darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 9,101
- 18,055
Badala ya kujivunia kujenga kwenu huko porini unajivunia kujenga kwa watu. Ukifa wanapeleka maiti yako kijijini kuzika! Tegeta,Kunduchi,Boko,Bunju mpaka Bagamoyo wamejaa Wazaramo kibaoMmeweka historia kwa kuvaa msuli na Madera, kupiga umbea na kunywa pombe ya mnazi.
Musee mmetisha kwa ujinga, jiji limeshatwaliwa na wajanja kutoka bara njoo huku Tegeta na Mbezi shamba uone jinsi watu wa bara wanyopiga hela kijanja
Ona Wabara wenzako wanavyolalamika maisha magumu huko kijijini kwenu
Bukoba tumebaki analogi
Ukiangalia hali ya mikoa na wilaya vinavyobadilika unaona kabisa Bukoba tuliachwa analog kila kitu Bukoba tuko nyuma sio stendi kuu sio soko kuu sio hospital sio vyuo vikuu yaani hatuna chuo kikuu ata kimoja mkoa mzima lakini ni mkoa umaoongoza kwa kuzalisha wasomi walioolowea ughaibuni. Wasomi...