Je, wajua Wazaliwa wa Pwani huwaona wazaliwa wa Bara kama washamba tu?

Huu ni ukweli maeneo ambayo waarabu walikaa ustaarabu uliingia mapema Sana tofauti na maeneo Kama shinyanga
Taja huo ustaarabu.
Tunavyojua waarabu ndio walianza kuuza waafrika kama nyanya ntole kwenye masoko, walileta ustaarabu wa kuwafanya wanawake waonekane duni mbele ya mwanaume.
 
Watu wa pwani ni wavivu Sana,kazi kucheza bao, wanawake wao kuolewa na kuachika siku moja. Ukienda ndani,utaona umasikini ulivyokithiri yaani watu wanaishi kwenye nyumba za makuti na tope🚮 alafu ni waoga balaa kama wanawake wao🤣🤣 ukienda kariakoo,wakinga na wachaga ndio wanamiliki biashara na maghorofa,huku watu wa pwani wakiwa panya rodi 🤣🤣🤣
 
Ustaarabu ni nini? Kufanya kama wanavyofanya wazungu na waarabu? Asilimia kubwa ya vijana wa Pwani, wa kiume na wa kike wanafumuliwa nyuma..ndo ujanja huo?
Umenikumbusha hadithi fulani, jamaa alipata mke wa ujana wake akaoa pwani.

Jamaa alikuwa hamjui mchumba wake( bado hajamkula), sasa siku ya fungate jamaa akakuta mtoto bado bikra, jamaa hakuamini akafurahi sana akajiona mshindi na mjanja.

Baada ya fungate jamaa akakutana na baba mkwe wake wake, kwanza akamshukuru sana kwa kumlea binti na zaidi akamshukuru baba mkwe kwa kumkuta binti yake ni bikira. Yule mzee akamwambia jamaa aache ushamba wa bara asimshukuru yeye bali akawashukuru wanaume waliokuwa wanamla kisamvu cha kopo bintiye.

Jamaa wa bara hakuelewa wala hakutaka kujua baba mkwe wake alimaanisha nini ila yeye aliendelea kuifurahia bikira.
 
Taja huo ustaarabu.
Tunavyojua waarabu ndio walianza kuuza waafrika kama nyanya ntole kwenye masoko, walileta ustaarabu wa kuwafanya wanawake waonekane duni mbele ya mwanaume.
- Watumwa walikuwa wanauzwa Ulaya na marekani Kwa Wazungu
 
  • Sio kweli kwamba PanyaRoad ni Watu wa Pwani, wapo Hadi Waha, wasukuma,wakurya,nk.
  • Kwenye hayo magorofa ya Kariakoo ww unayo mangapi? Au umekaa unasifia tu wanaume wenzio Kwa maendeleo.
  • Halafu Sio kweli kwamba biashara zote kariakoo zinamilikiwa na Wachaga na Wakinga, zipo biashara zinamilikiwa na Watu wa Pwani pia, acha kudanganya Watu.
  • kuhusu uoga, Sio kweli kwamba Watu wa Pwani ni waoga, refer Case ya Wamakonde kufanya fujo ya kupinga gesi isiende DAR, another Case Uchaguzi Mkuu wa 2020 Lindi na Mtwara watu walifanya fujo nzito ili kupinga kuibiwa Kura, hebu nitajie mkoa mmoja wa bara ambao walifanya fujo kupinga matokeo ya uchaguzi wa 2020?
  • Kuhusu umasikini pia mikoa ya Pwani Sio masikini Kama unavyodanganya Watu humu, hebu nitajie zao ambalo lenye Pesa nyingi linalolimwa huko bara ambalo linazidi Korosho?, Kama hujui msimu wa 2017/18 Mauzo ya korosho yalikuwa shilingi trilioni 1, na Kati ya hiyo trilioni 1 bilioni 700 ilikuwa Mauzo ya korosho mkoa wa Mtwara.
 
