Je, wajua Wazaliwa wa Pwani huwaona wazaliwa wa Bara kama washamba tu?

Je, wajua Wazaliwa wa Pwani huwaona wazaliwa wa Bara kama washamba tu?

Huu ni ukweli maeneo ambayo waarabu walikaa ustaarabu uliingia mapema Sana tofauti na maeneo Kama shinyanga
Taja huo ustaarabu.
Tunavyojua waarabu ndio walianza kuuza waafrika kama nyanya ntole kwenye masoko, walileta ustaarabu wa kuwafanya wanawake waonekane duni mbele ya mwanaume.
 
Basi hivo ndivo ilivo.

Wazaliwa wa mikoa ya pwani kihistoria wanawachukulia watu wa bara kama watu washamba tu walioukuta ustaarabu Pwani.

Kwa mfano ustaarabu wa mapishi, usafi hasa kuoga yaani hadi kuingia chooni na maji wabara inasemekana walikua hawajui maana walitumia udongo na magunzi kujitawazia.

Sasa basi mzaramo au mkwere ukijitambulisha umetoka chato au umetoka lamadi au umetoka mpitimbi akilini mwake anakuchukulia mshamba tu hata uwe umemzidi kila kitu lakini mentality yake inamweleza wewe ni mshamba.

Lakini pia watu wengi walitoka bara kwenda maeneo ya pwani kutafuta maisha kiufupi maeneo ya pwani yalianza kua miji kabla ya maeneo mengi ya bara.

Ndio maana huwezi mweleza kitu Ramadhan Dau, Sykes, JK, Mohamed Said, Rupia, hawa na wengine wengi kwanza wanafahamiana kabisa ndio maana kuna vitu ukifanya wanakuita mshamba au limbukeni.

Nadhani mlimsikia Nape akisema Boss wake mshamba au mliona polepole kujisifia v8 aliitwa mshamba, hilo kuanzia leo mlichukue.
Watu wanapenda mnanda, mchiriku watu wanapenda wacheze vanga na wanywe mnazi na huo ndio utamaduni wao.

Ndio maana hata watoto wa manzese hawachelewi kumwita vunjabei mshamba yaani pisi wanayokula watu kwa chips yeye anatumia mabilioni kuipata hapo ndio kizaazaa huanzia.
Watu wa pwani ni wavivu Sana,kazi kucheza bao, wanawake wao kuolewa na kuachika siku moja. Ukienda ndani,utaona umasikini ulivyokithiri yaani watu wanaishi kwenye nyumba za makuti na tope🚮 alafu ni waoga balaa kama wanawake wao🤣🤣 ukienda kariakoo,wakinga na wachaga ndio wanamiliki biashara na maghorofa,huku watu wa pwani wakiwa panya rodi 🤣🤣🤣
 
Ustaarabu ni nini? Kufanya kama wanavyofanya wazungu na waarabu? Asilimia kubwa ya vijana wa Pwani, wa kiume na wa kike wanafumuliwa nyuma..ndo ujanja huo?
Umenikumbusha hadithi fulani, jamaa alipata mke wa ujana wake akaoa pwani.

Jamaa alikuwa hamjui mchumba wake( bado hajamkula), sasa siku ya fungate jamaa akakuta mtoto bado bikra, jamaa hakuamini akafurahi sana akajiona mshindi na mjanja.

Baada ya fungate jamaa akakutana na baba mkwe wake wake, kwanza akamshukuru sana kwa kumlea binti na zaidi akamshukuru baba mkwe kwa kumkuta binti yake ni bikira. Yule mzee akamwambia jamaa aache ushamba wa bara asimshukuru yeye bali akawashukuru wanaume waliokuwa wanamla kisamvu cha kopo bintiye.

Jamaa wa bara hakuelewa wala hakutaka kujua baba mkwe wake alimaanisha nini ila yeye aliendelea kuifurahia bikira.
 
Taja huo ustaarabu.
Tunavyojua waarabu ndio walianza kuuza waafrika kama nyanya ntole kwenye masoko, walileta ustaarabu wa kuwafanya wanawake waonekane duni mbele ya mwanaume.
- Watumwa walikuwa wanauzwa Ulaya na marekani Kwa Wazungu
 
