Naomba kujua ikiwa kama walimu wametii amri ya chama chao, ya kwamba kimeshindwa kufikia suluhu hivyo wagome au wametii kauli ya serikali inayoema "suala lipo mahakamani" hivyo waendelee na kazi.
Habari za huu mgomo zilianza siku nyingi, napenda kujua uhalisia wake.
Habari za huu mgomo zilianza siku nyingi, napenda kujua uhalisia wake.