na katika historia vita fupi duniani ilipiganwa zanzibar siku moja tu watu wa pwani wakaanza kulalamika yakhee vita si hatuwezi twaweza kunywa gahawa
  • Mbona hutaji vita ya Majimaji?
  • Mbona hutaji kuwa vuguvugu la kupigania Uhuru lilianzia Pwani.
  • Mwalimu Nyerere alikaribishwa Ndani ya TANU na Watu wa Pwani kina sheikh takadiri, kina dosaa azizi
 
  • Mbona hutaji vita ya Majimaji?
  • Mbona hutaji kuwa vuguvugu la kupigania Uhuru lilianzia Pwani.
  • Mwalimu Nyerere alikaribishwa Ndani ya TANU na Watu wa Pwani kina sheikh takadiri, kina dosaa azizi
vita ya maji maji ilitokea pwani ?
kiongozi wa vita alikuwa mla urojo ?
ongelea wahehe huko walivyopambana na wajerumani
Nyerere kajisomea zake huko na elimu yake ndo kaja kuwafundisha jinsi ya kupata uhuru
nyie mlichomfundisha ni kucheza bao na kumsomea dua
 
Waambie wahaya wabara wenzako,Cha ajabu Kila shoga anatoka bara anaenda kutafuta wanaume pwani. Ukimuona shoga pwani ametoka bara pwani ameenda kufanya biashara.
😆😆 Wabara ndio wanamiliki maghorofa hapo kariakoo,wakinga na wachaga
 
  • Mbona hutaji vita ya Majimaji?
  • Mbona hutaji kuwa vuguvugu la kupigania Uhuru lilianzia Pwani.
  • Mwalimu Nyerere alikaribishwa Ndani ya TANU na Watu wa Pwani kina sheikh takadiri, kina dosaa azizi
Alikaribishwa,alafu akawa ze Don kwa wavivu na mashoga wa pwani hapo magogoni
 
Comment ya Kwanza na ya pili imebeba dharau ya Hali yaa juu sn😅..watu mnaoishi sehemu za joto kwenye maji ya chumvi mna dharau sn Ila mnachojua ni kuvaa misuli na kucheza bao la kete kwenye vijiwe vya kahawa huku maendeleo mkipishana nayo
Wakikaa wakatulia tuanze kuongelea tabia yao ya wanaume Kwa wanaume wanavyotoana Marinda huko pwani😂😂😂😂😂😂
 
hail to all the pwani people.[emoji817][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Alikaribishwa,alafu akawa ze Don kwa wavivu na mashoga wa pwani hapo magogoni
  • alikuwa Don, hata huelewi Historia, kipindi hicho TANU ilikuwa na wajumbe wote waislamu mostly wa Pwani, wakamchukua Mwalimu
  • Nani kakwambia hao wazee ni wavivu? Uongoo, Kama unamjua Kuna Mzee wa Pwani anaitwa DOSSA Azizi huyu alikuwa tajiri Sana, alimiliki Hadi gari/ magari ya kifahari.
  • Nyerere aliingia kwenye TANU huku akikuta Watu wa Pwani washaanzisha Chama kimeshasimama
 
  • Inaonekana humjui kinjekitile ngwale, basi kinjekitile ni WA bara si ndio kayumba?
  • Kinjekitile alikuwa ni Mmatumbi wa Kilwa Kama hujui, Rudi shuleni kayumba ukapate Elimu
  • Sio kweli kwamba Nyerere alikuja kufundisha kupigania Uhuru Watu wa Pwani ni Uongo, Nyerere anaingia Ndani ya TANU/TAA akikuta misingi ishawekwa na kina Abdulwahid Sykes, Kleist Sykes,Sheikh takadiri,Mshume kiate,Dosaa azizi, nk, Nyerere aliingia Ndani ya TANU/ TAA miaka ya 1954 hivi miaka michache nchi ikapata Uhuru
  • hivi unajua kwamba Nyerere alishindwa kwenye uchaguzi Ndani ya TANU? busara ikatumika kumpa uenyekiti.
  • Watu wamejenga AA, TAA Tangu miaka ya 1920s huko
 
Sifa nyingine mbali na wali Nazi pia kufumuliwa marinda bila kujali jinsia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…