Watu wa pwani ni wavivu Sana,kazi kucheza bao, wanawake wao kuolewa na kuachika siku moja. Ukienda ndani,utaona umasikini ulivyokithiri yaani watu wanaishi kwenye nyumba za makuti na tope🚮 alafu ni waoga balaa kama wanawake wao🤣🤣 ukienda kariakoo,wakinga na wachaga ndio wanamiliki biashara na maghorofa,huku watu wa pwani wakiwa panya rodi 🤣🤣🤣
  • Sio kweli kwamba PanyaRoad ni Watu wa Pwani, wapo Hadi Waha, wasukuma,wakurya,nk.
  • Kwenye hayo magorofa ya Kariakoo ww unayo mangapi? Au umekaa unasifia tu wanaume wenzio Kwa maendeleo.
  • Halafu Sio kweli kwamba biashara zote kariakoo zinamilikiwa na Wachaga na Wakinga, zipo biashara zinamilikiwa na Watu wa Pwani pia, acha kudanganya Watu.
  • kuhusu uoga, Sio kweli kwamba Watu wa Pwani ni waoga, refer Case ya Wamakonde kufanya fujo ya kupinga gesi isiende DAR, another Case Uchaguzi Mkuu wa 2020 Lindi na Mtwara watu walifanya fujo nzito ili kupinga kuibiwa Kura, hebu nitajie mkoa mmoja wa bara ambao walifanya fujo kupinga matokeo ya uchaguzi wa 2020?
  • Kuhusu umasikini pia mikoa ya Pwani Sio masikini Kama unavyodanganya Watu humu, hebu nitajie zao ambalo lenye Pesa nyingi linalolimwa huko bara ambalo linazidi Korosho?, Kama hujui msimu wa 2017/18 Mauzo ya korosho yalikuwa shilingi trilioni 1, na Kati ya hiyo trilioni 1 bilioni 700 ilikuwa Mauzo ya korosho mkoa wa Mtwara.
 
na katika historia vita fupi duniani ilipiganwa zanzibar siku moja tu watu wa pwani wakaanza kulalamika yakhee vita si hatuwezi twaweza kunywa gahawa
  • Mbona hutaji vita ya Majimaji?
  • Mbona hutaji kuwa vuguvugu la kupigania Uhuru lilianzia Pwani.
  • Mwalimu Nyerere alikaribishwa Ndani ya TANU na Watu wa Pwani kina sheikh takadiri, kina dosaa azizi
 
  • Mbona hutaji vita ya Majimaji?
  • Mbona hutaji kuwa vuguvugu la kupigania Uhuru lilianzia Pwani.
  • Mwalimu Nyerere alikaribishwa Ndani ya TANU na Watu wa Pwani kina sheikh takadiri, kina dosaa azizi
vita ya maji maji ilitokea pwani ?
kiongozi wa vita alikuwa mla urojo ?
ongelea wahehe huko walivyopambana na wajerumani
Nyerere kajisomea zake huko na elimu yake ndo kaja kuwafundisha jinsi ya kupata uhuru
nyie mlichomfundisha ni kucheza bao na kumsomea dua
 
Waambie wahaya wabara wenzako,Cha ajabu Kila shoga anatoka bara anaenda kutafuta wanaume pwani. Ukimuona shoga pwani ametoka bara pwani ameenda kufanya biashara.
😆😆 Wabara ndio wanamiliki maghorofa hapo kariakoo,wakinga na wachaga
 
  • Mbona hutaji vita ya Majimaji?
  • Mbona hutaji kuwa vuguvugu la kupigania Uhuru lilianzia Pwani.
  • Mwalimu Nyerere alikaribishwa Ndani ya TANU na Watu wa Pwani kina sheikh takadiri, kina dosaa azizi
Alikaribishwa,alafu akawa ze Don kwa wavivu na mashoga wa pwani hapo magogoni
 
Comment ya Kwanza na ya pili imebeba dharau ya Hali yaa juu sn😅..watu mnaoishi sehemu za joto kwenye maji ya chumvi mna dharau sn Ila mnachojua ni kuvaa misuli na kucheza bao la kete kwenye vijiwe vya kahawa huku maendeleo mkipishana nayo
Wakikaa wakatulia tuanze kuongelea tabia yao ya wanaume Kwa wanaume wanavyotoana Marinda huko pwani😂😂😂😂😂😂
 
Ukweli ni huo Mkuu,

Bara ni shamba na dunia ilianza kuchangamka maeneo ya pwani tokea kitambo.

Wakati watu wa pwani wanajenga miji yao na kuishi pamoja kule sigimbi ndio kwanza watu walikuwa wanagombea mapango na mawe yaliyolainika Kwa ajili ya makazi.

Wengi wao wakiishi katika koo zao pasi na kuchanganyika na watu wengine.

Unakuta Kila ukoo na chaka lake,ustaarabu utatokea wapi. Unakuta binadamu anatoa harufu Kali ya beberu,mwili wake umefunikwa Kwa vipande vya ngozi (lubega) huyo ndo mtawala wao na wale watawaliwa wameficha pale mbele kwenye kiwanda Cha kuchakata watoto Kwa kipande Cha ngozi huku makalio yakiendelea kufurahia mandhari.

Huwezi kumfananisha mtu wa pwani ambaye anaujua ustaarabu tokea zamani na mtu ambaye akiamka asubuhi anasafisha uso wake Kwa mkojo wa punda hata siku moja.

Watu wa pwani wazee wa vibarakashia wanywa kahawa huku wakishushia na kashata nyakati za jioni wamejivalia misuli huku wakibalizi Kwa mbaali wavuvi wanatoka baharini na samaki walionona. Wakati huo ukipita mitaani unakutana na mpishano mkali wa harufu ya chakula kinachoandaliwa Kwa ustadi wa hali juu.

Kadiri usogeavyo unapata kusikia sauti za pe pe pe pe ni wale wanaopepeta mchele,na zile za kro kro kro za wale wanaokuna Nazi. Si mtu wa pwani yule asiyeijua ladha halisi ya wali nazi.

Wakati huo kule bara ni muda wa kula mihogo na viazi Ile iliyochomwa kwenye jivu la moto. Vitoto vyao vikifukuzana na kuparamia mtu huu na ule. Na wale vijana ndo muda wao wa kurudi kuokota mabungo na wengine wakiburuza minofu ya nyumbu kutoka mawindoni.

Ama Kwa hakika watu wa pwani duniani kote ndio kielelezo cha kustaarabika.
hail to all the pwani people.[emoji817][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Alikaribishwa,alafu akawa ze Don kwa wavivu na mashoga wa pwani hapo magogoni
  • alikuwa Don, hata huelewi Historia, kipindi hicho TANU ilikuwa na wajumbe wote waislamu mostly wa Pwani, wakamchukua Mwalimu
  • Nani kakwambia hao wazee ni wavivu? Uongoo, Kama unamjua Kuna Mzee wa Pwani anaitwa DOSSA Azizi huyu alikuwa tajiri Sana, alimiliki Hadi gari/ magari ya kifahari.
  • Nyerere aliingia kwenye TANU huku akikuta Watu wa Pwani washaanzisha Chama kimeshasimama
 
vita ya maji maji ilitokea pwani ?
kiongozi wa vita alikuwa mla urojo ?
ongelea wahehe huko walivyopambana na wajerumani
Nyerere kajisomea zake huko na elimu yake ndo kaja kuwafundisha jinsi ya kupata uhuru
nyie mlichomfundisha ni kucheza bao na kumsomea dua
  • Inaonekana humjui kinjekitile ngwale, basi kinjekitile ni WA bara si ndio kayumba?
  • Kinjekitile alikuwa ni Mmatumbi wa Kilwa Kama hujui, Rudi shuleni kayumba ukapate Elimu
  • Sio kweli kwamba Nyerere alikuja kufundisha kupigania Uhuru Watu wa Pwani ni Uongo, Nyerere anaingia Ndani ya TANU/TAA akikuta misingi ishawekwa na kina Abdulwahid Sykes, Kleist Sykes,Sheikh takadiri,Mshume kiate,Dosaa azizi, nk, Nyerere aliingia Ndani ya TANU/ TAA miaka ya 1954 hivi miaka michache nchi ikapata Uhuru
  • hivi unajua kwamba Nyerere alishindwa kwenye uchaguzi Ndani ya TANU? busara ikatumika kumpa uenyekiti.
  • Watu wamejenga AA, TAA Tangu miaka ya 1920s huko
 
Basi hivo ndivo ilivo.

Wazaliwa wa mikoa ya pwani kihistoria wanawachukulia watu wa bara kama watu washamba tu walioukuta ustaarabu Pwani.

Kwa mfano ustaarabu wa mapishi, usafi hasa kuoga yaani hadi kuingia chooni na maji wabara inasemekana walikua hawajui maana walitumia udongo na magunzi kujitawazia.

Sasa basi mzaramo au mkwere ukijitambulisha umetoka chato au umetoka lamadi au umetoka mpitimbi akilini mwake anakuchukulia mshamba tu hata uwe umemzidi kila kitu lakini mentality yake inamweleza wewe ni mshamba.

Lakini pia watu wengi walitoka bara kwenda maeneo ya pwani kutafuta maisha kiufupi maeneo ya pwani yalianza kua miji kabla ya maeneo mengi ya bara.

Ndio maana huwezi mweleza kitu Ramadhan Dau, Sykes, JK, Mohamed Said, Rupia, hawa na wengine wengi kwanza wanafahamiana kabisa ndio maana kuna vitu ukifanya wanakuita mshamba au limbukeni.

Nadhani mlimsikia Nape akisema Boss wake mshamba au mliona polepole kujisifia v8 aliitwa mshamba, hilo kuanzia leo mlichukue.
Watu wanapenda mnanda, mchiriku watu wanapenda wacheze vanga na wanywe mnazi na huo ndio utamaduni wao.

Ndio maana hata watoto wa manzese hawachelewi kumwita vunjabei mshamba yaani pisi wanayokula watu kwa chips yeye anatumia mabilioni kuipata hapo ndio kizaazaa huanzia.
Sifa nyingine mbali na wali Nazi pia kufumuliwa marinda bila kujali jinsia
 
Back
Top Bottom