtwara inapita pwani dar es salaam hadi tanga
bara hawashindii mihogo kwa mantiki hiyo nguruwe ni watu wanaokula mihogo na pwani ndio kwenye mihogo hivyo watu wa pwani ndio nguruwe
 
Mtu wa pwan anatumia akili siyo mvivu,hafanyi kazi za manamba,ninyi watu wa bara ni manamba mlikiwa mnatumikishwa kwenye mkonge kwa malipo ya ugali sasa ulitaka mtu wa pwan afanye hizo kazi sheikh??
na katika historia vita fupi duniani ilipiganwa zanzibar siku moja tu watu wa pwani wakaanza kulalamika yakhee vita si hatuwezi twaweza kunywa gahawa
 
Uzuri wa watu wa Pwani hawana makuu...

Mwalimu Nyerere alipokewa na wazee wa town akina Sykes wakampa good time na kumpeleka mpaka UN kudai Uhuru na kisha wakamuacha awe Rais bila kinyongo..

Hata hapo Dar watu wengi wa bara wamepewa maeneo bure kabisa na wenyeweji japo leo wao wanayauza kwa mamilioni ya hela na kujiona wajaanja ilihali ukienda huko kwao hata eneo la kaburi ni dili...

Mpaka leo hii huko Kilwa, na baadhi ya vijiji vya mkoa wa Pwani Wasukuma wanapewa maeneo bure walime...

Kilwa iliwahi kuwa na maghorofa na mji ulioendelea zama hizo kabla hata ya mkoloni..

Bagamoyo na Mzizima zenyewe zilikuwa town toka zama hizo kipindi wanyamwezi na wasukuma wanajificha mapolini huko..
Hata nguo na hivi vyoo vya kujisaidia vilianzia Pwani wakati wengine wakivaa majani..

Vingine ngoja niache
Vyoo unavyosema vipi vile vya passport size mtu akiwa karibu anakuonea? Bara vyoo vinajengwa kama chumba cha kulala tena kwa tofari na kufunika kabisa sio pwani manyasi
 
Watu wa pwani wameregea wapi...

Vifaru na magari ya kivita.. ..wapambanaji wanaletwa kwa meli maalum..kisa
uchaguzi ..

Jasho linawatoka mpaka kukubali umoja wa kitaifa... Na hapo mna silaha zote.

Nyie wa mrima..kelele mingi tu na wizi ...lakini mijoga mfano hakuna..

Ndio maana hakueleweki.. ..


Ushamba kweli bara upo ..maana huyo mzungu hakukaa bara yote.. ..
watu wa pwani wamelegea hadi kuongea wanalegeza sauti
sikiliza jitu la mbeya likiongea utajua huyu ni mwanaume anaongea
viazi vinalimwa mbeya umaarufu wa chips dar

mmepewa sana mimba kwa ajili ya chips
shukuruni sana wachaga na wakinga la sivyo mpaka leo kariakoo kungekuwa na nyumba za udongo
 
Binafsi napenda kuona mwanamke akiwa amevaa dela bila ya nguo ya ndani, it's so entertaining for me.
Cha msingi ni unatakiwa utambue sio wote wanavaa madela bila nguo za ndani.

Ila wanawake wa pwani ni damn!... they're good as hell.
Dela bila nguo ya ndani halafu anatembea mtaani uwiii? Duu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Vyoo unavyosema vipi vile vya passport size mtu akiwa karibu anakuonea? Bara vyoo vinajengwa kama chumba cha kulala tena kwa tofari na kufunika kabisa sio pwani manyasi
Bara mnakunya porini tusidanganyane...halafu mnajichamba Kwa magunzi au majani wengine wanajiburuza chini kwenye mchanga. We ukienda bara ukimuona mtu amebeba majani halafu anazama kichakani jua anaenda kukata gogo.
 
Vyoo unavyosema vipi vile vya passport size mtu akiwa karibu anakuonea? Bara vyoo vinajengwa kama chumba cha kulala tena kwa tofari na kufunika kabisa sio pwani manyasi
Bara hamjengi vyoo kabisa,ndo maana hata kampen ya mrisho mpoto "nyumba ni choo" ilijikita mikoa ya bara hususan kanda ya ziwa,pwani choo ni ustaarabu sheikh,choo ni maji ndo maana walau kisima lazima kiwepo kwnye nyumba hata kama hajiwezi!![emoji1787]
 
Bara hamjengi vyoo kabisa,ndo maana hata kampen ya mrisho mpoto "nyumba ni choo" ilijikita mikoa ya bara hususan kanda ya ziwa,pwani choo ni ustaarabu sheikh,choo ni maji ndo maana walau kisima lazima kiwepo kwnye nyumba hata kama hajiwezi!![emoji1787]
Ww,uwepo wa kisima ni utaratibu ulionza na waarabu kwamba lazima aghalabu kuwepo na kisima kwa kila nyumba kwa ajili ya kutawadha unapotaka kusali.
 
hawa watu wa pwani ni watu wa hovyo na umbea wake kwa waume uvivu tu umewajaa waoga sana vita hawaziwezi wao kusemana tu

ndio maana mababu zao waliliwa sana na wale jamaa kwa kisingizio tulikuwa tunakunywa gahawa na zawadi za misuli na sahani za udongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi unajua wanaume/watu wa pwani Wana Tabia za kike/wanaume wa Dar mmewasahau?kazi kuchekacjheka,kujichubua,kurembua,mashoga woote wanatoka pwani,wanajambishwa na vitoto vidogo,yaani panya rodi[emoji1787][emoji1787].[emoji706][emoji706]
Nilitaka nishangae ushoga usitajwe, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom